Baada ya kugundua nia yenu ovu mliyokua mmeipanga nikifika makao makuu, sasa kuna jambo mnaniandalia ofisin makao makuu muda huu. Nipo tayari kupokea. Mimi ni kiongozi mwenye address na address yangu inafahamika
Ameandika ktk X yake
Ahahahahaha! Angelikuwa ni CCM anai query CCM mngemuita Mwamba na hana haja ya kwenda chamani. Ila kwakuwa ni Chadema Ngangari mnataka aende chamani! Ahahahahaha!!!
Ahahahahaha! Angelikuwa ni CCM anai query CCM mngemuita Mwamba na hana haja ya kwenda chamani. Ila kwakuwa ni Chadema Ngangari mnataka aende chamani! Ahahahahaha!!!