cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Jakaya alikuwaga mwana demecracia aliyekosolewa na hakufunga ntuSasa ndio tutajua kama hawa ni wanademokrasia ama magumashi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jakaya alikuwaga mwana demecracia aliyekosolewa na hakufunga ntuSasa ndio tutajua kama hawa ni wanademokrasia ama magumashi.....
Umefufuka leo wewe? hebu rudisha kumbukumbu zako vzruri kuhusu katuni alizokuwa anachora Kipanya na wenzake kuhusu marehemu mwendazake! kimeumana! kuna mtu alidhihakiwa kama Kikwete? kadri wanavyozidi kumkingia kifua mama ndivyo na uongo unaonekana kama ukweli!Mambo mengine jaman ya mtu kujitakia kabisa hivi unachora kitu kama hiki unategemea nn?
Huyu nae tupoteze muda wa kumwombea Kwa mungu?
Ah no way out
"mama amefungua nchi" kwa sauti ya Mulamula, kuna ubaya gani wa kufichaficha na nchi imefunguliwa pia uhuru wa kujieleza umefunguliwa!sema nayeye artist bhana ameshindwa kutumia strong tafsida anaandika kabisa amejiachia kabisa artist wa katun unatakiwa uwe Genius Kama kipanya kipanya amepita Salama kipind kile kwa Sababu ya kuji hides
Chora mkuu, unajiweka karibu na Ujerumani au USA.....unakuwa mkimbizi wa kisiasa kiulaiini, utarudi kugombea urais...wakikuzingua unakimbilia ubalozini....kwisha habari yao!Nataka kuanza kuchora katuni roho inasema acha tu.
Ngoja nitafute kwanza nauli ili ikubuma nateleza nchi za watu.Chora mkuu, unajiweka karibu na Ujerumani au USA.....unakuwa mkimbizi wa kisiasa kiulaiini, utarudi kugombea urais...wakikuzingua unakimbilia ubalozini....kwisha habari yao!
Gerson Msigwa Bado hajatoa tamko ?Cartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.
Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.
View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani
View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram
=≈========UPDATE==========
Polisi wamezuia dhamana yake. Kwa mujibu wa ndugu na jamaa wanaofuatilia wamenijuza kuwa
Wanasheria nguli wamejitokeza kufuatilia sakata la msanii huyu.
Inawezekana uwepo wa wanasheria ukapelekea haki kutendeka bila kukiuka haki za mtuhumiwa.
Nitaendelea kuwajuza zaidi kadiri taarifa sahihi zinavyopatikana
===≈====== UPDATE ==========
Mpaka naandika ujumbe huu, ndugu wanasema kesi imeshikiliwa na RCO, tangu amekamatwa hakuchukuliw maelezo ambapo amehojiwa Alhamisi wiki hii.
Wanasheria wameshajitokeza kufuatilia haki za mchoraji huyu wa vibonzo.
-------------SAHIHISHO------------
Watu wengi wanamfananisha mchoraji Optter na mwanavibonzo mwingine aitwaye Fredy ambaye alitumia sana kalamu yake kuwachora upinzani wakati wa uchaguziView attachment 1960746
Kosa lipo bebe...fungua kule nikueleweshe [emoji3]Sijaona kosa hapo huo ni mtazamo wake tu mbona
Siwanafunzi wote,wafundishwe kwanjia moja njia zikonyingi ,hapa Dola inakizana na katibaKipanya katuni zake huwa hazipo straight kama huyu, Masudi anaficha maana sana ukiigundua unakua genius, sasa huyu ndugu anafungua code zote msomaji hapati tabu kufafanua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa katuni hiyo sidhani kuna mtu mwingine anaweza kulaumiwa zaidi yake mwenyewe.....Cartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.
Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.
View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani
View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram
=≈========UPDATE==========
Polisi wamezuia dhamana yake. Kwa mujibu wa ndugu na jamaa wanaofuatilia wamenijuza kuwa
Wanasheria nguli wamejitokeza kufuatilia sakata la msanii huyu.
Inawezekana uwepo wa wanasheria ukapelekea haki kutendeka bila kukiuka haki za mtuhumiwa.
Nitaendelea kuwajuza zaidi kadiri taarifa sahihi zinavyopatikana
===≈====== UPDATE ==========
Mpaka naandika ujumbe huu, ndugu wanasema kesi imeshikiliwa na RCO, tangu amekamatwa hakuchukuliw maelezo ambapo amehojiwa Alhamisi wiki hii.
Wanasheria wameshajitokeza kufuatilia haki za mchoraji huyu wa vibonzo.
-------------SAHIHISHO------------
Watu wengi wanamfananisha mchoraji Optter na mwanavibonzo mwingine aitwaye Fredy ambaye alitumia sana kalamu yake kuwachora upinzani wakati wa uchaguziView attachment 1960746
Umefufuka leo wewe? hebu rudisha kumbukumbu zako vzruri kuhusu katuni alizokuwa anachora Kipanya na wenzake kuhusu marehemu mwendazake! kimeumana! kuna mtu alidhihakiwa kama Kikwete? kadri wanavyozidi kumkingia kifua mama ndivyo na uongo unaonekana kama ukweli!
Anavuna alichopandaJamaa huwa anatukana wapinzani sana kwenye katuni ila mwendazake alivyofariki tu akaanza ku deal na serikali
Just tell me the mistake maana kachora vikatuni kwa hisia sanaKosa lipo bebe...fungua kule nikueleweshe [emoji3]
Ni zamu yake sasaJamaa huwa anatukana wapinzani sana kwenye katuni ila mwendazake alivyofariki tu akaanza ku deal na serikali
Uhuru wa maoni?acha unaaa sio kwa picha hii
Hii kesi anashinda asubuhi saa 2 hata bila wakili kama haki ikitendekaCartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.
Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.
View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani
View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram
=≈========UPDATE==========
Polisi wamezuia dhamana yake. Kwa mujibu wa ndugu na jamaa wanaofuatilia wamenijuza kuwa
Wanasheria nguli wamejitokeza kufuatilia sakata la msanii huyu.
Inawezekana uwepo wa wanasheria ukapelekea haki kutendeka bila kukiuka haki za mtuhumiwa.
Nitaendelea kuwajuza zaidi kadiri taarifa sahihi zinavyopatikana
===≈====== UPDATE ==========
Mpaka naandika ujumbe huu, ndugu wanasema kesi imeshikiliwa na RCO, tangu amekamatwa hakuchukuliw maelezo ambapo amehojiwa Alhamisi wiki hii.
Wanasheria wameshajitokeza kufuatilia haki za mchoraji huyu wa vibonzo.
-------------SAHIHISHO------------
Watu wengi wanamfananisha mchoraji Optter na mwanavibonzo mwingine aitwaye Fredy ambaye alitumia sana kalamu yake kuwachora upinzani wakati wa uchaguziView attachment 1960746