Mwafrika mmoja
Member
- Mar 15, 2019
- 64
- 178
Habarini wadau, ni wajiu wetu sisi vijana kupeana fursa za namna ya kutafuta pesa online kulingana na namna ulimwengu unavyokua kwa kasi. Tusitumie bando kufurahi tu bali tuingize pesa.
Siku hizi fursa za kupiga pesa mtandaoni zipo nyingi, ikiwemo hii ya freelancing ambayo unatumia ujuzi wako fulani kutoa huduma mtandaoni, mfano wewe ni daktari, accountant, mwandishi, graphic designer, video editor n.k unakutana na mteja online unamfanyia kazi anakulipa maisha yanaenda.
Leo nawaletea hii platform ya Fiverr ambayo inakuwezesha kupost gigg (ujuzi wako) na namna unavyoweza kuifanya, halafu wateja wanakutafuta wenyewe kwa muda wao wanakupa kazi unaifanya wanakulipa kwa bei ambayo wewe umeiweka.
Hata kama huna ujuzi wowote, ukijiunga na Fiverr ni bure na utaweza kupata deal kwa kujibu tu maswali kadhaa kuhusu Tanzania na vitu unavyovifahamu kwenye nchi yako na ukapata pesa.
Wapo watu wengi nje ya nchi wanaotaka kuja kuivest au kutembelea Tanzania na hawajui waanzie wapi. Wanataka some research ambazo huwezi kushindwa kufanya.... mimi mpaka sasa nimeshatengeneza $350+ kwa simple task tu ambazo hata siku nzima haifiki umeshamaliza.
Uzuri wa Fiverr ni kwamba unatengeneza Gigg (tangazo) yako unapost na wateja wanakutafuta wenyewe, siyo kama site zingine ambazo wewe ndo unaomba kazi kwa clients.
Karibu ujiunge hapa:https://fiverr.com/pe/RAkXY8 nawe uanze kuingiza maokoto na sehemu utakayokwama utanicheki WhatsApp: 0683535699
Siku hizi fursa za kupiga pesa mtandaoni zipo nyingi, ikiwemo hii ya freelancing ambayo unatumia ujuzi wako fulani kutoa huduma mtandaoni, mfano wewe ni daktari, accountant, mwandishi, graphic designer, video editor n.k unakutana na mteja online unamfanyia kazi anakulipa maisha yanaenda.
Leo nawaletea hii platform ya Fiverr ambayo inakuwezesha kupost gigg (ujuzi wako) na namna unavyoweza kuifanya, halafu wateja wanakutafuta wenyewe kwa muda wao wanakupa kazi unaifanya wanakulipa kwa bei ambayo wewe umeiweka.
Hata kama huna ujuzi wowote, ukijiunga na Fiverr ni bure na utaweza kupata deal kwa kujibu tu maswali kadhaa kuhusu Tanzania na vitu unavyovifahamu kwenye nchi yako na ukapata pesa.
Wapo watu wengi nje ya nchi wanaotaka kuja kuivest au kutembelea Tanzania na hawajui waanzie wapi. Wanataka some research ambazo huwezi kushindwa kufanya.... mimi mpaka sasa nimeshatengeneza $350+ kwa simple task tu ambazo hata siku nzima haifiki umeshamaliza.
Uzuri wa Fiverr ni kwamba unatengeneza Gigg (tangazo) yako unapost na wateja wanakutafuta wenyewe, siyo kama site zingine ambazo wewe ndo unaomba kazi kwa clients.
Karibu ujiunge hapa:https://fiverr.com/pe/RAkXY8 nawe uanze kuingiza maokoto na sehemu utakayokwama utanicheki WhatsApp: 0683535699