Mchumba anatafutwa (binti)

Uko wapi Besti
Hahahahaaa!
Upewe nini uache kulialia?
 
Last edited by a moderator:
yan wewe unatafuta hela wala si mchumba
Kweli wewe Miss Chagga.... kwa kua umesikia doctor au?
Na una hakika gani kama hizo hela unazosema sina? haha dada usiwe unamjudge mtu fasta hivo, utaumia moja kila mtu ana lifestyle tofauti.
 
Tusio madakatar imekula kwetu...
 
Kweli wewe Miss Chagga.... kwa kua umesikia doctor au?
Na una hakika gani kama hizo hela unazosema sina? haha dada usiwe unamjudge mtu fasta hivo, utaumia moja kila mtu ana lifestyle tofauti.

ha ha ha ha ha okey sorry :smile-big: usijali utapata mchumba.
 
Nilipost hii kitu ili ufurahi, je umefurahi?
Nshakwambia mimi JF humu nayempenda ni moja tu, hakuna zaidi yako

kumbe unaye unayempenda unatuchanganya tu huku wengine hizi ndo opportunity za kupata wenzi we namna gani ndo maana me na wasi wasi,...
 

naogopa mwonekano wako wameno
 

vigezo vyote nnavyo,kaz kwako
 
hahahah,sasa kwanin hali ya mapigo ya moyo inakukuta mgonjwa!!!sikujua kama ii coz nnayosoma dili kiasi hichi,nway i can be your personal doctor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…