NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,273
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si uende huko huko kwenye hivyo vyuo ukamtafute
Nilipost hii kitu ili ufurahi, je umefurahi?si uende huko huko kwenye hivyo vyuo ukamtafute
Nilipost hii kitu ili ufurahi, je umefurahi?
Nifanye nini kikufurahishe em nambiehapana
Kweli wewe Miss Chagga.... kwa kua umesikia doctor au?yan wewe unatafuta hela wala si mchumba
Kweli wewe Miss Chagga.... kwa kua umesikia doctor au?
Na una hakika gani kama hizo hela unazosema sina? haha dada usiwe unamjudge mtu fasta hivo, utaumia moja kila mtu ana lifestyle tofauti.
Nilipost hii kitu ili ufurahi, je umefurahi?
Nshakwambia mimi JF humu nayempenda ni moja tu, hakuna zaidi yako
Nimekupa like kabisa kwa comment hii! maana ingekua raia nyingine angeanza criticizing.ha ha ha ha ha okey sorry :smile-big: usijali utapata mchumba.
Sasa kwa kua wasichana wa bongo siku hizi wamezidi conditions kwenye kutafuta mwanaume then kama wanaume pia tuna conditions zetu. Nami nina uhuru wa kusema conditions zangu za binti ninayemtafuta hili ni jukwaa la mahusiano so kama unaona inakukera nenda kasome au kafanye kazi ujenge taifa.
Binti ninayemtafuta awe na sifa zifuatazo,
1. Awe ni doctor au anasoma medicine kwenye vyuo MUHAS, KCMC au vyuo nje ya Africa ila akitaje kabla nikiangalie rank yake.
2. Miaka kati ya 20-25.
3. Anajua kuongea kingereza vizuri.
4. Anamuogopa Mungu yaani achukie dhambi.
Mimi huyu hapa
View attachment 117714
Sasa kwa kua wasichana wa bongo siku hizi wamezidi conditions kwenye kutafuta mwanaume then kama wanaume pia tuna conditions zetu. Nami nina uhuru wa kusema conditions zangu za binti ninayemtafuta hili ni jukwaa la mahusiano so kama unaona inakukera nenda kasome au kafanye kazi ujenge taifa.
Binti ninayemtafuta awe na sifa zifuatazo,
1. Awe ni doctor au anasoma medicine kwenye vyuo MUHAS, KCMC au vyuo nje ya Africa ila akitaje kabla nikiangalie rank yake.
2. Miaka kati ya 20-25.
3. Anajua kuongea kingereza vizuri.
4. Anamuogopa Mungu yaani achukie dhambi.
Mimi huyu hapa
View attachment 117714
Hicho cha kwanza kweli unacho maana i have this thing mdada daktari yani mapigo ya moyo hua yananienda mbiyo kabisa...vigezo vyote nnavyo,kaz kwako