Mchumba kakataliwa kisa shepu

Tena tukalale barabarani pale karume!! Tukemee ubaguzi wa ki umbo.
Ila twin wanaume wa kuamuliwa na dada zao tunawahitaji kweli?

kabisaaa ........mwanaume wa hivyo tegemea kuishi kwa shida nyumba itaendeshwa na ndugu zake.
 
mmh we unaonekana ni zile type za wanaume wanaosikiliza sana ndugu zao, mwanamke utakaekuja kumuoa atapata shida sana
 

mtoa mada ni mwanaume, kwahiyo anaekataliwa hapo ni mwanamke
 
anza kumlisha ufuta atanenepa... pole mkuu ufanyje kwani dada zako ndo wanamuoa si wewe,... potezea kula kitu roho inapenda njoo nichukue mimi tunyenye unipeleke basi..... wewe ndo unajua kitu kilichokuvutia kwa huyo chembamba jilipue kwa kufuata ushauri wa dada zako ufe na presha ukiwa namiaka 40... wambie dada zako unene siyo dili tena , au mvalishe masponchi ya mchina ya kuongeza kalio loh... binadamu hawana heri
 

Wape hicho wanachodhani mwenzao anafaidi!
 
eti baraka za ndugu!!! hivi kuna baraka kwenye ubaguzi? haya waambie basi wakutafutie huyo tukunyema anayefanana nao?
 

Hao dada zako wana mashepu?je nao wao wameolewa? kama ndio vipi wako home kwenu?
 
anaye oa ni mimi ila baraka za ndugu wa tumbo moja ni muhimu sana!!

Baraka muhimu ni za wazazi tuu kwani ukianza maisha yako wao watakuwa na maisha yao pia kwahiyo kuwa na msimamo wakuwasikiliza ni wazazi,na ukioa play role yako kwa ndugu zako na kwa mkeo wenyewe wataelewa somo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…