Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Naenda na ntakaa pembeni ya Yesu 😊😂 huendi mbinguni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naenda na ntakaa pembeni ya Yesu 😊😂 huendi mbinguni
Nimpe tigo kwa 1M over my deadbody😅😅😅😅°labda unampa 0713
°acha kusumbua wanaume
Mbinguni hakuna ulivyovitajaNaenda na ntakaa pembeni ya Yesu 😊
°kwanza huna baby wa kukupa 1MNimpe tigo kwa 1M over my deadbody😅😅😅😅
°hudumia tu mkuu, wajinga hamuishi nchiniHapa hatuzungumzii demu ambaye unapiga tu ila hauna mpango wa kumuoa
Tunazungumzia mchumba ambaye hatua inayofuata ni kumuoa.
Sioni tatizo kumuhudumia mchumba kwa kile ambacho kipo ndani ya uwezo wako
Kwani wewe unaogopa nini kuhudumia?°hudumia tu mkuu, wajinga hamuishi nchini
Hivyo vya duniani nilipo sasaMbinguni hakuna ulivyovitaja
°sio jukumu langu Hilo,Hilo jukumu la mzazi wake,ndugu zakeKwani wewe unaogopa nini kuhudumia?
Umeoa?°sio jukumu langu Hilo,Hilo jukumu la mzazi wake,ndugu zake
Nina wewe ambae upo huku unalalama kutoa matunzo😀😀😀°kwanza huna baby wa kukupa 1M
°hapanaUmeoa?
°matunzo ni Kwa mke TU ndio lazima hata sheria ya ndoa imesema hivyo.Nina wewe ambae upo huku unalalama kutoa matunzo😀😀😀
Ukipata mchumba ndo utajua°hapana
°kivipi mkuu hebu fafanuaUkipata mchumba ndo utajua
Kwa mfano mchumba wako akikuomba hela ya salon utamwambiaje?°kivipi mkuu hebu fafanua
°nitamuuliza sh ngapKwa mfano mchumba wako akikuomba hela ya salon utamwambiaje?
😀😀anahudumia mkeKwa mfano mchumba wako akikuomba hela ya salon utamwambiaje?
Tuseme anakwambia 20k°nitamuuliza sh ngap
°nasema sinaTuseme anakwambia 20k