Woooow!!!
I know her.
We were classmates.
Hilo bonge la blizzard umepona kweli huko?.Grace high maintenance .kaolewa na m Nigeria billionaire alimpiga kibuti Deo
Hilo bonge la blizzard umepona kweli huko?.
Stay warm and let nature do what It has to do!.Well umeme ukikatika nitakoma.nina vijikuni vya fire place vikiisha sijui itakuwaje.well my hubby will take care of it .jenereta nomaa .mungu atafusaidia nipo macho tuuu.naogopaje halafu nimechukulia mzaha sijajitayarisha .najipa moyo media hype .
Stay warm and let nature do what It has to do!.
Grace high maintenance .kaolewa na m Nigeria billionaire alimpiga kibuti Deo
Winnie227 hapa suala si ubuyu wala nini, I am saying hizi mambo za kuzusha zusha mara ooh mukulu mara oooh, zikapand azikashuka.Acha kuzuga unapenda hii mambo
Ndo maana upo hapa...unapenda ubuyu
Wewe just admit 
hongera
hahaaaaπππππ
Thantee!! geniveros, yaani hadi umeshindwa kuvumilia, kweli mimi Konda wa bodaboda ni mkaree, ni hataree!!
Cc: Khantwe.
mkaka handsomee
hahahaaaaaaa
duh! mi wa hivyo wala hanivutii. Kitu black, halafu kiwe kimeenda hewani kwa sana.