Mchumba anasomeshwa cherehani tu

Life is shorter, uki plus stress became shortest.
Solution: Never fight your enemy in open field.
 
Kaka, hawa viumbe sio kwamba tunashindwa kufanya kama tulitoa sadaka. Tatizo kuu ni ile akishamaliza kupata hiyo Elimu ulomlipia, zinaanza Dharau, Masimango, Kejeli na Kauli ChefuChefu.

Kuna mmoja huyo nilikuwa namhudumia chakula, kuanzia chai mpaka usiku, anachotaka yeye, siku moja nikamuuliza Do I Deserve You, simply akanijibu NO! Nikasema fine.
 
Shukrani kama hukufanya tukio la ajabu.

Tenda wema uende hakuna kingine.
 
Aisee !! Very sad [emoji26]
 
Na msaada mzuri ambao hautagharimu wanaume maisha yetu ni chereani tu
 
Mkuu, upo sahihi kabisa, hasa kwa upande wetu sisi wanaume. Ili usiumie sana, basi assume unatoa msaada tu kama vile ambavyo ungefanya kwa mwingine yoyote, otherwise utaumia bure.

Post nzuri sana hii mkuu![emoji122]
Cha msing acha kuassume unatoa msaad na ach kabis matumiz mabov ya pesa kw mwanamke zaid ya mama ako tu utaish kw Aman san
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…