MtotoKautaka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 373
- 895
Huyu Binti ni mrembo, ana asili ya uarabu.
Nilimpata ugenini mkoani nilipoenda kwa ajili ya mambo yangu.
Binti anafanya kazi office flani hapo mjini.
Niliuliza wenyeji pindi nilipojiridhisha kwamba naweza mtongoza na anafaa kuwa mke wangu.
Kabla sijamfata niliuliza washkaji wakanambia Binti yupo yupo haonekani kuwa mtu wa mambo mengi sana kwahyo wakanipa mibaraka mhuni nikaanza kumsalandia.
Huku na kule swara kajaa kwenye taya za tiger kabanwa katema bungo muhuni nkanyanyua kwapa shingoni nimepigilia medali ya gold mashabiki wanabubujikwa na machozi majukwaani wanatamani waruke wanifate nilipo tupate selfies kwa ukumbusho ila ulinzi ulikuwa mkali mm huyo na kombe langu kabatini.
Kalenda ikasogea nikaomba show, yeye amepanga namm pia nimepanga so nilianza kama kawaida kumtembelea kwake mwisho wa siku nikaomba show nikapewa nikaloweka kama kisawa sawa peku kwasababu tulikuwa tushapima na tupo okay.
To cut the long story, siku zikasogea honestly tulikuwa tunaenjoy sana sex yani mpka yeye mwenyew akiwa ofsn ananichek anasema kamisi show.
Nilichojifunza, a good sex inategemea na bond iliyopo kati yenu, mnavoishi na hisia zenu.
Yani hakukuwa na mbwembwe sijui za kunyonyana sjui kupakana mate ni stories mbili tatu za kimahaba kuvuana na kuanza kazi lakini enjoyment yake ni zaid hata ya hao wanaojiita mafundi wa kitandani.
Show inapigwa ya kibabe wote mnarizika. Ilikuwa inafika muda usiku tumelala naamshwa naambiwa njoo uichakate nikisema nimechoka kitu kinashikwa naambiwa njoo uichakate, nakosa namna naamka tunaenjoy tunaoga tunalala.
Sasa siku zote hizo tulikuwa tunaenjoy, haikuchukuwa siku nyingi sana nikaanza kunotice kama kiharufu flani.
Mwanzoni nikasema ni kawaida tu labda hajanisafisha vzur bas siku ikapita japo skupenda ile hali
Baada ya siku kama mbili ile harufu ikaja tena kwa kasi aaa ikanibidi nimwambie nakumbuka ilikuwa asubuhi tunapeana morning glory twende mishemishe.
Hapo tulikuwa tushaanza kuongelea maswala ya kuoana kwasababu bond ilikuwa ni Kali sana na tulikuwa tunaenjoy maisha sana.
To be continued........
Nilimpata ugenini mkoani nilipoenda kwa ajili ya mambo yangu.
Binti anafanya kazi office flani hapo mjini.
Niliuliza wenyeji pindi nilipojiridhisha kwamba naweza mtongoza na anafaa kuwa mke wangu.
Kabla sijamfata niliuliza washkaji wakanambia Binti yupo yupo haonekani kuwa mtu wa mambo mengi sana kwahyo wakanipa mibaraka mhuni nikaanza kumsalandia.
Huku na kule swara kajaa kwenye taya za tiger kabanwa katema bungo muhuni nkanyanyua kwapa shingoni nimepigilia medali ya gold mashabiki wanabubujikwa na machozi majukwaani wanatamani waruke wanifate nilipo tupate selfies kwa ukumbusho ila ulinzi ulikuwa mkali mm huyo na kombe langu kabatini.
Kalenda ikasogea nikaomba show, yeye amepanga namm pia nimepanga so nilianza kama kawaida kumtembelea kwake mwisho wa siku nikaomba show nikapewa nikaloweka kama kisawa sawa peku kwasababu tulikuwa tushapima na tupo okay.
To cut the long story, siku zikasogea honestly tulikuwa tunaenjoy sana sex yani mpka yeye mwenyew akiwa ofsn ananichek anasema kamisi show.
Nilichojifunza, a good sex inategemea na bond iliyopo kati yenu, mnavoishi na hisia zenu.
Yani hakukuwa na mbwembwe sijui za kunyonyana sjui kupakana mate ni stories mbili tatu za kimahaba kuvuana na kuanza kazi lakini enjoyment yake ni zaid hata ya hao wanaojiita mafundi wa kitandani.
Show inapigwa ya kibabe wote mnarizika. Ilikuwa inafika muda usiku tumelala naamshwa naambiwa njoo uichakate nikisema nimechoka kitu kinashikwa naambiwa njoo uichakate, nakosa namna naamka tunaenjoy tunaoga tunalala.
Sasa siku zote hizo tulikuwa tunaenjoy, haikuchukuwa siku nyingi sana nikaanza kunotice kama kiharufu flani.
Mwanzoni nikasema ni kawaida tu labda hajanisafisha vzur bas siku ikapita japo skupenda ile hali
Baada ya siku kama mbili ile harufu ikaja tena kwa kasi aaa ikanibidi nimwambie nakumbuka ilikuwa asubuhi tunapeana morning glory twende mishemishe.
Hapo tulikuwa tushaanza kuongelea maswala ya kuoana kwasababu bond ilikuwa ni Kali sana na tulikuwa tunaenjoy maisha sana.
To be continued........