Mchumba amebadilika na kuwa mlokole, sasa ni tabu tupu, bora kuoa mpagani

Itakuwa alikuwa anamuombea ushauri mumewe bana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hahaha kaburi limefukuliwa.

Tatizo watu waongo halafu hawatunzi kumbukumbu. Yani mtu asubuhi ni mvulana jioni ametransform kuwa mschana[emoji3]
 
Huyo nabii atakuwa anamnyandua, sio bure! Mkuu mkimbie huyo demu chap
 
Mchungaji akihubiri acha dhambi; utaambiwa wake zetu wanawasikiliza sana Wachungaji; as if Wachungaji wana Biblia zao binafsi tofauti na hizi za kwetu tunazobebaga jumapili na, wengine kuziweka chini ya mito tunavyolala ili tusikabwe na majini heheeh
Taabu tupu
 
Mara sitaki ushauri wa mtu nimetoa ushuhuda tu, mara nipeni ushauri mmewezaje.... shubamiti zako kaa kwa kutulia wewe freemason "666" acha nabii aendelee kujipigia.
 
Pastor atakupangia mpaka muda wa kumfilimba huyo 'kondoo' wake, achana nae mkuu

Kwani ulimpenda akiwa mlokole? Hizo pigo za kilokole nani kamwambia zinakuvutia??? [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu mimi nimekaa na walokolee sana.
Wana tabia za ajabu hata mimi walikuwa wana sema nina mapepo kisa nimekataa kuwasikilizaa..

Huyoo ni mke wako lazima akusikilize na akuheshimu.

Ulokole hauwezi zuiaa heshima ya ya kutuoa penzii au kushindwa kutaniana.

Cha msingi kuwa na msimamo we siku kwanye zako beer kaa nae chinii anza na neno mke wangu tabia yako imenichosha...

Sina hamu kabisa na wewe/napoteza hamu na wewe na mwambie sijuii na sidhani kama tuta weza kuendelea...

Mwambie wewe unaona bora arudi kwanza nyumbanii akapumzikee mpaka pale atakapo ona kuwa anaweza kuendana na wewe....


Akisepa tu week ya kwanza unatuma msg ya it over [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Au jitaidi akufumanie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata na msg na picha za mchepukoo... Atakuona hufaii ila ita kusaidia kuwa huru.

Sent using mt4 app
 

Duuuu nimekosa cha kuongeza maana nilita kuchangia jambo lakini huu mchango umenizuia! Nimejifunza kuwa si mara zote ni changie bali nikisoma ya wengine nafaidika zaidi!Asante sana!
 
Mchungaji akihubiri acha dhambi; utaambiwa wake zetu wanawasikiliza sana Wachungaji; as if Wachungaji wana Biblia zao binafsi tofauti na hizi za kwetu tunazobebaga jumapili na, wengine kuziweka chini ya mito tunavyolala ili tusikabwe na majini heheeh
Yawezekana wanazo nyingine, maana sikwakucheka wanawake ujinga
 
Nimepanga kumwambia hili la mie nisiwe kikwazo chake cha wokovu wa milele, anaweza kuondoka tu sina jinsi, ila nakosa pakuanzia.
Unakosa pa kuanzia kwani wewe ni samaki ukitolewa ziwani unakufa ebu acha kuwa na akili za Polepole bwana kuringishia watu V8
 
Sasa Kama.mnaishi wote..SI muoane TU...wewe kinakushinda nini kumuoa mlokole wa watu?.
Siku ukija kuokoka ndani kwetu utaondoka na ukaolewe na walokole wenzio. Eti mchungaji anatoa mapepo jitu limetoka visiga kote huko halina mapepo kafika kwenye magofu ya UFUFUO NA UZIMA linapandisha mapepo. Ujinga mtupu. Bora uende kusali kawaida usije kuokoka.
 
Kimbia unangoja nini na kwanini bado hujamtimua kwako!? Hakuna mke hapo bali majanga.
πŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈ
 
Ningependa saanaaa na nilishamwambia, ila tulipofikia sitamani tena.
Hauna maamuzi wewe ama unakaa kwake. Hao mitume na manabii aisee wanapumbaza sana watu akili. Kuna mmoja anavithomba sana videmu navyo vinaona kama vinatembea na mtu aliyekaribu na mungu. Ukiachilia mbali madawa ya kulevya kutia watu uchizi. Ulokole unafuatia.
 
Weweee weweee weweee jamaa ebu kuwa mkweli kaokoka huyu mwanamke wako ama wewe!? Daah ungekuwa karibu ningekuzaba kibao. Mtu hana huruma na wewe unamtakia nini lakini ebu kuwa na akili basi.
 
Kama hapo ni kwako akienda kanisani muite fundi badilisha kitasa kisha utafute sehemu ukalale hata siku mbili. Akija akikuta mabadiliko atarudi kwa mitume wake ataondoka akirudi ni kuchukua vitu vyake ataenda kukaa na wenzake gheto. Hakuna watu wanasengenyana kama hao walokole. Mfukuze huyo.
 
Kwa nini unaishi nae bila ndoa? Namaanisha kabla ya pepo kumuingia? Mwambie hivi " naishi na wewe bila ndoa na umebadilika gafla mimi siwezi vumilia tena. Naomba uondoke kwangu nipate mwanamke mwingine"

Utupe mrejesho.nahisi nabii wake ndo kachukua nafasi
 
Huyo inabidi uwe unambaka hukohuko kwenye ulimwengu wake wa roho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…