TANZIA Mchoraji wa katuni ya Mohammad (Lars vilks) afariki dunia kwa ajali ya gari

Wenzetu wako serious kiasi chake kwenye kulinda raia wake.

Toka 2007 mpaka leo mtu analindwa na polisi kisa anatishiwa kuuwawa.

Sisi tunajitahidi kuwalinda tembo na faru Kwa u-serious huo dhidi ya poacherskla

Mitume hawadhihakiwi lazima kikupate tu,Amelindwa lakini amekufa kifo cha fedheha gari lake limeungua moto,kaungua kwanza hapa hapa na anakoenda atakutana nao moto
 
Naisi ni fake accident ili kuingiza maboya kwenye mtego wajue kafa kumbe!!
 
Licha ya hiyo Accdent nasikia kaungua kwa moto hasa watu wabaya wanaanza kulipwa hapa hapa Jahannam iwe makazi yako.
 
Kama hawezi kuchorwa kwa sababu hakuna aliyemuona kwa nini msipuuzie hiyo michoro? Kwa nani waislam walivyo react kwa hiyo michoro, ni wazi hii dini na ugaidi ni pipa na mfuniko. Huyo kapata ajali ya kawaida tu, tena alishavuka umri elekezi wa miaka 70 ambao Bible inataja.
 
Huko motoni alipo ameen[emoji120][emoji120][emoji120]
Wala msitishe watu kama vile mliwahi kufika peponi. Tena inawezekana huko aliko washamaliza utani wao na Mwamedi na sasa wanapiga vyombo.
 
Unajuaje kama ni mbinu tu wametumia ili wawapoteze waliokuwa wanaomtafuta wamuuwe? Tuseme kafa kweli, je kifo chake kimefuta kile kibonzo akilini mwa watu?
Hayo mambo ndio maana kuna watu wanaamini hadi leo kuwa 2pac hakufa yupo hai kajificha sijui wapi huko.
 
Mh coincidence.... siyo kwa vile alichora
Mambo hayo ndio yale ya kuhusisha kifo cha Magufuli na kudai et Mungu kamuondoa kwa sababu alikuwa dikteta au sijui kafa kwa corona kwa sababu aliidharau corona.
 
Mwanzo wa uzi mpaka hapa sijaona hizo cartoons za mtume sijajua kwanini,mimi naweka liwalo na liwe.



 
Mambo hayo ndio yale ya kuhusisha kifo cha Magufuli na kudai et Mungu kamuondoa kwa sababu alikuwa dikteta au sijui kafa kwa corona kwa sababu aliidharau corona.
Issue ya Mungu tuko pamoja, hakuna cha Mungu hapa maana kuna attrocities nyingi zimefanywa na watawala kama magufuli, lkn walidumu duniani miaka mingi sana eg Idd Amin to mention one, but there is a multitude of them; mbona hao Mungu hakuwaangamiza> After all I do question the existence of God anyaway!

Issue two with regard to corona, I beg to differ for the following reasons:
1. Magufuli downplayed the consequences of corona, he even dared to "provoke" corona virus that it is like hydrogenated cooking oil and therefore vulnerable to melt... ie once subjected to natural concoctions like Kikomba cha babu, including "KUJIFUKIZA" corona was susceptible to heat, labile and therefore easily killed. That was quite unscientific, a real downplay!
2. He did not take any approved measures (such as wearing face masks, hand wash (though I was not in his vicinity), ignoring unnecessary gatherings, and the like) to protect himself from infection. THEREFORE THERE IS A GREAT POSSIBILITY THAT HE GOT INFECTED AND DIED OF CORONA ......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…