Mchumba wangu aliachana na Mke kwa kulala na Mkwe wake

Mchumba wangu aliachana na Mke kwa kulala na Mkwe wake

Dada hiyo ni red flag teyari. Kimbia haraka. Kwanza Biblia inasema anayelala na mama mkwe wake amelaaniwa. " Na alaaniwe alalaye na mkwewe, mamaye mkewe. Na watu wote waseme, Amina."(Kumbu kumbu la torati 27:23)
 
Sijafika mwisho ila huyo mwanamume ndo ana laana ma soon na wewe inakupata
 
Haieleweki vizuri.

Ila kama ni wewe au huyo aliyekutuma mfikishie huu ujumbe "HAUNA AKILI"
 
Mchumba wangu amelala na Mtu na Mama yake, je atabadilika?

Niko kwenye mahusiano na huyu kaka, huu ni mwaka wa pili. Kabla ya kukutana naye, alikuwa ameshaoa, lakini alikuja kuachana na mke wake kwa sababu alianzisha mahusiano na mama mkwe wake. Ndiyo, kaka huyo aliingia kwenye mahusiano na mama mzazi wa mke wake.

Kilichotokea ni kwamba, mimi niko huku (sitataja eneo), ambapo wanawake ni malaya sana na hawajali kuhusu kuchangia mwanaume na hata ndugu. Hivyo, kipindi mke wake alipokuwa kajifungua, mama yake alikuja kumtunza katika uzazi. Wakati wa kukaa huko, alianza mahusiano na mama mkwe wake, mpaka mtoto wa mke wake akajua.

Waligombana sana, na mama mkwe alikataa kurudi nyumbani kwa mume wake hadi kikao cha familia kilipokaa na kumlazimisha kurudi kwa mume wake. Mama mkwe alirudi, lakini bado aliendelea kumsumbua binti yake. Mwisho wa yote, binti huyo aliondoka kwa hasira, na mwanaume huyo akampa talaka.

Binti aliondoka, lakini maisha hayakumwendea vizuri, hivyo alitaka kurudi kwa mume wake. Hata hivyo, aliporudi alikuta tayari nipo kwenye mahusiano na huyo mwanaume. Kwa miaka miwili sasa,yeye na Mama yake wamekuwa wakinisumbua kwa kunivurugia amani, wakisema lazima niondoke.

Mimi nimekaa kimya kwa sababu mwanaume aliniahidi kuwa hawezi kurudiana na familia hiyo kwa sababu anaamini familia hiyo ina laana kwa kitendo walichofanya.

Sababu ya kuja kwako ni kwamba, nimemshika simu ya mwanaume na kugundua kuwa bado ana mawasiliano na aliyekuwa mke wake. Wanaitana "mke" na "mume," na wanatumiana mpaka picha za uchi. Nikimuuliza, anadai kuwa ni mambo ya mtoto. Kinachonishtua zaidi ni kwamba bado ana mawasiliano na yule mama mkwe.

Sijawahi kuona meseji za mapenzi kutoka kwa huyo mama, lakini mwanaume anamtumia pesa, anamnunulia zawadi, na nikimuuliza anadai ni kwa sababu ni mama mkwe wake na wanakaa na wajukuu zake, hivyo hawezi kumtenga.

Kwa sasa nimemchoka, na kuna wakati mama na binti yake hunipigia simu na kunitukana wakisema watafan*ya kila kitu kuniondoa. Mwanaume ananiambia nione kama wapuuzi na nipuuze maneno yao. Mwezi ujao, anatarajia kuja kujitambulisha nyumbani kwetu na kunitolea mahari, lakini naogopa sana kama huyu mtu atabadilika.
Hao ni Wa Spanish?
 
Mchumba wangu amelala na Mtu na Mama yake, je atabadilika?

Niko kwenye mahusiano na huyu kaka, huu ni mwaka wa pili. Kabla ya kukutana naye, alikuwa ameshaoa, lakini alikuja kuachana na mke wake kwa sababu alianzisha mahusiano na mama mkwe wake. Ndiyo, kaka huyo aliingia kwenye mahusiano na mama mzazi wa mke wake.

Kilichotokea ni kwamba, mimi niko huku (sitataja eneo), ambapo wanawake ni malaya sana na hawajali kuhusu kuchangia mwanaume na hata ndugu. Hivyo, kipindi mke wake alipokuwa kajifungua, mama yake alikuja kumtunza katika uzazi. Wakati wa kukaa huko, alianza mahusiano na mama mkwe wake, mpaka mtoto wa mke wake akajua.

Waligombana sana, na mama mkwe alikataa kurudi nyumbani kwa mume wake hadi kikao cha familia kilipokaa na kumlazimisha kurudi kwa mume wake. Mama mkwe alirudi, lakini bado aliendelea kumsumbua binti yake. Mwisho wa yote, binti huyo aliondoka kwa hasira, na mwanaume huyo akampa talaka.

Binti aliondoka, lakini maisha hayakumwendea vizuri, hivyo alitaka kurudi kwa mume wake. Hata hivyo, aliporudi alikuta tayari nipo kwenye mahusiano na huyo mwanaume. Kwa miaka miwili sasa,yeye na Mama yake wamekuwa wakinisumbua kwa kunivurugia amani, wakisema lazima niondoke.

Mimi nimekaa kimya kwa sababu mwanaume aliniahidi kuwa hawezi kurudiana na familia hiyo kwa sababu anaamini familia hiyo ina laana kwa kitendo walichofanya.

Sababu ya kuja kwako ni kwamba, nimemshika simu ya mwanaume na kugundua kuwa bado ana mawasiliano na aliyekuwa mke wake. Wanaitana "mke" na "mume," na wanatumiana mpaka picha za uchi. Nikimuuliza, anadai kuwa ni mambo ya mtoto. Kinachonishtua zaidi ni kwamba bado ana mawasiliano na yule mama mkwe.

Sijawahi kuona meseji za mapenzi kutoka kwa huyo mama, lakini mwanaume anamtumia pesa, anamnunulia zawadi, na nikimuuliza anadai ni kwa sababu ni mama mkwe wake na wanakaa na wajukuu zake, hivyo hawezi kumtenga.

Kwa sasa nimemchoka, na kuna wakati mama na binti yake hunipigia simu na kunitukana wakisema watafan*ya kila kitu kuniondoa. Mwanaume ananiambia nione kama wapuuzi na nipuuze maneno yao. Mwezi ujao, anatarajia kuja kujitambulisha nyumbani kwetu na kunitolea mahari, lakini naogopa sana kama huyu mtu atabadilika.
Una roho ngumu sana, unawezaje kuendelea kuwa na mahusiano na mwanaume wa namna hiyo- hasa baada ya kujua uchafu wore huo?
 
Achana nae haraka sana, hamnamo mtu humo, kadhalika mtu wa aina hiyo hawezi acha tabia zake. Achana nae nyoka uyooo ataichimba mpk kwa ndugu zako i swear
 
Mchumba wangu amelala na Mtu na Mama yake, je atabadilika?

Niko kwenye mahusiano na huyu kaka, huu ni mwaka wa pili. Kabla ya kukutana naye, alikuwa ameshaoa, lakini alikuja kuachana na mke wake kwa sababu alianzisha mahusiano na mama mkwe wake. Ndiyo, kaka huyo aliingia kwenye mahusiano na mama mzazi wa mke wake.

Kilichotokea ni kwamba, mimi niko huku (sitataja eneo), ambapo wanawake ni malaya sana na hawajali kuhusu kuchangia mwanaume na hata ndugu. Hivyo, kipindi mke wake alipokuwa kajifungua, mama yake alikuja kumtunza katika uzazi. Wakati wa kukaa huko, alianza mahusiano na mama mkwe wake, mpaka mtoto wa mke wake akajua.

Waligombana sana, na mama mkwe alikataa kurudi nyumbani kwa mume wake hadi kikao cha familia kilipokaa na kumlazimisha kurudi kwa mume wake. Mama mkwe alirudi, lakini bado aliendelea kumsumbua binti yake. Mwisho wa yote, binti huyo aliondoka kwa hasira, na mwanaume huyo akampa talaka.

Binti aliondoka, lakini maisha hayakumwendea vizuri, hivyo alitaka kurudi kwa mume wake. Hata hivyo, aliporudi alikuta tayari nipo kwenye mahusiano na huyo mwanaume. Kwa miaka miwili sasa,yeye na Mama yake wamekuwa wakinisumbua kwa kunivurugia amani, wakisema lazima niondoke.

Mimi nimekaa kimya kwa sababu mwanaume aliniahidi kuwa hawezi kurudiana na familia hiyo kwa sababu anaamini familia hiyo ina laana kwa kitendo walichofanya.

Sababu ya kuja kwako ni kwamba, nimemshika simu ya mwanaume na kugundua kuwa bado ana mawasiliano na aliyekuwa mke wake. Wanaitana "mke" na "mume," na wanatumiana mpaka picha za uchi. Nikimuuliza, anadai kuwa ni mambo ya mtoto. Kinachonishtua zaidi ni kwamba bado ana mawasiliano na yule mama mkwe.

Sijawahi kuona meseji za mapenzi kutoka kwa huyo mama, lakini mwanaume anamtumia pesa, anamnunulia zawadi, na nikimuuliza anadai ni kwa sababu ni mama mkwe wake na wanakaa na wajukuu zake, hivyo hawezi kumtenga.

Kwa sasa nimemchoka, na kuna wakati mama na binti yake hunipigia simu na kunitukana wakisema watafan*ya kila kitu kuniondoa. Mwanaume ananiambia nione kama wapuuzi na nipuuze maneno yao. Mwezi ujao, anatarajia kuja kujitambulisha nyumbani kwetu na kunitolea mahari, lakini naogopa sana kama huyu mtu atabadilika.
Familia ile.ina laana ila yeye aliyevua chipi ya mama mkwe hana laana?
 
Mama yako mzazi yupo?? Kama yupo basi stay tuned..
 
huyo mwanaume tayari analaana je unataka kutengeneza ukoo wenye laana? acha wafu wazikane wao kwa wao
 
Achana nae huyo njoo kwangu mimi mstaarabu mtu wa Mungu na pesa ninazo ni wewe tu
 
Mapenzi hayashauriwi.....ila mpaka unaomba ushauri ni kwamba moyo wako na akili yako haisemi lugha moja....moyo wako unampenda huyo Bwana...na kwasababu amekuahidi anakwenda na kwenu (wanawake tunavyopenda ndoa) ndio unabaki njia panda kabisa...ila akili yako iko sahihi huyo sio mwanaume...kama unaweza achana nae...hauwezi endelea nae ila UTAJUTA
 
Mchumba wangu amelala na Mtu na Mama yake, je atabadilika?

Niko kwenye mahusiano na huyu kaka, huu ni mwaka wa pili. Kabla ya kukutana naye, alikuwa ameshaoa, lakini alikuja kuachana na mke wake kwa sababu alianzisha mahusiano na mama mkwe wake. Ndiyo, kaka huyo aliingia kwenye mahusiano na mama mzazi wa mke wake.

Kilichotokea ni kwamba, mimi niko huku (sitataja eneo), ambapo wanawake ni malaya sana na hawajali kuhusu kuchangia mwanaume na hata ndugu. Hivyo, kipindi mke wake alipokuwa kajifungua, mama yake alikuja kumtunza katika uzazi. Wakati wa kukaa huko, alianza mahusiano na mama mkwe wake, mpaka mtoto wa mke wake akajua.

Waligombana sana, na mama mkwe alikataa kurudi nyumbani kwa mume wake hadi kikao cha familia kilipokaa na kumlazimisha kurudi kwa mume wake. Mama mkwe alirudi, lakini bado aliendelea kumsumbua binti yake. Mwisho wa yote, binti huyo aliondoka kwa hasira, na mwanaume huyo akampa talaka.

Binti aliondoka, lakini maisha hayakumwendea vizuri, hivyo alitaka kurudi kwa mume wake. Hata hivyo, aliporudi alikuta tayari nipo kwenye mahusiano na huyo mwanaume. Kwa miaka miwili sasa,yeye na Mama yake wamekuwa wakinisumbua kwa kunivurugia amani, wakisema lazima niondoke.

Mimi nimekaa kimya kwa sababu mwanaume aliniahidi kuwa hawezi kurudiana na familia hiyo kwa sababu anaamini familia hiyo ina laana kwa kitendo walichofanya.

Sababu ya kuja kwako ni kwamba, nimemshika simu ya mwanaume na kugundua kuwa bado ana mawasiliano na aliyekuwa mke wake. Wanaitana "mke" na "mume," na wanatumiana mpaka picha za uchi. Nikimuuliza, anadai kuwa ni mambo ya mtoto. Kinachonishtua zaidi ni kwamba bado ana mawasiliano na yule mama mkwe.

Sijawahi kuona meseji za mapenzi kutoka kwa huyo mama, lakini mwanaume anamtumia pesa, anamnunulia zawadi, na nikimuuliza anadai ni kwa sababu ni mama mkwe wake na wanakaa na wajukuu zake, hivyo hawezi kumtenga.

Kwa sasa nimemchoka, na kuna wakati mama na binti yake hunipigia simu na kunitukana wakisema watafan*ya kila kitu kuniondoa. Mwanaume ananiambia nione kama wapuuzi na nipuuze maneno yao. Mwezi ujao, anatarajia kuja kujitambulisha nyumbani kwetu na kunitolea mahari, lakini naogopa sana kama huyu mtu atabadilika.
Hapo sina ushauri zaidi ya kukuomba kwamba uokoke na umpe Yesu maisha yako.
 
Wanaume hujiadhari na masingo maza na wanawake huaswa wajiadhari na mwanaume alieachana na mkewe.
 
Mchumba wangu amelala na Mtu na Mama yake, je atabadilika?

Niko kwenye mahusiano na huyu kaka, huu ni mwaka wa pili. Kabla ya kukutana naye, alikuwa ameshaoa, lakini alikuja kuachana na mke wake kwa sababu alianzisha mahusiano na mama mkwe wake. Ndiyo, kaka huyo aliingia kwenye mahusiano na mama mzazi wa mke wake.

Kilichotokea ni kwamba, mimi niko huku (sitataja eneo), ambapo wanawake ni malaya sana na hawajali kuhusu kuchangia mwanaume na hata ndugu. Hivyo, kipindi mke wake alipokuwa kajifungua, mama yake alikuja kumtunza katika uzazi. Wakati wa kukaa huko, alianza mahusiano na mama mkwe wake, mpaka mtoto wa mke wake akajua.

Waligombana sana, na mama mkwe alikataa kurudi nyumbani kwa mume wake hadi kikao cha familia kilipokaa na kumlazimisha kurudi kwa mume wake. Mama mkwe alirudi, lakini bado aliendelea kumsumbua binti yake. Mwisho wa yote, binti huyo aliondoka kwa hasira, na mwanaume huyo akampa talaka.

Binti aliondoka, lakini maisha hayakumwendea vizuri, hivyo alitaka kurudi kwa mume wake. Hata hivyo, aliporudi alikuta tayari nipo kwenye mahusiano na huyo mwanaume. Kwa miaka miwili sasa,yeye na Mama yake wamekuwa wakinisumbua kwa kunivurugia amani, wakisema lazima niondoke.

Mimi nimekaa kimya kwa sababu mwanaume aliniahidi kuwa hawezi kurudiana na familia hiyo kwa sababu anaamini familia hiyo ina laana kwa kitendo walichofanya.

Sababu ya kuja kwako ni kwamba, nimemshika simu ya mwanaume na kugundua kuwa bado ana mawasiliano na aliyekuwa mke wake. Wanaitana "mke" na "mume," na wanatumiana mpaka picha za uchi. Nikimuuliza, anadai kuwa ni mambo ya mtoto. Kinachonishtua zaidi ni kwamba bado ana mawasiliano na yule mama mkwe.

Sijawahi kuona meseji za mapenzi kutoka kwa huyo mama, lakini mwanaume anamtumia pesa, anamnunulia zawadi, na nikimuuliza anadai ni kwa sababu ni mama mkwe wake na wanakaa na wajukuu zake, hivyo hawezi kumtenga.

Kwa sasa nimemchoka, na kuna wakati mama na binti yake hunipigia simu na kunitukana wakisema watafan*ya kila kitu kuniondoa. Mwanaume ananiambia nione kama wapuuzi na nipuuze maneno yao. Mwezi ujao, anatarajia kuja kujitambulisha nyumbani kwetu na kunitolea mahari, lakini naogopa sana kama huyu mtu atabadilika.
Eeeeh
 
Back
Top Bottom