luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Au ilikuwa inalegea haitoshi kwenye kidole?
Ningekuwa mm baada ya kupotea ningenunua hata feki ya bei rahisi afu nivae ndo natoa taarifa.
Kama alikwambia Siku hiyo hiyo basi jumlisha na matendo yake mengine like mawasiliano, heshima kwako, ndugu zako ukiona vinaendana + yeye alivyo kwa sasa, anasikitika na kuitafuta ama? Kama haya yote kweli basi same he uoe. Nisiwe hakimu mbaya.
N.b kama anajua thanani ya hiyo Pete najua muda huu kashakonda anashinda anaitafuta, ila kama ka relax hiyo haijapotea ipo kwenye kabati la nguo. Kuna fala mmoja hataki amwone nayo.😂😂😂😂😂
Aiiiiiiiiiiiii maskini luckyline kidole changu😁😁😁😁😁😁
. Haya wadada wa Jf trh 1,1,2020 mlosema mwaka huu mtavalishwa Pete nyoosha mikono niwaone😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Ningekuwa mm baada ya kupotea ningenunua hata feki ya bei rahisi afu nivae ndo natoa taarifa.
Kama alikwambia Siku hiyo hiyo basi jumlisha na matendo yake mengine like mawasiliano, heshima kwako, ndugu zako ukiona vinaendana + yeye alivyo kwa sasa, anasikitika na kuitafuta ama? Kama haya yote kweli basi same he uoe. Nisiwe hakimu mbaya.
N.b kama anajua thanani ya hiyo Pete najua muda huu kashakonda anashinda anaitafuta, ila kama ka relax hiyo haijapotea ipo kwenye kabati la nguo. Kuna fala mmoja hataki amwone nayo.😂😂😂😂😂
Aiiiiiiiiiiiii maskini luckyline kidole changu😁😁😁😁😁😁
. Haya wadada wa Jf trh 1,1,2020 mlosema mwaka huu mtavalishwa Pete nyoosha mikono niwaone😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁