Mchora katuni Opptertus John Fwema ashikiliwa na Polisi kwa Makosa ya Mtandao

Mchora katuni Opptertus John Fwema ashikiliwa na Polisi kwa Makosa ya Mtandao

Nimecheka na hiyo katuni iliyowekwa hapa!....
Au asingeweka jina la Vasco da Gama!

Katuni tu, wakianza kuvaa tisheti za hivi?
102923085_2922076494507960_4712980653145063424_n.jpg
 
Mambo mengine jaman ya mtu kujitakia kabisa hivi unachora kitu kama hiki unategemea nn?

Huyu nae tupoteze muda wa kumwombea Kwa mungu?

Ah no way out
Umefufuka leo wewe? hebu rudisha kumbukumbu zako vzruri kuhusu katuni alizokuwa anachora Kipanya na wenzake kuhusu marehemu mwendazake! kimeumana! kuna mtu alidhihakiwa kama Kikwete? kadri wanavyozidi kumkingia kifua mama ndivyo na uongo unaonekana kama ukweli!
 
sema nayeye artist bhana ameshindwa kutumia strong tafsida anaandika kabisa amejiachia kabisa artist wa katun unatakiwa uwe Genius Kama kipanya kipanya amepita Salama kipind kile kwa Sababu ya kuji hides
"mama amefungua nchi" kwa sauti ya Mulamula, kuna ubaya gani wa kufichaficha na nchi imefunguliwa pia uhuru wa kujieleza umefunguliwa!
 
Nataka kuanza kuchora katuni roho inasema acha tu.
Chora mkuu, unajiweka karibu na Ujerumani au USA.....unakuwa mkimbizi wa kisiasa kiulaiini, utarudi kugombea urais...wakikuzingua unakimbilia ubalozini....kwisha habari yao!
 
Chora mkuu, unajiweka karibu na Ujerumani au USA.....unakuwa mkimbizi wa kisiasa kiulaiini, utarudi kugombea urais...wakikuzingua unakimbilia ubalozini....kwisha habari yao!
Ngoja nitafute kwanza nauli ili ikubuma nateleza nchi za watu.
 
Cartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.

Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.


View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani

View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram


=≈========UPDATE==========

Polisi wamezuia dhamana yake. Kwa mujibu wa ndugu na jamaa wanaofuatilia wamenijuza kuwa
Wanasheria nguli wamejitokeza kufuatilia sakata la msanii huyu.

Inawezekana uwepo wa wanasheria ukapelekea haki kutendeka bila kukiuka haki za mtuhumiwa.

Nitaendelea kuwajuza zaidi kadiri taarifa sahihi zinavyopatikana

===≈====== UPDATE ==========
Mpaka naandika ujumbe huu, ndugu wanasema kesi imeshikiliwa na RCO, tangu amekamatwa hakuchukuliw maelezo ambapo amehojiwa Alhamisi wiki hii.

Wanasheria wameshajitokeza kufuatilia haki za mchoraji huyu wa vibonzo.

-------------SAHIHISHO------------

Watu wengi wanamfananisha mchoraji Optter na mwanavibonzo mwingine aitwaye Fredy ambaye alitumia sana kalamu yake kuwachora upinzani wakati wa uchaguziView attachment 1960746
Gerson Msigwa Bado hajatoa tamko ?
 
Maushungi kasema demokrasia sio Cocacola😀😀😀,ama kweli Abraham lincoln alikuwa sahihi,"If u want to test a man's character,give him power"!!!
 
KKw
Cartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.

Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.


View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani

View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram


=≈========UPDATE==========

Polisi wamezuia dhamana yake. Kwa mujibu wa ndugu na jamaa wanaofuatilia wamenijuza kuwa
Wanasheria nguli wamejitokeza kufuatilia sakata la msanii huyu.

Inawezekana uwepo wa wanasheria ukapelekea haki kutendeka bila kukiuka haki za mtuhumiwa.

Nitaendelea kuwajuza zaidi kadiri taarifa sahihi zinavyopatikana

===≈====== UPDATE ==========
Mpaka naandika ujumbe huu, ndugu wanasema kesi imeshikiliwa na RCO, tangu amekamatwa hakuchukuliw maelezo ambapo amehojiwa Alhamisi wiki hii.

Wanasheria wameshajitokeza kufuatilia haki za mchoraji huyu wa vibonzo.

-------------SAHIHISHO------------

Watu wengi wanamfananisha mchoraji Optter na mwanavibonzo mwingine aitwaye Fredy ambaye alitumia sana kalamu yake kuwachora upinzani wakati wa uchaguziView attachment 1960746
Kwa katuni hiyo sidhani kuna mtu mwingine anaweza kulaumiwa zaidi yake mwenyewe.....

#NchiKwanza
#SiempreJMT
 
Umefufuka leo wewe? hebu rudisha kumbukumbu zako vzruri kuhusu katuni alizokuwa anachora Kipanya na wenzake kuhusu marehemu mwendazake! kimeumana! kuna mtu alidhihakiwa kama Kikwete? kadri wanavyozidi kumkingia kifua mama ndivyo na uongo unaonekana kama ukweli!

Rais ni Rais Tu Yan uwez kucheza na rais, wa inchi, Sisi tunaishi Kwa mazoea ndio shida,

Pia ni lazima ujue kuna rais wa Aina gani,
 
Cartoonist Oppter John Fwema anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay. Nimeongea na mdogo wake na amenambia kuwa Oppter alikamatwa nyumbani kwake Bunju siku ya Ijumaa tarehe 3 September 2021kwa makosa ya mtandao. Taarifa zaidi zinaendelea kupatikana Polisi na kwa familia na tutajuzana zaidi.

Oppter anafahamika kwa katuni zake zenye ujumbe wa kukosoa serikali.


View attachment 1960305 mchoro wa Katuni uliomuingiza matatani

View attachment 1960306 ukurasa wake wa Instagram


=≈========UPDATE==========

Polisi wamezuia dhamana yake. Kwa mujibu wa ndugu na jamaa wanaofuatilia wamenijuza kuwa
Wanasheria nguli wamejitokeza kufuatilia sakata la msanii huyu.

Inawezekana uwepo wa wanasheria ukapelekea haki kutendeka bila kukiuka haki za mtuhumiwa.

Nitaendelea kuwajuza zaidi kadiri taarifa sahihi zinavyopatikana

===≈====== UPDATE ==========
Mpaka naandika ujumbe huu, ndugu wanasema kesi imeshikiliwa na RCO, tangu amekamatwa hakuchukuliw maelezo ambapo amehojiwa Alhamisi wiki hii.

Wanasheria wameshajitokeza kufuatilia haki za mchoraji huyu wa vibonzo.

-------------SAHIHISHO------------

Watu wengi wanamfananisha mchoraji Optter na mwanavibonzo mwingine aitwaye Fredy ambaye alitumia sana kalamu yake kuwachora upinzani wakati wa uchaguziView attachment 1960746
Hii kesi anashinda asubuhi saa 2 hata bila wakili kama haki ikitendeka
 
Back
Top Bottom