AY kaachana naye? Russels Simon kasuza rungu tu?
nani?:what:πππ
Dah!! Mbona naona kama unanizomea?
nakukonyenzπππππ
akuuuuuuuiπππππππππππNikonyeze pm nikwambie.
akuuuuuuuiπππππππππππ
HeheheAlipora anaogopa kumuweka hadharani nae asije kuporwa...
Deo Massawe kwa jina
KahHuyu alikuwga na mshkaj wet pand za mburahti dar na ndiko alkozaliwa mpaka kupata umaarfu bdo alikuwa anaka kwao ila kwa sasa cjui anamegwa na nan ila wakna gk,ay,fa walshakulaga kitmbo sana.
Five years laterHehehe
Hahahaha zee la kupata Division 4 Shaaban RobertGrace Muro aliyesomaga SRSS?
Wamependezana mnooohView attachment 221794
Tatizo lenu Watanganyika huwa mna haraka sana, mwenyewe alitaka mjue mambo kwa awamu. Kwanza muone pete, kisha mumjue anayetaka kumuoa, halafu tarehe ya harusi. Lakini mmeshindwa kabisa kuvumilia mmeanza kudai picha ya shemeji/wifi yenu. Haya sasa huyu hapa kwenye picha.
Ova