Mchumba anatoa mashuzi mno!

Mchumba anatoa mashuzi mno!

Yani wakati serikali inatumia gharama kubwa kuchimba gesi huko madimba mnazi bay we kumbe una mgodi wako ndani na umekaa kimya tu haha, ila mkuu hiyo ni dalili humlishi vizuri huyo mchumba ako au labda hanywi maji ya kutosha.
 
Yani wakati serikali inatumia gharama kubwa kuchimba gesi huko madimba mnazi bay we kumbe una mgodi wako ndani na umekaa kimya tu haha, ila mkuu hiyo ni dalili humlishi vizuri huyo mchumba ako au labda hanywi maji ya kutosha.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
NIMEONA,
Naaam !waungwana tumeelewa , ila kwani haujui kuwa mtu ukilala viungo huwa vinalegea na kimojawapo kinacholegea ni jicho pevu? Na hii ina utofauti kwa mtu na mtu kwa maana mlegeo wako si sawa ma wake , kwa maana hiyo yeye huwa vinalegea zaidi.

Mkuu zoea tu hiyo hali na usimuwazie vibaya na kingine usije kumbana kumuukiza historia yake ya zamani maana kesi nyingi huanzia hapo FULLSTOP 😂😂😂
 
Alishaenda hospital?

Mchana hali ikoje?
bado, kwakuwa sikuwahi kumsikia akilalamika maumivu ya tumbo basi wazo la kumpeleka hospitali halikuwepo. mchana naona kama hali inakuwa tulivu, hata hivyo hatuwi karibu sana mchana sababu ya mihangaiko!
 
Back
Top Bottom