Mchumba hasomeshwi, muhanga SutiBega

Huyo Chidy amekufa kaoza kwa miss Delights na ndio maana kapandisha post jana ya kumuomba msamaha bibie kwa maneno hayo aliyoyaandika Ig.
Amesema yupo tayari kwenda kumfata bibie kwa wazazi wake Bagamoyo ambapo ameenda baada ya ugomvi.

Wamesharudiana Mkaka hapindui hapo!!
 
Hii issue ikiwa haijawahi kukuta unaichukulia poa, ila ikikukuta lazima ukae hata uwe mwamba vipi.

Ilinichukua mwaka kurecover baada ya kupigwa ambush ya maana mshenzi yule, hakika aliniweza.
pole kaka kwa joto ulilopata
 
Kumbe demu wa bagamoyo
Basiii tushapata jibu
 
Asiumie sana, amesaidia kumtoa mtu ktk mnyororo wa Umaskini, He's glonal citizen ktk kuhakikisha UN-SDGs zinakuwa easily archieved.

Atafute mwingine ASOMESHE tena😎😎
 
Hii imeenda, yeye ampige tu kipapai wakose wote.
 
Niliwahi somesha mwanamke chuo kiku kila huduma na toa kipindi cha nyuma, Yaliyonikuta sitakaa ni sahau maana majibu aliyonipa yule mwanamke yalikua hayana huruma yeyote ile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…