Mchumba amebadilika na kuwa mlokole, sasa ni tabu tupu, bora kuoa mpagani

Mchumba amebadilika na kuwa mlokole, sasa ni tabu tupu, bora kuoa mpagani

Mpe msimamo wako; kila mtu ashike 50 zake.

Ila pale juu umeandika ulifurahi bora uwe na mke mcha Mungu: sasa huo ucha Mungu ungekamilika vipi bila yeye kubadili njia zake? Au unataka mke mwenda kanisani?
Shida kaka kwa sasa siwezi kuishi kama walokole ndugu yangu, siwezi kua nakesha kwenye makanisa, nilikua siku za mwisho mwisho kwenda kuchumbia ila ndo likaja na ilo, kwa kweli upande wangu nimejaribu sanaa kaka kulimaliza hili, lakini manabii na mitume wamenizidi nguvu.
 
Manabii are very charismatic

Women find it hard to resist these people


Wana uwezo mkubwa sana wa ushawishi,mwanamke asipokuwa makini anaweza kuona kila anachoongea mume ni pumba inahitaji jicho la tatu kumtoa mbwa kwenye chatu..

Ni automatic tu mbwa anavutwa na nguvu ya chatu bila nguvu nyingi

Watu wengi wa hivo uwaga wamezaliwa na huo ushawishi au wamesoma sana vitabu na kuvifanyia kazi au wame train mind zao kuwa silent(meditators)

Wacheki watu km lusekelo kuanzia voice,tone,body language unaona kabisa huyu mtu ana nguvu flani ndani yake...

Sasa that taste ni kitu ambacho most women cant resist.Akisema kauli inaweza kuwa tiba au uharibifu.
 
Kwa kweli na hapo nyumbani aondoke tu; ndiyo ulokole utanoga vizuri sasa
Muda mwingine namuonea huruma, hana kazi ila ndio yuko deep na dini haswa, nasema ata nikimwambia its over ni atarudi kwao ambako nilimkuta ata hela ya bando tu alikua hana,,,jamani watu wana jisahau ndo namuwazia hapa sasa hela za mahitaji yake atapata vp na wap? Na mie sina mkono wa birika chochote akitakacho anakipata bila hiyana yoyote tu.
 
Screamer, Naughty and Wild

Hayo maneno matatu kwa mtu yeyote anayejua nini hasa maana halisi ya kupigana miti na umuhimu wake katika dhana nzima ya mahusiano ya kimapenzi, ninaamini amekuelewa.

Wapo baadhi ya ke ni ma- professor ktk sekta ya kut0ππbana hadi raha aiseee daaaaaaah!
 
Manabii are very charismatic

Women find it hard to resist these people


Wana uwezo mkubwa sana wa ushawishi,mwanamke asipokuwa makini anaweza kuona kila anachoongea mume ni pumba inahitaji jicho la tatu kumtoa mbwa kwenye chatu..

Ni automatic tu mbwa anavutwa na nguvu ya chatu bila nguvu nyingi

Watu wengi wa hivo uwaga wamezaliwa na huo ushawishi au wamesoma sana vitabu na kuvifanyia kazi au wame train mind zao kuwa silent(meditators)

Wacheki watu km lusekelo kuanzia voice,tone,body language unaona kabisa huyu mtu ana nguvu flani ndani yake...

Sasa that taste ni kitu ambacho most women cant resist.Akisema kauli inaweza kuwa tiba au uharibifu.
Yeah brother, i second you🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Hili swala sikuwai kujua kama linaweza kutokea kwangu, sababu sio jambo geni na nimeona mengi ya ivyo, ila ni mtu yoyote tu, asubuhi moja unaweza kuamka na ukamkuta mkeo amekua sio yule wa jana.
 
Wewe sio Mungu kwamba usipomsaidia atakufa. Anaweza akaishi salama bila wewe; ila asiishi salama bila Mungu. Muache arudi kwao, akose hata ya hela bundle afu ndiyo Imani yake itathibika hapo. Akishindwa basi atarudi kwako na ulokole ameuacha, mtaishi kama unavyotaka, hatokuwa na masharti tena. Akiweza kuishinda njaa; atakuwa amechagua fungu jema zaidi. Achana na mambo ya huruma; ni ngumu sana kuishi na mtu asiyeamini unachokiamini, hata wewe mwenyewe utakuja kuchoka tu.
Muda mwingine namuonea huruma, hana kazi ila ndio yuko deep na dini haswa, nasema ata nikimwambia its over ni atarudi kwao ambako nilimkuta ata hela ya bando tu alikua hana,,,jamani watu wana jisahau ndo namuwazia hapa sasa hela za mahitaji yake atapata vp na wap? Na mie sina mkono wa birika chochote akitakacho anakipata bila hiyana yoyote tu.
 
Mwambie hivi, flani, kwa muda sasa nimejaribu kuitazama mienendo yangu, sipendezwi nayo, nataka kumrudia Mungu, nataka kulekebisha njia zangu. Uwepo wako hapa nyumbani hunipa hamasa kali za mapenzi hasa ukizingatia ninavyokupenda, hivyo nimeona tujipe nafasi kidogo ili nami nimtafute Mungu, baada ya hapo nitakuja kuleta posa nyumbani kwenu, nadhani ni vema ukiwa nyumbani kwa muda huo ili tufate mila na desturi. Sijui wewe mpenzi unasemaje?

Hii inatosha kuanzia mazungumzo. Hakikisha hubadili msimamo.
 
Shida kaka kwa sasa siwezi kuishi kama walokole ndugu yangu, siwezi kua nakesha kwenye makanisa, nilikua siku za mwisho mwisho kwenda kuchumbia ila ndo likaja na ilo, kwa kweli upande wangu nimejaribu sanaa kaka kulimaliza hili, lakini manabii na mitume wamenizidi nguvu.
Narudia tena, utakuja kujilaumu wewe mwenyewe. Nimemaliza
 
Back
Top Bottom