NB: umeielewa mpendwa?Yaani uwe na mtu alafu wewe umpangie awe moro, au aje kuona familia moro, na bado umesema mambo ya chumba kimoja sijui nini?
Hivi wanawake mlioingia 30 mnajielewa kweli
Kabisa...namwinda Anastasia21 kwa sasa🤣🤣🤣Basi wewe endelea na hao wa mtaani tu mkuu.
Mungu akuweke mkuu, tuendelee kulisongesha gurudumu... Ulisema tusitegeane sasa wewe wataka kufa ili ututegee sio🤣🤣🤣Ewaaa! Tunachukua chumba pale hyatt tuncheki game zetu. Tunaenda zenji hotel verde na pia tutaenda nairobi pale two rivers tukacheki game pale kasarani kisirani.
Baada ya hapo narudi bongo kujiandaa na kifo changu
Kila la heri mkuu😅😅😅Kabisa...namwinda Anastasia21 kwa sasa
Hapana sio kukutegea mwanawane...miee nimezila sana sasa madhara yake ndio hayo so wacha nimalizie hii miaka miwili then niwaachie nyie muenseleze kurudumu la migegedoMungu akuweke mkuu, tuendelee kulisongesha gurudumu... Ulisema tusitegeane sasa wewe wataka kufa ili ututegee sio🤣🤣🤣
Mimi haijakaa vibaya kwangu uzuri mimi ni mwanaume, na nmetoka maisha hayo 7 fckn good years ago.NB: umeielewa mpendwa?
mwanaume anaeshare chumba cha 40000 na marafiki zake 3 na zaidi huyo anaweza kulea,? samahani kama imekaa vibaya kwako kaa kimya.
Amesema hajali sana kuhusu ndoa yani mpaka mwanaume ndio afanye maamuzi.Wanaume waoaji mkuje hapa, kuna fursa yenu adhimu.
NB: Kataa Ndoa hili haliwahusu, piteni km mnaaga maiti vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Chonde chonde! Kwenye kigezo chako namba 5, hakikisha mtu utakayempata siyo shabiki wa Simba! Hao jamaa dakika 0 tu wanaweka mpira kwapani. Gubu, kususa, kulalamika, ndiyo kumeangukia hapo. Hakikisha unamtafuta Mwananchi kama mimi.Wanawake huwa tunatongozwa, ila tu niseme ukweli hata sisi tunavigezo vyetu ambapo familia huwa inaanza kutufundisha pindi tunapo balehe. Bila hivyo vigezo, inakuwa kazi sana, na ndio unajikuta unakuwa na mtu mradi tu upo nae, ila moyoni unamawazo na sonono.
Kila ukimuangalia uliye nae, unawaza, "ntatokaje hapa?" maana hana ramani kabisa na vitu vya msingi kama baba wa baadae. Nimemuelekeza vitu vya msingi kwenye mahusiano, lakini naambulia ugomvi na ata kuambiwa tuachane. Baadaye, anajirudi tena, unadhani kapata somo, lakini bado yupo vilevile.
Sasa, kwakuwa sisi ndio husubiri kutongozwa, na kuna vitu tunavyovipima kwa anayetuongoza, tunabaki tupo kwenye uhusiano huku tukiwa na sonono. Uku mtaani, nimechoka. Sasa aje anayeweza hivi vigezo.
1/akubali kupima magonjwa hasa HIV na asiwe mume wa mtu au mwenye familia.
2/akubali kulea familia kuanzia tumboni kama tukijaaliwa.
3/akubali nifahamike kwao sio unanitambulisha kwa maworkmate/ mama au baba wa rafiki zako tu.
4/watoto wajulikane hadi kwao sio mama au baba ye ndo anafunga safari kuja kutuonea kwenye tunapoishi halafu anaondoka hapana.
5/asiwe na gubu au mgomvi yaan ye kitu kidogo tu kasusa hataki kuzichanga akili zake katika kutatua jambo kwenye famili kama kichwa cha nyumba.
6/sitaki wale wa My wangu, pw, ok, tnx bby au nambie na kuomba vocha au niongezee hela nimepelea sijui akishanunua hata hukioni wala hujulishwi, au nasikilizia mchongo subiri nikusanye afumbilimbili itimie hao SIWATAKI napo sema siwataki elewa hata mimi sina uzembe wa kuombaomba kizembe hivyo nataka tutakae endana nae anajua jukum lake kama mume na mimi nijue jukumu langu kama mke.
7/mkristu asiye na mambo ya BET. aliyemaliza ujana wa mambo mengi age 35+, ajitegemee sio wakuishi chumba kimoja mnashare watatu kodi, pia awe mkazi wa moro au awe na uwezo wa kuwa anakuja kila wikiend kuona familia.
NB: swala la yeye kuja kuiona familia badala ya mimi nika kae nae au ndio niende hayo ni maamuzi yake mwenyewe na hata ndoa hayo ni maamuzi yake maana katika ndoa mwenye maamuzi ni mwanaume hivo hiko kipengele sikilazimishi.
nawasilisha.
🤣🤣🤣🤣Afadhali unacho cha kwenda kusimulia mkuu.Hapana sio kukutegea mwanawane...miee nimezila sana sasa madhara yake ndio hayo so wacha nimalizie hii miaka miwili then niwaachie nyie muenseleze kurudumu la migegedo
Ah tena story nyingi tuu tutakuwa tunapiga pale motoni na ssir shetani. Nitakuwa namkumbusha yeye.." ebwana unakumbuka ile ulinishawishi nipige orgy kwenye private jet kutoka dubai to cape town" 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Afadhali unacho cha kwenda kusimulia mkuu.
Toa sifa zako piaNB: umeielewa mpendwa?
mwanaume anaeshare chumba cha 40000 na marafiki zake 3 na zaidi huyo anaweza kulea,? samahani kama imekaa vibaya kwako kaa kimya.
Hapa utakwama. Bora hiki kigezo ukiondoe.asiwe mume wa mtu au mwenye familia.
🤣🤣🤣🤣🤣Sema we jamaa huwa napenda unavyotoa somo kwa vitendo la namna maisha ya social media yanavyotakiwa kuwa.Ah tena story nyingi tuu tutakuwa tunapiga pale motoni na ssir shetani. Nitakuwa namkumbusha yeye.." ebwana unakumbuka ile ulinishawishi nipige orgy kwenye private jet kutoka dubai to cape town" 🤣🤣🤣🤣
Usikoseka e basi kwenye mazishi yangu mwanawane.🤣🤣🤣🤣🤣Sema we jamaa huwa napenda unavyotoa somo kwa vitendo la namna maisha ya social media yanavyotakiwa kuwa.
Mkuu wote ni marehemu watarajiwa kwahiyo haina guarantee... Hiyo itabaki kuwa ni fumbo, wewe malizana na mrembo huyo uwowe ule maisha, hayo mengine wacha tuiachie asili ifanye kazi yake😂😂😂Usikoseka e basi kwenye mazishi yangu mwanawane.
Super woman.Maandishi yako yanaonesha wewe ni mshari na una umimi,,,, alafu hujijui tayari jua la jioni ? Punguza vipengele watu tujitose kubeba bomu likalipuke mbele ya safari
Mlango wa pm umefungwa..Wanawake huwa tunatongozwa, ila tu niseme ukweli hata sisi tunavigezo vyetu ambapo familia huwa inaanza kutufundisha pindi tunapo balehe. Bila hivyo vigezo, inakuwa kazi sana, na ndio unajikuta unakuwa na mtu mradi tu upo nae, ila moyoni unamawazo na sonono.
Kila ukimuangalia uliye nae, unawaza, "ntatokaje hapa?" maana hana ramani kabisa na vitu vya msingi kama baba wa baadae. Nimemuelekeza vitu vya msingi kwenye mahusiano, lakini naambulia ugomvi na ata kuambiwa tuachane. Baadaye, anajirudi tena, unadhani kapata somo, lakini bado yupo vilevile.
Sasa, kwakuwa sisi ndio husubiri kutongozwa, na kuna vitu tunavyovipima kwa anayetuongoza, tunabaki tupo kwenye uhusiano huku tukiwa na sonono. Uku mtaani, nimechoka. Sasa aje anayeweza hivi vigezo.
1/akubali kupima magonjwa hasa HIV na asiwe mume wa mtu au mwenye familia.
2/akubali kulea familia kuanzia tumboni kama tukijaaliwa.
3/akubali nifahamike kwao sio unanitambulisha kwa maworkmate/ mama au baba wa rafiki zako tu.
4/watoto wajulikane hadi kwao sio mama au baba ye ndo anafunga safari kuja kutuonea kwenye tunapoishi halafu anaondoka hapana.
5/asiwe na gubu au mgomvi yaan ye kitu kidogo tu kasusa hataki kuzichanga akili zake katika kutatua jambo kwenye famili kama kichwa cha nyumba.
6/sitaki wale wa My wangu, pw, ok, tnx bby au nambie na kuomba vocha au niongezee hela nimepelea sijui akishanunua hata hukioni wala hujulishwi, au nasikilizia mchongo subiri nikusanye afumbilimbili itimie hao SIWATAKI napo sema siwataki elewa hata mimi sina uzembe wa kuombaomba kizembe hivyo nataka tutakae endana nae anajua jukum lake kama mume na mimi nijue jukumu langu kama mke.
7/mkristu asiye na mambo ya BET. aliyemaliza ujana wa mambo mengi age 35+, ajitegemee sio wakuishi chumba kimoja mnashare watatu kodi, pia awe mkazi wa moro au awe na uwezo wa kuwa anakuja kila wikiend kuona familia.
NB: swala la yeye kuja kuiona familia badala ya mimi nika kae nae au ndio niende hayo ni maamuzi yake mwenyewe na hata ndoa hayo ni maamuzi yake maana katika ndoa mwenye maamuzi ni mwanaume hivo hiko kipengele sikilazimishi.
nawasilisha.