Mchumba wa kimasai

Mchumba wa kimasai

kianachoa sio mika bwana kinachooa ni akili,2 usipo kuwa commitmnt at 25 old unategemea kuwa cmmtd at what time?

Acha ubishi wewe, umri ulionao ni mdogo sana kufikia maamuzi ya KUOA.
Kama kweli unajiamini kwa umri ulionao, hakukua na sababu ya wewe kuja hapa JAMVINI na kuanza kuhangaisha MBONGO zetu zikusaidie kufikia maamuzi.
Eti "commitment" eboh, kuiandika tu kwenyewe inakushinda, hapo sijaamia kwenye mwandiko wako, kitu kidogo unazungukaaaa
 
Acha ubishi wewe, umri ulionao ni mdogo sana kufikia maamuzi ya KUOA.
Kama kweli unajiamini kwa umri ulionao, hakukua na sababu ya wewe kuja hapa JAMVINI na kuanza kuhangaisha MBONGO zetu zikusaidie kufikia maamuzi.
Eti "commitment" eboh, kuiandika tu kwenyewe inakushinda, hapo sijaamia kwenye mwandiko wako, kitu kidogo unazungukaaaa

watu wengn bwana haya mzazi
 
sasa si naona kila kabila unapondea rafiki...halafu nikiangalia jina lako la KIDHUNGU!!

kweli mwaka wangu huu best kutoka kuniita mparee mpaka mzungu nimepanda cheo asante sana
 
Me naona kwanza umri wako mdogo kuoa ila kama unategemea kumuoa baadae sawa!
Na nilicho gundua hauna upendo kwake na ndio maana hujui pa kusimamia!
 
Je unajua maana ya UCHUMBA au MCHUMBA?
kaka kujua maana ya mchumba na uchumba sioni kama ni shule ngumu
nishamaliza chuo nina kazi sasa naanzisha na miradi yangu sasa sababu gani nisiwe na mchumba mzazi? Simple as that
 
hongera kijana nachokushaur jaribu kukaa naye karibu umsome tabia ila hongera kwakupa ka demu wa kimasa

ahasnte kaka kiroho safi nawatfta kama nyinyi wakunipa moyo na ku shake my hand na kuniambia kama naweza alfu mnipe na ushauri
 
Me naona kwanza umri wako mdogo kuoa ila kama unategemea kumuoa baadae sawa!
Na nilicho gundua hauna upendo kwake na ndio maana hujui pa kusimamia!

hapna na kamwe si kama simpendi jana nilikuta uzi mmoja hapa wakti napita baadhi ya tabia za wanawake wa kimachame nkawa nacheka sana kwa sababu wanawake hawa ni marafiki zangu na kweli tabia hizi nyingn wanazo mf kama jeuri hivi kutokana na wachagiaji walivyo kuwa wkisema tabia zao
na mimi kwa roho safi nikashawishika kuulete uzi huu wangu nikitegemea kupata mengi

" wansema bora ukosee kujenga nyumba lakin usikosee kuchagua mchumba wa kuishi nae" wrong wife wrong life same as to hsbdy an Vice veser is true............!
 
Ile mila ya kwa upande wa mamako ya mkeo mke wetu utaiacha? Maana huyo masai ni dada yetu. Hatuipendi.
 
MMh wewe huyo dada humpendi au hauko serious nae, miaka minnne over the phone only. Halafu unakuja unasema haupo karibu, kama mtu akipenda muda huo tayari ushayajua mpaka makaburi ya kwao.

Mimi naona endelea kula ujana ukichoka then think of marriage, wadada wapo. Lakini tafuta wahaya mwenzio lol... Marytina ameshakwambia why :becky:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom