Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshindwa kutumia vizuri silent language a.k.a tungo tataCartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.
Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.
View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani
View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram
Apewe kesi ya jinai, hiyo dhiaka kwa RaisiCartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.
Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.
View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani
View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram
Mkuu, sema ukweli wako.kwani kuna kitu gani kibaya alicho chora hapo ?
Yule Waziri tulimchora hatare nakumbuka.Inanikumbusha zamani kidogo kuna waziri mmoja akiitwa Nyanda......naye alijaribu sana "kupambana" na wachora katuni bila mafanikio.
Ngoja tuone.....ni ugaidi, uhujumu uchumi ama nini!
Mwaka gani?Yule Waziri tulimchora hatare nakumbuka.
Enzi hizo nachorea gazeti la Watu.
Kabisa huyu Jamaa yuko straight sana hana skills za kuficha maanaKipanya katuni zake huwa hazipo straight kama huyu, masudi anaficha maana sana ukiigundua unakua genius, sasa huyu ndugu anafungua code zote msomaji hapati tabu kufafanua
Sent using Jamii Forums mobile app
Yameanza Upyaaaaaaaa !!Cartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.
Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.
View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani
View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram
=≈========UPDATE==========
Polisi wamezuia dhamana yake. Kwa mujibu wa ndugu na jamaa wanaofuatilia wamenijuza kuwa
Wanasheria nguli wamejitokeza kufuatilia sakata la msanii huyu.
Inawezekana uwepo wa wanasheria ukapelekea haki kutendeka bila kukiuka haki za mtuhumiwa.
Nitaendelea kuwajuza zaidi kadiri taarifa sahihi zinavyopatikana
kwani amechora uongo ?Mwana kulitafuta........!
Sasa lazima uwe na akili ya kutofautisha mazingira uliyopo German vs Tz tofaut kabisa utaishia kuumia tuKila mchoraji ana style yake.
Kwa mfano Gado wa DW huwa anatoa ujumbe straight pia
Hii nchi tangu ianze kuongozwa na vilaza imekuwa ya hovyo sana. Natamani kuishi nje ika basi tuCartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.
Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.
View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani
View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram
=≈========UPDATE==========
Polisi wamezuia dhamana yake. Kwa mujibu wa ndugu na jamaa wanaofuatilia wamenijuza kuwa
Wanasheria nguli wamejitokeza kufuatilia sakata la msanii huyu.
Inawezekana uwepo wa wanasheria ukapelekea haki kutendeka bila kukiuka haki za mtuhumiwa.
Nitaendelea kuwajuza zaidi kadiri taarifa sahihi zinavyopatikana
Kisheria hana kesi kama inshu ni hiyo katuni nayo iona hapo na labda kama kuna jingine ila watamtesa tu kama ilivyo hulka ya jeshi la polisiMwana kulitafuta........!
Kwa nini tukiwachora upinzani with direct punch hakuna kushughulikiwa?Sasa lazima uwe na akili ya kutofautisha mazingira uliyopo German vs Tz tofaut kabisa utaishia kuumia tu
Sukuma gang at workJamaa huwa anatukana wapinzani sana kwenye katuni ila mwendazake alivyofariki tu akaanza ku deal na serikali
Uwezi kusimama upande wa haki pale inapowahusu usiyowapenda. Na siku zote ikimuhusu uyemoenda lazima uonyeshe ushetani wako.Mwana kulitafuta........!