Mchumba wa Flaviana Matata utata

Mchumba wa Flaviana Matata utata

Winnie227

Ukishamjua uje kuulizia na mzazi mwenza wa jenifer kyaka a.k.a Odama...

Huyu alikuwga na mshkaj wet pand za mburahti dar na ndiko alkozaliwa mpaka kupata umaarfu bdo alikuwa anaka kwao ila kwa sasa cjui anamegwa na nan ila wakna gk,ay,fa walshakulaga kitmbo sana.
 
Last edited by a moderator:
Huyu alikuwga na mshkaj wet pand za mburahti dar na ndiko alkozaliwa mpaka kupata umaarfu bdo alikuwa anaka kwao ila kwa sasa cjui anamegwa na nan ila wakna gk,ay,fa walshakulaga kitmbo sana.
Kah
 
View attachment 221794
Tatizo lenu Watanganyika huwa mna haraka sana, mwenyewe alitaka mjue mambo kwa awamu. Kwanza muone pete, kisha mumjue anayetaka kumuoa, halafu tarehe ya harusi. Lakini mmeshindwa kabisa kuvumilia mmeanza kudai picha ya shemeji/wifi yenu. Haya sasa huyu hapa kwenye picha.
Ova
Wamependezana mnoooh
 
Back
Top Bottom