Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Niko poa tuna muda mrefu hatushiriki tendo kwasababu yeye bado anaumwa na mimi pia sitak kufanya naye mpk aje aponeKwaiyo naww una gonjwa la zinaaa
Na hivi ndivo tulivoambiwa hosiiHuyo binti alizembea kuitibu STI mpaka imepelekea kuwa sugu na huenda ikadevelop kuwa cancer
Gonjwa la zinaa likubambe bila kusikia washa washa kama ile ya maji ya Polisi ya kuzimia ghasia, imekaaje hii?Huyu Binti ni mrembo, ana asili ya uarabu.
Nilimpata ugenini mkoani nilipoenda kwa ajili ya mambo yangu.
Binti anafanya kazi office flani hapo mjini.
Niliuliza wenyeji pindi nilipojiridhisha kwamba naweza mtongoza na anafaa kuwa mke wangu.
Kabla sijamfata niliuliza washkaji wakanambia Binti yupo yupo haonekani kuwa mtu wa mambo mengi sana kwahyo wakanipa mibaraka mhuni nikaanza kumsalandia.
Huku na kule swara kajaa kwenye taya za tiger kabanwa katema bungo muhuni nkanyanyua kwapa shingoni nimepigilia medali ya gold mashabiki wanabubujikwa na machozi majukwaani wanatamani waruke wanifate nilipo tupate selfies kwa ukumbusho ila ulinzi ulikuwa mkali mm huyo na kombe langu kabatini.
Kalenda ikasogea nikaomba show, yeye amepanga namm pia nimepanga so nilianza kama kawaida kumtembelea kwake mwisho wa siku nikaomba show nikapewa nikaloweka kama kisawa sawa peku kwasababu tulikuwa tushapima na tupo okay.
To cut the long story, siku zikasogea honestly tulikuwa tunaenjoy sana sex yani mpka yeye mwenyew akiwa ofsn ananichek anasema kamisi show.
Nilichojifunza, a good sex inategemea na bond iliyopo kati yenu, mnavoishi na hisia zenu.
Yani hakukuwa na mbwembwe sijui za kunyonyana sjui kupakana mate ni stories mbili tatu za kimahaba kuvuana na kuanza kazi lakini enjoyment yake ni zaid hata ya hao wanaojiita mafundi wa kitandani.
Show inapigwa ya kibabe wote mnarizika. Ilikuwa inafika muda usiku tumelala naamshwa naambiwa njoo uichakate nikisema nimechoka kitu kinashikwa naambiwa njoo uichakate, nakosa namna naamka tunaenjoy tunaoga tunalala.
Sasa siku zote hizo tulikuwa tunaenjoy, haikuchukuwa siku nyingi sana nikaanza kunotice kama kiharufu flani.
Mwanzoni nikasema ni kawaida tu labda hajanisafisha vzur bas siku ikapita japo skupenda ile hali
Baada ya siku kama mbili ile harufu ikaja tena kwa kasi aaa ikanibidi nimwambie nakumbuka ilikuwa asubuhi tunapeana morning glory twende mishemishe.
Hapo tulikuwa tushaanza kuongelea maswala ya kuoana kwasababu bond ilikuwa ni Kali sana na tulikuwa tunaenjoy maisha sana.
To be continued........
Me nimetoa msaada tuyaan we jamaa kwaiyo unadhan hospital mara zote hawajui dawa kwan alikwambia aliempeleka kwa mganga
Nyie ndio mnakomaza magonjwa yanakuwa SUGU!Inabidi upate- ceftriaxone inj 500mg(5days)+Azithromycin 500mg(3days)
Pole dogo
Yawezekana hakuzembea,shida ni madaktari hospital wanatibu kwa kubahatisha.Huyo binti alizembea kuitibu STI mpaka imepelekea kuwa sugu na huenda ikadevelop kuwa cancer
Madaktari hewa wameshamtisha teyar na amepata sonona...Muendelezo..........
Ile hali ilipozidi nikamshauri twende hosii, tulipoenda tukaambiwa tuna UTI tukapewa dawa na kuambiwa tusi sex mpka dozi ziishe.
Tulipomaliza dozi tukajioa na muda wa ziada kama wiki hivi Kila mtu akawa anaishi kwake.
Baadaye tukakutana tena, hali ilikuwa poa no harufu wala nini.
Eh bwana weeh haikuisha hata wiki ile hali ikarudi bad odor duh nkamwambia na tukashauriana twende hosii Tena.
Tukaenda tukapewa dawa tena this time alipewa dawa za kutumbukiza kwenye k namm nkapewa ma vidonge fran ya kijani. Yeye aliandikiwa na sindano pia, tukakatazwa kushiriki tendo mpka dozi iishe tukafanya hvo mpka dozi ikaisha tukajipa Tena wiki mbili bila kusex baada ya hapo tukarudi mzigoni.
Kama kawaida mwanzoni hali fresh baada ya siku kadhaa kupita ile hali ikarudi tena. Plus na maji maji mazito kama ya maziwa daaah shughuli ikaingia mmasai.
Nakumbuka siku hiyo alinambia manaake amemuita kwao akaenda. Jioni akanambia kesho yake wanaeda hosii kupigwa ultrasound na kuonana na madaktar.
Keshokutwa yake karudi mtaani tulivoonana alikuwa kabadilika sana Kawa mpole nikamuliza shida nini akasita kunambia ukweli.
Nikampa time apoe kwanza then atanambia baadaye.
Baada kama ya siku mbili nikawa naenda kwake lakini anagoma kabisa kusex hataki katakata ananambia anaumwa.
Kwasababu nilimpenda nikawa namuelewa na sikuwa namfosi. Siku alipokuwa anamiss sex alikuwa ananiita tunaenjoy japo hali ilikuwa mbaya harufu kali mwsho wa siku nikamwambia tusisex tena mpka apone completely.
Maisha yalibadilika yakawa magumu no sex ile furaha ya mwanzo haikuepo tena yani tukawa tunaishi ilimradi tu.
Baadae baada ya kumganda kanambia anashida kubwa isiyotibika kirahisi anasema hali alonayo inaweza mpelekea akapata kansa Sasa hapo skumuelewa vizur.
Nilimwambia kama vipi tufatilie matibabu kama vipi nipo tayari kuchangia gharama za matibabu. Akanambia ameambiwa anahitajika kufanyiwa Operation nikamuliza costs lakini hakuwa open na mimi sikujua why ananificha ficha kwasababu nipo tayar kumchangia kadri nitakavoweza siyo kwasababu ya sex tu bali ni wife material na ni mtamu sana kitandani.
Kanambia atanambia kuhusu matibabu lakini mpka saizi anasema kapoteza matumaini ya kuishi, kuzaa na hata confidence yake ipo chini sana kulinganisha na mwanzo.
Nitaleta mrejesho
Mim siyo doktaNyie ndio mnakomaza magonjwa yanakuwa SUGU!
MADAKTARI FEKI MTAANI NI WENGI.
NA MADAKTARI HALISI WENGI WANATIBU KWA KUBAATISHA.
Kwa akili zako kuna magonjwa mangap ya zinaa maana inaonekana unajua tu gonoGonjwa la zinaa likubambe bila kusikia washa washa kama ile ya maji ya Polisi ya kuzimia ghasia, imekaaje hii?
Usitupelekeshe saaana kinadharia, simulizi ziendane na ukweli kwa sababu wengine tulikuwa wahuni sana ujanani na sasa tumebaki tu kugumia tukiona vinapita.
Hauwezi kuanza kunuka bila kuwashwa, vinginevyo tatizo litakuwa kwako mwenyewe, kapime afya kabla haujaanza kutafuta wa kumrushia kihunzi.
Ni atar sana🙄🙄🙄Huyu Binti ni mrembo, ana asili ya uarabu.
Nilimpata ugenini mkoani nilipoenda kwa ajili ya mambo yangu.
Binti anafanya kazi office flani hapo mjini.
Niliuliza wenyeji pindi nilipojiridhisha kwamba naweza mtongoza na anafaa kuwa mke wangu.
Kabla sijamfata niliuliza washkaji wakanambia Binti yupo yupo haonekani kuwa mtu wa mambo mengi sana kwahyo wakanipa mibaraka mhuni nikaanza kumsalandia.
Huku na kule swara kajaa kwenye taya za tiger kabanwa katema bungo muhuni nkanyanyua kwapa shingoni nimepigilia medali ya gold mashabiki wanabubujikwa na machozi majukwaani wanatamani waruke wanifate nilipo tupate selfies kwa ukumbusho ila ulinzi ulikuwa mkali mm huyo na kombe langu kabatini.
Kalenda ikasogea nikaomba show, yeye amepanga namm pia nimepanga so nilianza kama kawaida kumtembelea kwake mwisho wa siku nikaomba show nikapewa nikaloweka kama kisawa sawa peku kwasababu tulikuwa tushapima na tupo okay.
To cut the long story, siku zikasogea honestly tulikuwa tunaenjoy sana sex yani mpka yeye mwenyew akiwa ofsn ananichek anasema kamisi show.
Nilichojifunza, a good sex inategemea na bond iliyopo kati yenu, mnavoishi na hisia zenu.
Yani hakukuwa na mbwembwe sijui za kunyonyana sjui kupakana mate ni stories mbili tatu za kimahaba kuvuana na kuanza kazi lakini enjoyment yake ni zaid hata ya hao wanaojiita mafundi wa kitandani.
Show inapigwa ya kibabe wote mnarizika. Ilikuwa inafika muda usiku tumelala naamshwa naambiwa njoo uichakate nikisema nimechoka kitu kinashikwa naambiwa njoo uichakate, nakosa namna naamka tunaenjoy tunaoga tunalala.
Sasa siku zote hizo tulikuwa tunaenjoy, haikuchukuwa siku nyingi sana nikaanza kunotice kama kiharufu flani.
Mwanzoni nikasema ni kawaida tu labda hajanisafisha vzur bas siku ikapita japo skupenda ile hali
Baada ya siku kama mbili ile harufu ikaja tena kwa kasi aaa ikanibidi nimwambie nakumbuka ilikuwa asubuhi tunapeana morning glory twende mishemishe.
Hapo tulikuwa tushaanza kuongelea maswala ya kuoana kwasababu bond ilikuwa ni Kali sana na tulikuwa tunaenjoy maisha sana.
To be continued........
Ndio Maana yake....Kwaiyo naww una gonjwa la zinaaa
Nipo okayKwaiyo naww una gonjwa la zinaaa
AnagomaPole sana kijana, mtibie mwenzio sio unawaza minyanduo tu.
Kama ulimtongoza na akakubali mpaka umshenyente kwake unaahundwa nini kumshawishi kumtibia.??
Mshawishi kama ulivyoweza kumshawishi ukampiga pumbu.Anagoma
Ntajaribu akikataa me namuachaMshawishi kama ulivyoweza kumshawishi ukampiga pumbu.