Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mwenzetu "Mchukia Fisadi" amefiwa na baba yake mzazi usiku wa kuamkia leo na yuko safarini kuelekea Bukoba kwenye mazishi.
Kanifahamisha nami nikaona ni vyema kuwafahamisha. Wale wenye namba yake ya simu mnaweza kuwasiliana naye kwa maelezo zaidi.
RIP mzazi wa mwenzetu.