Nataka kuuliza swali wenzangu. Hivi katika kipindi hicho mchumbake hayupo na yeye aliwamega wangapi?
Yani mshkaji mpenzi wako amemegwa wakati wa u-boyfriend na u-girlfriend alafu umeamua kumsamehe mbona hiyo haijakaa vizuri? kwa kuwa si mkeo mimi nakushauri uachane nae kwani atakupa ugonjwa wa moyo bure. Kwa mtu anae kupenda ni vigumu sana kufanya mapenzi na mtu mwingine ndani ya uhusiano wenu.
sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae". Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti... Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia... Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone muongo kwa kila kitu.... Nisaidieni wajameni...
watu wakikumegea demu wako na wewe tafuta mnyonge wako ummegee
naomba nisiwe mnafiki wala mwenye chembe chembe ya double standards. Maana wengi humu tunaongea kwa nadharia sana.
Nikigundua kwamba mke/demu wangu kamegwa na jamaa mwingine: from the bottom of my heart that will be the end of our relationship. Hata kama ni mke nimekaa naye kwa miaka mingapi.
Ofcourse ni tofauti kama alimegwa hajaanza mahusiano na mimi.
Wengine watauliza: Na yeye je akigundua kama wewe umecheat? Well, hilo namwachia yeye. Kama nikimuomba msamaha akakubali au nika-mconvince kunisamehe akakubali, thats good. Ila ana haki ya kuchukua uamuzi aupendao.
Hili kwangu kwa kweli halina mjadala. Nitamwambia: Mama/dada naoMBa kwa leo safari yetu ya uhusiano/ndoa iishie hapa.
hujui kupenda wewe.
kajifunze kwa wazazi wako au aged couples wakusimulie mauzauza yao ndipo utakapogundua kuwa kumega mego kavu halizuii utafunaji
Mkuu wewe sasa unaleta utani.
Anayekwambia hivyo ni mimi Masanja, sasa kama una definition ya kupenda unayoijua wewe. Its you.
Just do you, I do me.
Masanja,