Mchumba wa kiume aliyeokoka anahitajika

Mchumba wa kiume aliyeokoka anahitajika

Namba 2 na 6 vimefanya nikose mke, ngoja nikuunganishe na jamaa yangu mwaka jana alifiwa na mke nadhani masharti anayaweza.
 
Kazana kumwomba Mungu atajibu maombi kwa wakati wake,

Mungu hachelewi na wala Hawahi hivyo subira inahitajika

Kwa jf sidhani kama ni mahali sahihi kumpata mchumba wa aina uliyoitaja.
 
Ungefanya la maana sana ukaweka na picha yako ili isijekuwa bi. Kidude ni pacha mwenzio!![emoji86] [emoji86]
 
Habari Za Leo Wana Jf. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema . Sifa za mchumba ni:
1) Mkristo lakini asiwe wa jina , awe mcha Mungu na mwenye Hofu ya Mungu. ( Mlokole )
2)Awe na miaka kuanzia 35-40 na aliye single.
3)Awe na watoto wasiozidi wawili tuu.
4) Mwenye kazi na miradi yake halali inayoingiza kipato tafadhali.
5) Asiwe na dramas na mzazi mwenzie. Akiwa mjane itakuwa sawa pia. Awe ameshamaliza ujana wake .Sihitaji players nimewachoka maana wamenipotezea muda wangu na mengineyo mengi tuu.
6) Awe tayari kupima Afya
7)Awe mkubwa wa familia , atakayeoongoza familia katika misingi ya Yesu Kristo. Asiwe mmnywaji Pombe wala mvuta sigara .
8)Awe na upendo wa kweli kwa familia zote mbili .

Jamani naomba tuelewane kuwa siko hapa kucheza niko serious . Sitaki kuchezewa akili na kupotezewa Muda nimeezeka ambako siko baada ya wao kufanikiwa kimaisha wakaanza viburi na dharau, kama unajiona hauko tayari naomba usinitafute .Kama uko serious naomba tuwasiliane . Kwa walio nnchi za Nnje tafadhali karibuni sana . Naweza kuwa na mahusiano ya mbali nilishawahi kufanya hivyo na haikunisumbua Mimi. Niko tayari kujibu kuhusu Mimi PM kwa walio serious na wenye nia ya kweli tuu . Asante nashukuru Sana na Mungu awabariki. Asante!
nina watoto wa nne, hilo tu ndio lineniweka mbali na wewe, dah, nimeyapenda maelezo yako kiujumla weka angalau picha basi iniliwaze nikukumbukapo n.b pigia kanisani mpendwa.
 
Ukiona mtafuta mume anaficha profile yake ujue hilo ni guta na halichagui aina ya mzigo....!
Kitu kidogo kama hicho anaficha!! Bila shaka kuna mengi ya hovyo nyuma ya pazia.
 
Wale wanaoishi nje ya nchi mnakaribishwa. Nimeipenda hii
 
Kazana kumwomba Mungu atajibu maombi kwa wakati wake,

Mungu hachelewi na wala Hawahi hivyo subira inahitajika

Kwa jf sidhani kama ni mahali sahihi kumpata mchumba wa aina uliyoitaja.
Asante
 
Ukiona mtafuta mume anaficha profile yake ujue hilo ni guta na halichagui aina ya mzigo....!
Kitu kidogo kama hicho anaficha!! Bila shaka kuna mengi ya hovyo nyuma ya pazia.
Kama unanijua sawa
 
yaani watakuja kama malaika usije kusex na mtu huku dada utakoma nakuambia kama akija umesema unataka mume sio? akuoe kwanza
Ni kweli unachokisema . Mwenye nia lazima atakuwa na subira . Nashukuru kwa hilo ulilolisema
 
Back
Top Bottom