Mchora katuni Opptertus John Fwema ashikiliwa na Polisi kwa Makosa ya Mtandao

Mchora katuni Opptertus John Fwema ashikiliwa na Polisi kwa Makosa ya Mtandao

Cartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.

Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.


View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani

View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram
Ameshindwa kutumia vizuri silent language a.k.a tungo tata
 
Cartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.

Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.


View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani

View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram
Apewe kesi ya jinai, hiyo dhiaka kwa Raisi
 
It's always starts slow like a fungus. But pretty soon neighbour turns on neighbour.
 
Inanikumbusha zamani kidogo kuna waziri mmoja akiitwa Nyanda......naye alijaribu sana "kupambana" na wachora katuni bila mafanikio.

Ngoja tuone.....ni ugaidi, uhujumu uchumi ama nini!
Yule Waziri tulimchora hatare nakumbuka.

Enzi hizo nachorea gazeti la Watu.
 
Cartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.

Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.


View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani

View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram


=≈========UPDATE==========

Polisi wamezuia dhamana yake. Kwa mujibu wa ndugu na jamaa wanaofuatilia wamenijuza kuwa
Wanasheria nguli wamejitokeza kufuatilia sakata la msanii huyu.

Inawezekana uwepo wa wanasheria ukapelekea haki kutendeka bila kukiuka haki za mtuhumiwa.

Nitaendelea kuwajuza zaidi kadiri taarifa sahihi zinavyopatikana
Yameanza Upyaaaaaaaa !!
 
Kila mchoraji ana style yake.
Kwa mfano Gado wa DW huwa anatoa ujumbe straight pia
Sasa lazima uwe na akili ya kutofautisha mazingira uliyopo German vs Tz tofaut kabisa utaishia kuumia tu
 
Cartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.

Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.


View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani

View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram


=≈========UPDATE==========

Polisi wamezuia dhamana yake. Kwa mujibu wa ndugu na jamaa wanaofuatilia wamenijuza kuwa
Wanasheria nguli wamejitokeza kufuatilia sakata la msanii huyu.

Inawezekana uwepo wa wanasheria ukapelekea haki kutendeka bila kukiuka haki za mtuhumiwa.

Nitaendelea kuwajuza zaidi kadiri taarifa sahihi zinavyopatikana
Hii nchi tangu ianze kuongozwa na vilaza imekuwa ya hovyo sana. Natamani kuishi nje ika basi tu
 
Sasa lazima uwe na akili ya kutofautisha mazingira uliyopo German vs Tz tofaut kabisa utaishia kuumia tu
Kwa nini tukiwachora upinzani with direct punch hakuna kushughulikiwa?

Hata sisi tunastuka sasa. Kutumika kukandamiza upande mmoja HATUTAKI.

Tutaendelea kubalansi katuni zetu
 
Back
Top Bottom