Kila la kheri. Mungu akufanyie wepesi hitaji lako
😂😂😂
Tafsiri ya Mapenzi hayana umri, Rangi, Kabila, wala Cheo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂
Tafsiri ya Mapenzi hayana umri, Rangi, Kabila, wala Cheo.
Waite Waite waje.Kila la kheri. Mungu akufanyie wepesi hitaji lako
Baada ya kuvuka level ya kutongoza kila mwanamke, sasa umeingia level ya kuwataka wao wakutongoze kwa wakati mmoja😃Mkuu sio kitongoza Kila mwanamke Nimeisha vuka izo Level na waachia nyinyi Vijana ambao damu bado inachemka.
yaani kama umekosa mwanamke wa kuowa TANGA huwezi kupata kabisa kwingineko,SIFA ZANGU
- Mwanaume mrefu Fut 5.6,
- Mweupe, Macho ya Brown,
- Mfanya Biashara Tanga Mjini,
- Nipo ( SINGLE ).
SIFA ZA MCHUMBA WA KIKE.
- Awe mrefu wastani/ Mfupi sawa,
- Dini yoyote,
- Awe Tanga / Mkoa mwingine,
- Awe tarari kuanza Mahusiano mapya,
- Awe na upendo wa dhati.
Kwa aliye tayari naomba Ani TxT / Massage na Tuanze Safari...
Ani TxT / Massage na Tuanze Safari... [/B]
Mwenzenu niko singo naenjoyyyy 🎶👨🎤
Na raha ya kuwa single uwe na maokoto..la sivyo mwili siku zote unakua mchovu🤣Mwenzenu niko singo naenjoyyyy 🎶👨🎤
NakaziaNa raha ya kuwa single uwe na maokoto..la sivyo mwili siku zote unakua mchovu🤣
Kwanini uwe single wakati Muenyezi Mungu alikuwa na Kila sababu ya Kuumba Viimbe Pairs??Nakazia
We mbona uko singleKwanini uwe single wakati Muenyezi Mungu alikuwa na Kila sababu ya Kuumba Viimbe Pairs??
'mrefu' na 'futi 5.6' ni maneno ambayo hayatakiwi kukaa pamojaMwanaume mrefu Fut 5.6
Mwanaume anayetafuta wake mtandaoni namuona hayawani siyo mzimaUpo sahihi mkuu ila kwa Level ZANGU sitaki kupoteza Muda kuanza kumbeleza Mwanamke... Maisha yamebadilika ... Kama una dada Yako aliye tayari kutulia sehemu moja mpe Connection ZANGU na nakuahidi ( Nitakuwa shemeji yako Mzuri sana) [emoji8]
Kashoga hakaMademu wote hao Tanga washindwa kuteka mmoja.