heeee! Mamodo tuandamane haiwezekani tubaguliwe tunajiona
wamakonde tuko vizuri sana..
karibu kwangu.
Tena tukalale barabarani pale karume!! Tukemee ubaguzi wa ki umbo.
Ila twin wanaume wa kuamuliwa na dada zao tunawahitaji kweli?
Basi barikiwa na dada zako.....
usiendelee kumpotezea muda binti wa watu....
kaaa kwenye foleni kwanza wenzio wameshakuwah
ahaaa...
hapana nitakutwa bana!
i think u know my wife
acha ushamba wewe, kila mtu na chaguo lake, wewe kama moyo wako hujampenda huyo kaka sawa, lakini eti umuache kisa mwembamba? kwani yeye alipenda awe mwembamba? kwa nini hao dada zako hawakukwambia toka zamani kuwa ikiwa unatafuta mchumba basi tafuta mnene? hadi umempotezea kaka wa watu muda wake? shauri yako tafuta laana tu!!
Basi ushauri unataka wa nini.Achana na binti wa watu apate anayemstahili wewe subiri shepu.anaye oa ni mimi ila baraka za ndugu wa tumbo moja ni muhimu sana!!
hata mi nina mume ...unaogopa nini sasa
kabisaaaaaa...huyu n mume homa loo
aaah yaaan we acha tu.....
mbn umenicheka sasa
kabisaaa ........mwanaume wa hivyo tegemea kuishi kwa shida nyumba itaendeshwa na ndugu zake.
Jamani wana Jamiiforums wenzangu nimebaki njia panda. Nilienda kumtambulisha mchumba wangu kwa wifi zake (dada zangu) juzi jumatatu huko kwetu sinza mida ya jioni baada ya kutoka kazini kwa kuwa tunafanya kazi ofisi za karibu pale posta.
Ila walichonijibu ni kuwa nitafute mwingine kwa kuwa huyu hana shape hawajampenda. Huyu mchumba angu yeye ni slander (mwembamba). Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje sasa nimebaki njia panda.
Jamani wana Jamiiforums wenzangu nimebaki njia panda. Nilienda kumtambulisha mchumba wangu kwa wifi zake (dada zangu) juzi jumatatu huko kwetu sinza mida ya jioni baada ya kutoka kazini kwa kuwa tunafanya kazi ofisi za karibu pale posta.
Ila walichonijibu ni kuwa nitafute mwingine kwa kuwa huyu hana shape hawajampenda. Huyu mchumba angu yeye ni slander (mwembamba). Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje sasa nimebaki njia panda.
anaye oa ni mimi ila baraka za ndugu wa tumbo moja ni muhimu sana!!