Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo sio mchumba, tatzo ni hizi akili za kijanaWatu walivyochamba sasa utadhani wao walivyokuwa na miaka 22 hawakuwa na wachumba
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16] kwa hiyo tatizo ni kumshirikisha mama? Mbona sioni kama ni tatizoHatukushirikisha mama zetu
Kwa kijana wa miaka 22 ni kawaida tena kaandika vizuri maana mimi nilivyokuwa na miaka 22 sikumbuki kama nilikuwa naandika hivi.Shida si uchumba shida aina ya maandishi na uhusishwaji wa bi mkubwa sasa.
Za masiku bibie?
Sent using Jamii Forums mobile app
aamna mama yangu pia anapenda nimuoe uyo binti anampenda sana sababu hata mimi nisingemjua bila mamaKijana wa sekondari sisi tukushauri nn? Unamtumia mamako kama kuwadi
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu walivyochamba sasa utadhani wao walivyokuwa na miaka 22 ha
hata mimi nashangaaKwa kijana wa miaka 22 ni kawaida tena kaandika vizuri maana mimi nilivyokuwa na miaka 22 sikumbuki kama nilikuwa naandika hivi.
Mimi niko mzima wa afya vipi za huko kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yako nae duu kuna???????aamna mama yangu pia anapenda nimuoe uyo binti anampenda sana sababu hata mimi nisingemjua bila mama
Maskini weee twote tutoto jaamaanii[emoji3064][emoji3064]