Mchumba hahudumiwi vijana

Mchumba hahudumiwi vijana

Fresh chief ngoja tuufunge na mimi nitatafuta pesa[emoji23][emoji23][emoji23] hamna shida. Ila tumia busara na hekima kumtishia mtu hakumfanyi mtu aogope maisha vivyohivyo huwezi kumtishia kijana kwamba mwanamke atamkimbia ili amuhudumie. Thamani ya mwanamke kuhudumiwa kabla ya ndoa huchagizwa na value yake na chakushangaza mwisho ulizitaja hizo values, so hekima kwanza. [emoji120][emoji120][emoji120]
Pamoja kamanda
 
Hawa ndio wanafanya wanawake wawe na viburi hata vya kutotaka kuolewa kwa tabia hizi.
Nikwelj wanawake wanakuwa na viburi vya kutotaka kuolewa kwababu kuna pesa za wajinga zipo tu wakiitajj kodi na vitu vya ndani misukule ipo itatoa pesa tu, na utakuta hiyo misukule ya kiume hatumi ata shilingi mia kwao uko vijijini kwa wazazi wao, yani utakuta kijana ana mlipka kodo damu tu ya mwaka mzima zaidi ya laki 9 na wakati huo wazazi wake wanaishi kwenye makazi duni na hata redio na tv hakuna nyumbani kwao lakini wanadiliki kuwanunulia Malaya vitu vya ndani ambavyo wakiachana tu vinatumika na mwanaume mwingine.
 
Kama sina simpiii kama nnacho nampa lakini. ile ya sina afu nika pambane ukoo eti ili nmpee kisa asini one sina hiyo sinaaa
Mkuu ukiombwa pesa hata kama hauna inabid ukakope tu au kama una kitu cha samani itabidi ukiuze ili demu wako apate furaha, wenyewe wanasema tuwape pesa ili wasirubuniwe na wanaume wengine
 
Akupende nani huna pesa, ulimwengu wa SAsa thamani ya mwanaume utazamwa KWA nje jinsi alivyo.
 
Mwanamke unaswa KWA ulimbo na sio kwa maneno.
Tafuta pesa vuta pisi kali ukidhi nafsi yako, ukiwa down yule sio malaika mlikutana nae ukubwani maamuzi ni yake avumilie au asepe. Kama alisepa asepe jumla ukirudi up mlango wa ndege aufunguliwi KWA abiria kuchelewa.
 
Nikwelj wanawake wanakuwa na viburi vya kutotaka kuolewa kwababu kuna pesa za wajinga zipo tu wakiitajj kodi na vitu vya ndani misukule ipo itatoa pesa tu, na utakuta hiyo misukule ya kiume hatumi ata shilingi mia kwao uko vijijini kwa wazazi wao, yani utakuta kijana ana mlipka kodo damu tu ya mwaka mzima zaidi ya laki 9 na wakati huo wazazi wake wanaishi kwenye makazi duni na hata redio na tv hakuna nyumbani kwao lakini wanadiliki kuwanunulia Malaya vitu vya ndani ambavyo wakiachana tu vinatumika na mwanaume mwingine.
Halafu wanajisifu humu wanahudumia malaya hata sio wake zao ๐Ÿคฃ
 
Kwakifup hakuna mwanamke atakupa uchi bila pesa. Hata kma atakataa mwanzon ila jua tu ni kama amewekeza na siki akitaka fahamu utatoa pamoja na interest rate flani.
Hivyo mwanaume jua unachosimamia.

Mfano hai.

Huyu manzi niko nae recently (mke wa mtu ila ana migogoro yao ya ndoa, mme wake hasimamishi) nilimla mara ya kwanza hii ni baada ya yeye kukaa bila kuliwa kwa miezi 11 sababu hio hapo jui.
Kwakua alikua na ukame nikamkata wote basi alifurahi sana na HAKUDAI PESA LICHA YA MIMI KUMPA AKAKATAA katakata.
Alikua anatoka Makambako anakuja Iringa town kufuata mzigo.

Mara ya pili nikamla mzigo tena kama masaa 6 hivi kesho akarud kwao nikampa hela tena akakataa basi nikaomba nilmkatie tu ticket ya kurud kwake.

Nikarud zangu dar kuendelea na maisha .Oohoh sasa juzi nikapigiwa simu shule zinafungua mtoto wake anahitaji ada 600,000/= na yeye hana maana alitegemea kupata kwenye biashara zake ila hali imekua sio hivyo mtoto hatapokelewa shuleni.

Nikampa tu ushaur aende akazungumze na mkuu wa shule ataeleweka.Kwel akakubaliwa ila naona mazungumzo ya INVOICE YA 600K hayakauki.Nikaanza kujitoa taratibu.

Juz tumechat kidogo akanambia simu imedonoka kubadil screen elf 70๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ .

NADHANI NDIO TUNAELEKEA MWISHO MWISHO.

Kwakifupi hiz mambo za hela na mimi ni tofauti kabisaa
Wewe ulikutana na mhuni tuu , hao mbna wengi Sana Mzee , miez 11 jamaa hapigi mzigo kweli hyo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ nilipataga manzi mjeda Mzee akanielewa , sku nakutana naye akalipia lodge ilikuwa Mwanza hyo, akalipia menu nikala mzgo sku nzima , kesho yake alikuwa anarudi kambini , daah baada ya sku kadhaa manzi akaomba nimuazime 2 million , nilipotea speed ya mwanga
 
Nikwelj wanawake wanakuwa na viburi vya kutotaka kuolewa kwababu kuna pesa za wajinga zipo tu wakiitajj kodi na vitu vya ndani misukule ipo itatoa pesa tu, na utakuta hiyo misukule ya kiume hatumi ata shilingi mia kwao uko vijijini kwa wazazi wao, yani utakuta kijana ana mlipka kodo damu tu ya mwaka mzima zaidi ya laki 9 na wakati huo wazazi wake wanaishi kwenye makazi duni na hata redio na tv hakuna nyumbani kwao lakini wanadiliki kuwanunulia Malaya vitu vya ndani ambavyo wakiachana tu vinatumika na mwanaume mwingine.
Mi ndo mana huwa nawachana live wanaume wanaoropoka ropoka et tafta pesa et bila pesa hupati penzi , upumbavu mtupu , mwamke ameumbwa ili aliwe haijalishi pesa ipo au haipo , lazima aliwe tuu , hyo ni nature .....

Ndo mana unaweza honga gari, nyumba sjui umenunua TV umemnunulia kiwanja , na bado ukawa unapewa penzi Kwa ratiba lakn kuna mhuni hapo anahonga vocha tuuna anakula kila akitaka ....
 
Wewe ulikutana na mhuni tuu , hao mbna wengi Sana Mzee , miez 11 jamaa hapigi mzigo kweli hyo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ nilipataga manzi mjeda Mzee akanielewa , sku nakutana naye akalipia lodge ilikuwa Mwanza hyo, akalipia menu nikala mzgo sku nzima , kesho yake alikuwa anarudi kambini , daah baada ya sku kadhaa manzi akaomba nimuazime 2 million , nilipotea speed ya mwanga
Ofcz nilinua tu hpa napigwa na kitu kizito kuhusu kutoliwa miez 11 ila sikujal sana as long as uongo wake haukuiziba mbususu.

Ila bora huyo wa kwako japo aliwekeza kama vicoba..Kawekeza hela ha lodge na msosi sema tu hiyo Super profit aliotaka kuivuna kwenye uwekezaji aliofanya kwako hata mimi napotea ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
unagharamia we huoni kama unaibiwa? we huoni kama wewe ni mjinga?
Akaibe wapi sasa?? ..... ndo matunda yetu me tuna hangaika, tunajenga ajili ya Maku tu! hatutafuti pesa ajili ya kunenepesha Makalio! Na kujamaba hovyo! hovyo! ni aibu ......

me kamili usipofurahia kulisha/visha/kutibia/kugahrimia kuibiwa pesa na Demu! basi utahudumiwa weye......make wewe kutoa huwezi unaumia sana manake upewa weye upokee tu! wapo utawapata!

Huo si ujinga, saabu viumbe me wooote duniani ndivo tulivo!! hata jogoo anampa mtetea ale kwanza kabla yake!! km weye unapinga hilo basi falsafa ya jogoo iko juu zaidi yako!.....akili kisoda!

hufai kuitwa dume!...hata usipo pata papuchi!! mie natoa tuuu!
 
Back
Top Bottom