Mchumba mkaka wa kiislam

Mchumba mkaka wa kiislam

Hello!
Habari za wakati huu wapendwa.
Niko hapa kwa ajili ya kutafuta rafiki ambae tukifikia maafikiano tunaweza kundelea na process za uchumba mpaka Ndoa.
Sifa za anayetafutwa:-
Kijana wa kiislam mwenye hofu na mungu, Age kuanzia 28-35, Elimu at least awe University graduate mwenye kujitambua, awe amejiriwa au amejiajiri.
Inshort kuhusu mimi ni binti wa kiislam, Umri wangu ni miaka 26. Currently nafanya kazi sehemu part-time na ni mwanafunzi pia(Third year).
Kuna mengi kuhusu mie lakini yote siwezi kuyaweka kwenye uzi huu.
Kama utakuwa interested Karibu PM kwa maelezo na kujuana zaidi.
Asante.
Upo wap jameni tuanze safar ya matumaini maana vigezo vyote ninavyo
 
Ktk orodha yako ya vigezo ni elimu tuu imenifanya kutotimiza matakwa yako.
Ila kama upo serious nicheki pm,
Na kama haukuridhika kisa kutokizi elimu basi nakutakia kila la kheri katika kumtafuta umpendae....
Nitafte pm tuelewane hajati
 
Dini tyu apo ndyo imenikosesha mke anyway niko tear kubadir dini dear
 
Duh kwa sifa izo sidhani kama utapata mchumba hv kwa akili yako eti mtu asome hadi chuo kikuu asipate mchumba aje akuoe ww ambae umesoma chuo hujapata mchumba utaishia kipigwa miti na kuachwa na utazaa mtoto asiekuwa na baba
duuh this is personal.....gues u are having a bad day
 
Alafu sasa ivi ni rahisi tu wakati wa futar unavuta jiko
 
Kijana aliyeshika dini sana ya kiaslam ukubali kuletewa mke wa pili
 
haya majina ya bandia unaweza kuta mnatongozana mtu na ndugu yake....maisha yana siri kweli
 
Kumbe vitu kama hivi mnaruhusiwa tu kufanya mwezi mtukufu,...!!
 
Hello!

Habari za wakati huu wapendwa,

Niko hapa kwa ajili ya kutafuta rafiki ambae tukifikia maafikiano tunaweza kundelea na process za uchumba mpaka ndoa.

Sifa za anayetafutwa:-
Kijana wa kiislam mwenye hofu na Mungu, Age kuanzia 28-35, Elimu at least awe University graduate mwenye kujitambua, awe ameajiriwa au amejiajiri.

Inshort kuhusu mimi ni binti wa kiislam, umri wangu ni miaka 26. Currently nafanya kazi sehemu part-time na ni mwanafunzi pia(Third year).

Kuna mengi kuhusu mimi lakini yote siwezi kuyaweka kwenye uzi huu. Kama utakuwa interested karibu PM kwa maelezo na kujuana zaidi.

Asante.
Kwangu vigezo nimekidhi nipm baada ya mfungo baby.
 
Nitafte pm tuelewane hajati
Hatarii hii
seriously au ulikosea quote
Ktk orodha yako ya vigezo ni elimu tuu imenifanya kutotimiza matakwa yako.
Ila kama upo serious nicheki pm,
Na kama haukuridhika kisa kutokizi elimu basi nakutakia kila la kheri katika kumtafuta umpendae....
Maalimu huyo kijana anakutakia mema kweri kasema u pm
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hello!

Habari za wakati huu wapendwa,

Niko hapa kwa ajili ya kutafuta rafiki ambae tukifikia maafikiano tunaweza kundelea na process za uchumba mpaka ndoa.

Sifa za anayetafutwa:-
Kijana wa kiislam mwenye hofu na Mungu, Age kuanzia 28-35, Elimu at least awe University graduate mwenye kujitambua, awe ameajiriwa au amejiajiri.

Inshort kuhusu mimi ni binti wa kiislam, umri wangu ni miaka 26. Currently nafanya kazi sehemu part-time na ni mwanafunzi pia(Third year).

Kuna mengi kuhusu mimi lakini yote siwezi kuyaweka kwenye uzi huu. Kama utakuwa interested karibu PM kwa maelezo na kujuana zaidi.

Asante.
INAONEKANA UNA SURA MBAYA MPAKA WAJA TAFUTA MIDUME HUKU
 
siku hizi watu wanatazama kwanza Mkwanja aka nyenzo ya kuingiza Pesa kama Unayo Maisha yanendelea... wadada Macho kwenye Pesa... ATM utaipata dada wala usijari kila la kheri.
 
Hiyo digrii ina nafasi gani ktk ndoa??


Hivi kwanini wanawake mnapenda kuolewa na wenye digrii..... Mapenzi hayana digrii....
 
Mimi elimu yangu ya darasa LA saba,upendo wa kweli upo,pesa ya kubadilishia mboga IPO.sijui wewe una mvuto? kiasi kwamba nisijisikie vibaya tukitoka out.
 
Back
Top Bottom