Mchumba alinikwepa alivojua ana gonjwa sugu la zinaa

Mchumba alinikwepa alivojua ana gonjwa sugu la zinaa

Nashauri muende hospitali kubwa au hospitali mtakayo onana na daktari bingwa .
Wakati mwingine matumizi yasiyo sahihi ya dawa zisizo sahihi inaweza kupelekea USUGU wa ugonjwa na hata kupelekea ugonjwa kuelekea kutotibika.
Au kujitibia nusu nusu inaweza kupelekea usugu wa vimelea vya ugonjwa na kutokupona kikamilifu
ambayo mwisho wa siku inapelekea kujiambukiza upya tena kabla ya kupona na mzunguko unajirudia wa kujiambukiza na kujitibia nusunusu.
Ikiwemo kutibiwa wote wawili tu haitoshi kama kuna mmoja wenu ana michepuko ya pembeni ambayo haikutibiwa na anakutana nayo kimwili pembeni wakati pindi mnapoendelea na matibabu.(wapenzi wengi wa nje zaidi ya mmoja )
Kutibiwa na watu wasio sahihi au kununua dawa maduka ya dawa bila ushauri wa madakatari au kutibiwa kwenye vioski vijiwe au zahanati mitaani sisemi kwamba ni mbaya ila kuna baadhi ya huduma zinapatikana hospitali kubwa pekee hivyo
NASHAURI MKATIBIWE HOSPITALI KUBWA NA ITAPENDEZA MKIONWA NA DAKTARI BINGWA.
 

Attachments

  • images - 2024-10-19T154742.799.jpeg
    images - 2024-10-19T154742.799.jpeg
    10.9 KB · Views: 1
Huku na kule swara kajaa kwenye taya za tiger kabanwa katema bungo muhuni nkanyanyua kwapa shingoni nimepigilia medali ya gold mashabiki wanabubujikwa na machozi majukwaani wanatamani waruke wanifate nilipo tupate selfies kwa ukumbusho ila ulinzi ulikuwa mkali mm huyo na kombe langu kabatini.
Mh! You bubuno too much!!
 
Nawewe atakuwa amekuambukiza sema ukwel kama ajakuambukiza bas sio gonjwa la zinaa ni shida nyingine
 
Back
Top Bottom