Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

Piga moyo konde utashinda hii vita lakini wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu...........
 
Pole sana chichi!
Jambo hilo laumiza sana na tena linahitaji busara sana kufanya maamuzi.
Kumtambulisha mchumba wako haitoshi kukufanya utegemee kuwa hana watu wengine
wanao mega hilo tunda. Na kama u mtu wa mungu huenda umekuwa ukiliweka jambo hilo ktk
maombi yako, sasa basi hayo yawezekana ni majibu tu, mungu ameamua kukuonesha. Ukilazimisha kuendelea naye basi hata
ukisha mwoa hatashindwa kukusaliti.
 
Msamehe kisha chukuwa hatua, peleka posa kwao ili uhalalishe kabisa kuwa ni wako peke yako.

Unamshauri mwenzio kujidumbikiza ndani ya moto mchana kweupee!!! Posa my ass!!!
 
Unamshauri mwenzio kujidumbikiza ndani ya moto mchana kweupee!!! Posa my ass!!!

hahahaha hivi umetoka kutangaza nia Masaki ..majibu yako mgogoro watu wanasameheana bwana ila hatuna hakika kama alimegwa au lah.
 
Sasa ndugu yangu unasema umemsamehe yeye amegombana na hao waliommega? Kama hawajagombana mazee ujue utaendelea kufanywa babu jinga siku zote
 
Unamshauri mwenzio kujidumbikiza ndani ya moto mchana kweupee!!! Posa my ass!!!
Sasa mtu hata kuchumbia ajachumbia mawivu kibao, si bora kupeleka posa kabisa ili tujuwe moja kuwa ni mali zake.
 

Vipi unaendelea na huyu mwanamke?
 
Mzee umenena jambo la ukweli maana huko mbeleni namuonea sana huruma


Inategemea una "kifua' kiasi gani...maana utakutana nayo sana hapo mbeleni. Ingekuwa mimi ningemshukuru Mungu kwa ufunuo huo.....halafu mitini.....
 

Huyo kicheche kaka, miezi mitano kamegwa na wawili? kimeo...bwaga!
 
miezi mi5 watu wawili,inamana katikamiezi 15 atakua na wanaume 6 wapya.
 
hao wili ni hao uliowagundua je wale ambao huwajui,kama ni tamaa kwa nini alale na wawili?kwa nini apunguze mawasiliano hadi upate shaka?hakupendi anataka tu umuoe achana nae.nilivyo mwaminifu cjui kwa nini na mimi naangua kwenye majamvi kama wewe,
 
Unataka dalili gani ili ujue bint hajatulia? Miezi mitano wanaume wawili je mwaka?
 
si rahisi kwa mtu mnyonge kusamehe,kwani kusamehe ni sifa kuu ya wenye nguvu,umechukua uamzi wa busara sana chukua mchumba wako fanya taratibu za ndoa umuoe kabisa,MUNGU ayabariki maisha yenu.
 
Kaa ukijua kwamba ni wendawazimu kupanda meli iliyotoboka huku ukijua kwamba imetoboka alafu ukajifariji kufika salama.
 
Kizuri kula na wenzio. Pole mwaya. Kama umemsamehe kweli, sahau kabisa na endelea nae.
 
Neno la mungu lina sema, mwanaume usipo tii, mwanamke wako atalala na mwanaume mwingine kwa kitanda chako. Kuna wakati unafika inabidi umshirikishe Mungu zaidi ya siku zote, Kazi kwako, msikilize mungu au enenda kwa akili yako na sikiliza sauti ya moyo wako.
 
hao wili ni hao uliowagundua je wale ambao huwajui,kama ni tamaa kwa nini alale na wawili?kwa nini apunguze mawasiliano hadi upate shaka?hakupendi anataka tu umuoe achana nae.nilivyo mwaminifu cjui kwa nini na mimi naangua kwenye majamvi kama wewe,

Sb, kumbe na wewe unatatizo kama lake ooh pole. Basi issue imeisha ongeeni vizuri mmpotezee cheater.
 
Wajina pole sana ila mshukuru mungu umejua mapema.je bado una imani naye kiasi cha kuignore hizo feeling zako?ingekuwa miye ningesepa hata kama nimemtambulkisha home.ogopa sana mtu anaekuambia hajui kwann ametenda alichokitenda,ni rahisi sana kurudia kosa
 
...tatizo ni kwamba, katika hiki kizazi kipya, 'wachumba' wengi wa sasa hasa mijini ndivyo walivyo!
Pia sikumbuki ni kitabu gani na mstari gani katika bible,but let me paraphrase;'kizazi hiki kimelaaniwa,mtaoa wanawake wenye kulala na waume wengi'!.Kwa hiyo hatuna ujanja,acha ile kwetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…