Hivi kwa wasanii wote wa Katuni walojaa hapa nchini ni yupi aliye na uthubutu wa kumzidi Masoud mpaka umuite stupid chicken?
Ma nigga..(in Denzel Washington's voice in The Training Day movie")
Mkuu yaani upo very dishonest sana...
Your strong emotional attachments with Masudi such that truth and reasoning is secondary to you,then your education is excessively useless!
You cant be this speed excessive with two eyes closed towards Masudi bias!
Katika category ya political cartoon in TZ Masudi ndio the biggest platform ,tatizo hatumii platform kua critical enough to the oppressive regime we are having!Ni so passive!
Ndio maana katuni zake hazijawahi ku-cross border kama za Gado mpaka NYT!
Kwa wote waliopo nchini Masudi ndio kiongozi wa vipofu,maana wote ni vipofu,hakuna cha kusema kuna afadhali.
Wote mmekunya,halafu unasema afadhali mavi yangu mimi ni madogo kidogo ya mwenzangu hayatanuka sana kama haya mengine!What a bunch of stupids!
Tunataka Masudi atumie platform na social power yake atutetee zaidi wananchi sio kama anavyofanya kulamba wenye nchi matako!
Masudi is always a looser historically!
Kila anachofanya kinafika mahali kinakufa..nothing has ever amount to anything serious na ku-last long...
He will always be a loser working for others who have balls than him...always!