Mchumba, mpenzi na baba wa baadae

Mchumba, mpenzi na baba wa baadae

Yaani uwe na mtu alafu wewe umpangie awe moro, au aje kuona familia moro, na bado umesema mambo ya chumba kimoja sijui nini?
Hivi wanawake mlioingia 30 mnajielewa kweli
NB: umeielewa mpendwa?
mwanaume anaeshare chumba cha 40000 na marafiki zake 3 na zaidi huyo anaweza kulea,? samahani kama imekaa vibaya kwako kaa kimya.
 
Ewaaa! Tunachukua chumba pale hyatt tuncheki game zetu. Tunaenda zenji hotel verde na pia tutaenda nairobi pale two rivers tukacheki game pale kasarani kisirani.
Baada ya hapo narudi bongo kujiandaa na kifo changu
Mungu akuweke mkuu, tuendelee kulisongesha gurudumu... Ulisema tusitegeane sasa wewe wataka kufa ili ututegee sio🤣🤣🤣
 
Mungu akuweke mkuu, tuendelee kulisongesha gurudumu... Ulisema tusitegeane sasa wewe wataka kufa ili ututegee sio🤣🤣🤣
Hapana sio kukutegea mwanawane...miee nimezila sana sasa madhara yake ndio hayo so wacha nimalizie hii miaka miwili then niwaachie nyie muenseleze kurudumu la migegedo
 
NB: umeielewa mpendwa?
mwanaume anaeshare chumba cha 40000 na marafiki zake 3 na zaidi huyo anaweza kulea,? samahani kama imekaa vibaya kwako kaa kimya.
Mimi haijakaa vibaya kwangu uzuri mimi ni mwanaume, na nmetoka maisha hayo 7 fckn good years ago.
Ila hujielewi hilo tangazo kaweka Fb utapata si jf. Humu utashenyentwa uachwe.
Unataka mwandani alafu unataka afate familia moro.
 
Wanaume waoaji mkuje hapa, kuna fursa yenu adhimu.
NB: Kataa Ndoa hili haliwahusu, piteni km mnaaga maiti vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Amesema hajali sana kuhusu ndoa yani mpaka mwanaume ndio afanye maamuzi.
Huyu anatufaa akina sisi wa sogea tukae
 
Wanawake huwa tunatongozwa, ila tu niseme ukweli hata sisi tunavigezo vyetu ambapo familia huwa inaanza kutufundisha pindi tunapo balehe. Bila hivyo vigezo, inakuwa kazi sana, na ndio unajikuta unakuwa na mtu mradi tu upo nae, ila moyoni unamawazo na sonono.

Kila ukimuangalia uliye nae, unawaza, "ntatokaje hapa?" maana hana ramani kabisa na vitu vya msingi kama baba wa baadae. Nimemuelekeza vitu vya msingi kwenye mahusiano, lakini naambulia ugomvi na ata kuambiwa tuachane. Baadaye, anajirudi tena, unadhani kapata somo, lakini bado yupo vilevile.

Sasa, kwakuwa sisi ndio husubiri kutongozwa, na kuna vitu tunavyovipima kwa anayetuongoza, tunabaki tupo kwenye uhusiano huku tukiwa na sonono. Uku mtaani, nimechoka. Sasa aje anayeweza hivi vigezo.

1/akubali kupima magonjwa hasa HIV na asiwe mume wa mtu au mwenye familia.
2/akubali kulea familia kuanzia tumboni kama tukijaaliwa.
3/akubali nifahamike kwao sio unanitambulisha kwa maworkmate/ mama au baba wa rafiki zako tu.
4/watoto wajulikane hadi kwao sio mama au baba ye ndo anafunga safari kuja kutuonea kwenye tunapoishi halafu anaondoka hapana.
5/asiwe na gubu au mgomvi yaan ye kitu kidogo tu kasusa hataki kuzichanga akili zake katika kutatua jambo kwenye famili kama kichwa cha nyumba.
6/sitaki wale wa My wangu, pw, ok, tnx bby au nambie na kuomba vocha au niongezee hela nimepelea sijui akishanunua hata hukioni wala hujulishwi, au nasikilizia mchongo subiri nikusanye afumbilimbili itimie hao SIWATAKI napo sema siwataki elewa hata mimi sina uzembe wa kuombaomba kizembe hivyo nataka tutakae endana nae anajua jukum lake kama mume na mimi nijue jukumu langu kama mke.
7/mkristu asiye na mambo ya BET. aliyemaliza ujana wa mambo mengi age 35+, ajitegemee sio wakuishi chumba kimoja mnashare watatu kodi, pia awe mkazi wa moro au awe na uwezo wa kuwa anakuja kila wikiend kuona familia.

NB: swala la yeye kuja kuiona familia badala ya mimi nika kae nae au ndio niende hayo ni maamuzi yake mwenyewe na hata ndoa hayo ni maamuzi yake maana katika ndoa mwenye maamuzi ni mwanaume hivo hiko kipengele sikilazimishi.

nawasilisha.
Chonde chonde! Kwenye kigezo chako namba 5, hakikisha mtu utakayempata siyo shabiki wa Simba! Hao jamaa dakika 0 tu wanaweka mpira kwapani. Gubu, kususa, kulalamika, ndiyo kumeangukia hapo. Hakikisha unamtafuta Mwananchi kama mimi.
 
Ah tena story nyingi tuu tutakuwa tunapiga pale motoni na ssir shetani. Nitakuwa namkumbusha yeye.." ebwana unakumbuka ile ulinishawishi nipige orgy kwenye private jet kutoka dubai to cape town" 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Sema we jamaa huwa napenda unavyotoa somo kwa vitendo la namna maisha ya social media yanavyotakiwa kuwa.
 
Usikoseka e basi kwenye mazishi yangu mwanawane.
Mkuu wote ni marehemu watarajiwa kwahiyo haina guarantee... Hiyo itabaki kuwa ni fumbo, wewe malizana na mrembo huyo uwowe ule maisha, hayo mengine wacha tuiachie asili ifanye kazi yake😂😂😂
 
Mh! kupata hii full package at 35+ my dear lazma awe mume wa ntu.

kila kheri ngoja nimalizie mkeka wangu .
 
Maandishi yako yanaonesha wewe ni mshari na una umimi,,,, alafu hujijui tayari jua la jioni ? Punguza vipengele watu tujitose kubeba bomu likalipuke mbele ya safari
Super woman.
 
Wanawake huwa tunatongozwa, ila tu niseme ukweli hata sisi tunavigezo vyetu ambapo familia huwa inaanza kutufundisha pindi tunapo balehe. Bila hivyo vigezo, inakuwa kazi sana, na ndio unajikuta unakuwa na mtu mradi tu upo nae, ila moyoni unamawazo na sonono.

Kila ukimuangalia uliye nae, unawaza, "ntatokaje hapa?" maana hana ramani kabisa na vitu vya msingi kama baba wa baadae. Nimemuelekeza vitu vya msingi kwenye mahusiano, lakini naambulia ugomvi na ata kuambiwa tuachane. Baadaye, anajirudi tena, unadhani kapata somo, lakini bado yupo vilevile.

Sasa, kwakuwa sisi ndio husubiri kutongozwa, na kuna vitu tunavyovipima kwa anayetuongoza, tunabaki tupo kwenye uhusiano huku tukiwa na sonono. Uku mtaani, nimechoka. Sasa aje anayeweza hivi vigezo.

1/akubali kupima magonjwa hasa HIV na asiwe mume wa mtu au mwenye familia.
2/akubali kulea familia kuanzia tumboni kama tukijaaliwa.
3/akubali nifahamike kwao sio unanitambulisha kwa maworkmate/ mama au baba wa rafiki zako tu.
4/watoto wajulikane hadi kwao sio mama au baba ye ndo anafunga safari kuja kutuonea kwenye tunapoishi halafu anaondoka hapana.
5/asiwe na gubu au mgomvi yaan ye kitu kidogo tu kasusa hataki kuzichanga akili zake katika kutatua jambo kwenye famili kama kichwa cha nyumba.
6/sitaki wale wa My wangu, pw, ok, tnx bby au nambie na kuomba vocha au niongezee hela nimepelea sijui akishanunua hata hukioni wala hujulishwi, au nasikilizia mchongo subiri nikusanye afumbilimbili itimie hao SIWATAKI napo sema siwataki elewa hata mimi sina uzembe wa kuombaomba kizembe hivyo nataka tutakae endana nae anajua jukum lake kama mume na mimi nijue jukumu langu kama mke.
7/mkristu asiye na mambo ya BET. aliyemaliza ujana wa mambo mengi age 35+, ajitegemee sio wakuishi chumba kimoja mnashare watatu kodi, pia awe mkazi wa moro au awe na uwezo wa kuwa anakuja kila wikiend kuona familia.

NB: swala la yeye kuja kuiona familia badala ya mimi nika kae nae au ndio niende hayo ni maamuzi yake mwenyewe na hata ndoa hayo ni maamuzi yake maana katika ndoa mwenye maamuzi ni mwanaume hivo hiko kipengele sikilazimishi.

nawasilisha.
Mlango wa pm umefungwa..
 
Back
Top Bottom