Mchora katuni Opptertus John Fwema ashikiliwa na Polisi kwa Makosa ya Mtandao

Mchora katuni Opptertus John Fwema ashikiliwa na Polisi kwa Makosa ya Mtandao

sema nayeye artist bhana ameshindwa kutumia strong tafsida anaandika kabisa amejiachia kabisa artist wa katun unatakiwa uwe Genius Kama kipanya kipanya amepita Salama kipind kile kwa Sababu ya kuji hides
soma vizuri ameandika kiwete sasahuyo kiwete ni nani ?
 
Just tell me the mistake maana kachora vikatuni kwa hisia sana
Let me do this for my bebe..[emoji3526]

Ni kweli, Katiba ya JMT imebainisha haki ya kutoa maoni. Lakini hakuna haki isiyo na mipaka. In other words, yaani siyo tu kwasababu Katiba imekuruhusu kutoa maoni yako ndiyo ujiachieee mpaka uwajeruhi wengine, lazima uwe na kiasi kwani haki yako inapoishia ndiyo haki ya mwenzako inapoanzia.

Sasa ikumbukwe kwamba Urais ni Taasisi. Na kila Mamlaka imetoka kwa Mungu (Warumi 13). Katuni za huyo jamaa, kwa mfano hiyo ya mama anapiga ngoma halafu yupo na JK...hiyo ni lugha ya picha na ina tafsiri kwamba mama ni DHAIFU, eti JK ndiyo anaongoza nchi kwahiyo mama anaendeshwa tu! In Law this is termed as defamation, which is defined as ruining the reputation of another, sasa siyo 'another' kama mimi an ordinary civilian, huyo ni Rais wa nchi (Amiri Jeshi Mkuu), kwahiyo hapo ameidhalilisha Taasisi ya Urais.

Sasa hii defamation inaweza kuwa slander (kwa maneno) au libel (kwa maandishi including CARTOONS).

Bebe nadhani umenielewa kidogo. Ajifunze kwa mwenzake KP (Masoud Kipanya), yule kumkamata ni shughuli manake Katuni zake kuzielewa ni mtihani!).
 
Matatizo mingine ni ya kujitakia tu; hivi nyie watu wengine mtajifunza lini ya kuwa hawa watu hawana shida na ukosoaji wa adabu.

Wewe utamwitaje mtu aliekuwa raisi wa nchi majina ya ajabu ajabu na kumchora raisi wa sasa kwa namna ile.

Kila nchi ina desturi zake, mambo yanayoweza vumiliwa Kenya tu; achilia mbali nchi za ulaya. Hapahapa ndani ya East Africa yanaweza kuwa shida sio kwa sababu ya udikteta isipokuwa culture issues.

Yaani umwite mtu kiwete, halafu umchore kiongozi wa nchi kama katoto kanakochezea maji ya beseni; huku kanasema maneno ya ovyo ovyo.

Watu wengine matatizo wanayojitengenezea ni shida kuwahurumia.

Mtu kama Kigogo bado ni aninomous hata kama ameanza kujipendekeza make no mistake siku wakimkamata hao watu hawana muamana.

Kosoa unavyoweza ila hao majamaa ukiwatukania viongozi wao; ni mafisadi yaliyo usalama wa taifa ndio yatakayo husika kukutia adabu; trust me hata wao wanamipaka.

Tujifunze kuheshimu mamlaka; if you ask me dogo kajitakia.
 
Let me do this for my bebe..[emoji3526]

Ni kweli, Katiba ya JMT imebainisha haki ya kutoa maoni. Lakini hakuna haki isiyo na mipaka. In other words, yaani siyo tu kwasababu Katiba imekuruhusu kutoa maoni yako ndiyo ujiachieee mpaka uwajeruhi wengine, lazima uwe na kiasi kwani haki yako inapoishia ndiyo haki ya mwenzako inapoanzia.

Sasa ikumbukwe kwamba Urais ni Taasisi. Na kila Mamlaka imetoka kwa Mungu (Warumi 13). Katuni za huyo jamaa, kwa mfano hiyo ya mama anapiga ngoma halafu yupo na JK...hiyo ni lugha ya picha na ina tafsiri kwamba mama ni DHAIFU, eti JK ndiyo anaongoza nchi kwahiyo mama anaendeshwa tu! In Law this is termed as defamation, which is defined as ruining the reputation of another, sasa siyo 'another' kama mimi an ordinary civilian, huyo ni Rais wa nchi (Amiri Jeshi Mkuu), kwahiyo hapo ameidhalilisha Taasisi ya Urais.

Sasa hii defamation inaweza kuwa slander (kwa maneno) au libel (kwa maandishi including CARTOONS).

Bebe nadhani umenielewa kidogo. Ajifunze kwa mwenzake KP (Masoud Kipanya), yule kumkamata ni shughuli manake Katuni zake kuzielewa ni mtihani!).
Unaongea hisia zako
Kweny hisia zako kumekosekana facts

Umeitafsiri katuni kwa mlengo wako
 
Unaongea hisia zako
Kweny hisia zako kumekosekana facts

Umeitafsiri katuni kwa mlengo wako
You nailed it, kwa mtazamo wangu hapo waliomkamata mchoraji ndiyo walitakiwa kukamatwa, hivi tangu lini kumchora mwanasesere amevaa ushungi mwekundu ni kosa? Au kuandika mlemavu wa miguu anayesota ni kosa? Au wamshitaki kwa kuchora bendera ya taifa kwenye sufuria
 
Dogo ande stick na kuchora cover za nyimbo
Kuchora siasa Hana hiko kipaji
Katuni zake zinakuwa hazina adabu
 
Yaani umwite mtu kiwete, halafu umchore kiongozi wa nchi kama katoto kanakochezea maji ya beseni
Hajamchora kiongozi amechora katoto, je kuchora katoto kanachezea maji ni kosa? Kwani viwete siyo watu?
 
Badala ya neno "nchi",angeweza kuandika "gari".Neno kiwete pia halikuwa na ulazima kuwekwa...picha inayomwakilisha huyo "kiwete" ingetosha.
 
You nailed it, kwa mtazamo wangu hapo waliomkamata mchoraji ndiyo walitakiwa kukamatwa, hivi tangu lini kumchora mwanasesere amevaa ushungi mwekundu ni kosa? Au kuandika mlemavu wa miguu anayesota ni kosa? Au wamshitaki kwa kuchora bendera ya taifa kwenye sufuria
Embu acheni kupongezana ujinga.

Yaani kumchora raisi wa nchi, kama katoto kadogo kanakochezea beseni huo kwako ni utani.

Kama tamaduni zetu kuna mambo mengine lazima tuseme hapana.

Kama utaniuliza mimi; dogo lazima anyofolewe hata kucha moja.

Hana adabu.
 
Hajamchora kiongozi amechora katoto, je kuchora katoto kanachezea maji ni kosa? Kwani viwete siyo watu?
Symbolic ni dharau.

Mama Samia ni amiri jeshi mkuu wa Tanzania.

Halafu wewe umchore kama katoto kanachochezea maji kwenye beseni; huku kanaimba ‘baba x 2’ yaani umemdharau raisi wetu ivyo.

Kwa kweli hapana, nyofoa kuja moja.

Kama awezi tukana wazazi wake, basi asitutukanie na ‘Amiri Jeshi’ wetu dogo haba adabu.

Sio kila kitu lazima tuige kutoka magharibi; lazima tutunze desturi zetu.

Mh. SSH sio raisi tu watanzania, bali ni mzazi na bibi; kwa mila zetu atutukani wazazi kwa namna jamaa alivyowachora.

Nyofoa kucha, shenz type.
 
Kwa akili yako huyo ni rais?
Mtu akichora ushungi mwekundu amemchora rais?
The resemblance is obvious; we nawe unatakiwa kunyofolewa kucha huna adabu.

Ni mwehu tu anaeweza tetea ujinga ule; sio kwa sababu ya nafasi za walichorwa; hila namna walivyochorwa.

Bila ya kunyofoa kucha hata moja wahusika watakuwa wametukosea sana.

Tukosoe viongozi wetu, kwa mila zetu.
 
The resemblance is obvious; we nawe unatakiwa kunyofolewa kucha huna adabu.

Ni mwehu tu anaeweza tetea ujinga ule; sio kwa sababu ya nafasi za waliochorwa kwa nafasi zao; hila namna walivyochorwa.

Bila ya kunyofoa kucha hata moja wahusika watakuwa wametukosea sana.

Tukosoe viongozi wetu, kwa mila zetu.
🖕
 
Symbolic ni dharau.

Mama Samia ni amiri jeshi wa Tanzania.

Halafu wewe umchore kama katoto kanachochezea maji kwenye beseni; huku kabaimba ‘baba x 2’ yaani umemdharau raisi wetu.

Kwa kweli hapana, nyofoa kuja moja.

Kama awezi tukana wazazi wake, basi asitutukanie ‘Amiri Jeshi’ wetu dogo haba adabu.

Sio kila kitu lazima tuige kutoka magharibi; lazima tutunze desturi zetu.

Mh. SSH sio raisi tu watanzania, bali ni mzazi na bibi; kwa mila zetu atutukani wazazi kwa namna jamaa alivyowachora.

Nyofoa kucha, shenz type.
🖕
 
Ni hivi binafsi siwezi kukujaribu wewe uweke picha fulani ya wazazi wako katika mazingira fulani.

Kwanini siwezi fanya hivyo; kwa sababu nawaheshimu kama ninavyowaheshimu wazazi wangu.

On the same token si sahihi mtu kuwavunjia heshima wazazi wa wengine. Isitoshe mtu aliekuwa kiongozi(JK) zaidi ya hapo umchore na raisi wa nchi kama katoto kadogo kanakochezea beseni.

Nyofoa tu kucha moja.

Nyie watoto hamna adabu
 
Back
Top Bottom