Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
kianachoa sio mika bwana kinachooa ni akili,2 usipo kuwa commitmnt at 25 old unategemea kuwa cmmtd at what time?
Acha ubishi wewe, umri ulionao ni mdogo sana kufikia maamuzi ya KUOA.
Kama kweli unajiamini kwa umri ulionao, hakukua na sababu ya wewe kuja hapa JAMVINI na kuanza kuhangaisha MBONGO zetu zikusaidie kufikia maamuzi.
Eti "commitment" eboh, kuiandika tu kwenyewe inakushinda, hapo sijaamia kwenye mwandiko wako, kitu kidogo unazungukaaaa