Mchora katuni Opptertus John Fwema ashikiliwa na Polisi kwa Makosa ya Mtandao

Mchora katuni Opptertus John Fwema ashikiliwa na Polisi kwa Makosa ya Mtandao

Symbolic ni dharau.

Mama Samia ni amiri jeshi wa Tanzania.

Halafu wewe umchore kama katoto kanachochezea maji kwenye beseni; huku kabaimba ‘baba x 2’ yaani umemdharau raisi wetu.

Kwa kweli hapana, nyofoa kuja moja.

Kama awezi tukana wazazi wake, basi asitutukanie ‘Amiri Jeshi’ wetu dogo haba adabu.

Sio kila kitu lazima tuige kutoka magharibi; lazima tutunze desturi zetu.

Mh. SSH sio raisi tu watanzania, bali ni mzazi na bibi; kwa mila zetu atutukani wazazi kwa namna jamaa alivyowachora.

Nyofoa kucha, shenz type.
Ukimnyofoa kucha haibadilishi kitu chochote kwamba huyo aliyechorwa ni mtoto anaongozwa kila kitu na Kiwete
 
Let me do this for my bebe..[emoji3526]

Ni kweli, Katiba ya JMT imebainisha haki ya kutoa maoni. Lakini hakuna haki isiyo na mipaka. In other words, yaani siyo tu kwasababu Katiba imekuruhusu kutoa maoni yako ndiyo ujiachieee mpaka uwajeruhi wengine, lazima uwe na kiasi kwani haki yako inapoishia ndiyo haki ya mwenzako inapoanzia.

Sasa ikumbukwe kwamba Urais ni Taasisi. Na kila Mamlaka imetoka kwa Mungu (Warumi 13). Katuni za huyo jamaa, kwa mfano hiyo ya mama anapiga ngoma halafu yupo na JK...hiyo ni lugha ya picha na ina tafsiri kwamba mama ni DHAIFU, eti JK ndiyo anaongoza nchi kwahiyo mama anaendeshwa tu! In Law this is termed as defamation, which is defined as ruining the reputation of another, sasa siyo 'another' kama mimi an ordinary civilian, huyo ni Rais wa nchi (Amiri Jeshi Mkuu), kwahiyo hapo ameidhalilisha Taasisi ya Urais.

Sasa hii defamation inaweza kuwa slander (kwa maneno) au libel (kwa maandishi including CARTOONS).

Bebe nadhani umenielewa kidogo. Ajifunze kwa mwenzake KP (Masoud Kipanya), yule kumkamata ni shughuli manake Katuni zake kuzielewa ni mtihani!).
Yaani katuni za Kipanya ni kazi kunielewa wakati alikuwa anamchora Magufuli waziwazi kabisa na hakuna alichofanywa,sema hii ya Kikwete kuendesha bibi ni ukweli kwa hiyo inauma
 
Let me do this for my bebe..[emoji3526]

Ni kweli, Katiba ya JMT imebainisha haki ya kutoa maoni. Lakini hakuna haki isiyo na mipaka. In other words, yaani siyo tu kwasababu Katiba imekuruhusu kutoa maoni yako ndiyo ujiachieee mpaka uwajeruhi wengine, lazima uwe na kiasi kwani haki yako inapoishia ndiyo haki ya mwenzako inapoanzia.

Sasa ikumbukwe kwamba Urais ni Taasisi. Na kila Mamlaka imetoka kwa Mungu (Warumi 13). Katuni za huyo jamaa, kwa mfano hiyo ya mama anapiga ngoma halafu yupo na JK...hiyo ni lugha ya picha na ina tafsiri kwamba mama ni DHAIFU, eti JK ndiyo anaongoza nchi kwahiyo mama anaendeshwa tu! In Law this is termed as defamation, which is defined as ruining the reputation of another, sasa siyo 'another' kama mimi an ordinary civilian, huyo ni Rais wa nchi (Amiri Jeshi Mkuu), kwahiyo hapo ameidhalilisha Taasisi ya Urais.

Sasa hii defamation inaweza kuwa slander (kwa maneno) au libel (kwa maandishi including CARTOONS).

Bebe nadhani umenielewa kidogo. Ajifunze kwa mwenzake KP (Masoud Kipanya), yule kumkamata ni shughuli manake Katuni zake kuzielewa ni mtihani!).
Nimekuelewa my dear explanation yako Iko so clear Yani mie niliona tu huyo cartoonist ni mjinga na ana mu undermine Raisi mbona magufuli akiwa Raisi hawakusema anaongozwa na mwingine why Mama, na I wonder watu wenye akili potofu wanao mdharau Rais na kumwingiza kikwete kitu ambacho sio fair kabisa, waache discrimination bana being a female president haimaanishi yeye hana roadmap yake ya kuongoza yatakiwa kuheshimiana wala. Ingawa mie niliona watu wenye mawazo finyu ka huyo ni wakuachwa tu na ujinga wao
 
Hata ungekuwa ww una mamlaka ungevumilia matusi kama hayo??angekuwa Magufuli angethubutu kuandika hivyo?wachunge mipaka waandishi
 
Pole yake sana...

Sasa hivi ataunganishwa kwenye kesi ya ugaidi...
 
Kwa akili yako huyo ni rais?
Mtu akichora ushungi mwekundu amemchora rais?
😁
IMG_20211003_103559.jpg
 
Uhuru wa kutoa maoni umetoweka! Hii hali afadhali ya jana
 
Uhuru sio kuachwa utukane, udhalilishe Au ueneze uongo, kabla hatujawa walalamikaji kwahili tujue kwanza ni aina gani ya kosa la mtandao alilofanya.

Hao mawakili wanaojitokezaga et wanatetea haki niwashauri wawe wanawaelimisha watu pia kuhusu mipaka ya kile kinachoitwa Uhuru nasio kutafuta kiki zinazolenga kujitangaza kwa manufaa yao pale mtu anapokosea
 
Nimekuelewa my dear explanation yako Iko so clear Yani mie niliona tu huyo cartoonist ni mjinga na ana mu undermine Raisi mbona magufuli akiwa Raisi hawakusema anaongozwa na mwingine why Mama, na I wonder watu wenye akili potofu wanao mdharau Rais na kumwingiza kikwete kitu ambacho sio fair kabisa, waache discrimination bana being a female president haimaanishi yeye hana roadmap yake ya kuongoza yatakiwa kuheshimiana wala. Ingawa mie niliona watu wenye mawazo finyu ka huyo ni wakuachwa tu na ujinga wao
I see my wife in your reasoning..[emoji4]
 
Chora mkuu, unajiweka karibu na Ujerumani au USA.....unakuwa mkimbizi wa kisiasa kiulaiini, utarudi kugombea urais...wakikuzingua unakimbilia ubalozini....kwisha habari yao!
Au ujifanye shujaa na kusema wewe bingwa umeiondoa Covid kwa maombi ya siku 3..mwisho wa siku tunakuzika wewe na wasaidizi wako
 
Back
Top Bottom