Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Dah, nimecheka πWatoto wa 2000 unakuta TV yake wasafi TV...
Ungemuuliza unamjua Baba levo?akupe history ambayo hata wewe pengine huijui..π
Hao wasio na akil ndo wazur..hata ukicheat unajitetea kitaalam wanaamin..braza vip wew...mbuz kafia kwa muuza supu brazaNatumaini j2 ya leo ni njema kwetu sote.
Katika harakati za kutafuta mwenza wa maisha, nimefahamiana na binti mmoja wa Kilokole ambaye ni mtoto wa Mchungaji wa moja ya Makanisa ya Kipentekoste ambapo na mimi naabudu.
Kabla sijampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yangu, nakiri kuishi maisha yaliyotawaliwa na uzinzi na starehe za kila aina kama ulevi n.k.
Baadaye nikapata neema ya kuokoka. Nikajikuta nasali Kanisa 'X' ambamo ndio nimekutana na huyo binti wa miaka 23, mhitimu wa kidato cha 4 mwaka 2022, mrembo sana, Mcha Mungu, mwanakikundi wa kikundi cha Maombi Kanisani na muimbaji hodari wa nyimbo za Injili. Kabila ni muha.
Nina miezi 9 hapa Kanisani lakini nina miezi 2 tangu nifahamiane nae. Nimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira. Na msimamo wake ni kwamba hatafanya zinaa mpaka siku atakayoolewa.
Baada ya kupendekeza wazo langu kwake akaomba nimpe muda wa kunichunguza. Alipojiridhisha kuhusu mwenendo wangu akaridhia ombi langu kwa sharti la kutofanya nae zinaa mpaka siku ya ndoa!
Bado hatujamshirikisha baba yake ambaye ni Mchungaji kwasababu na mimi nilimuomba anipe muda nijitafakari kama kweli niko tayari kutomuingilia kimwili kabla ya ndoa. Ukizungumza na huyu binti utagundua kwamba bado ni mshamba sana, ameshatembea mikoa 2 tu, mkoa mmoja ukiwa ni wa Shule aliyomaliza kidato cha 4.
Kwa sasa ni mjasiriamali kwasababu hakufanya vizuri kidato cha nne, malengo yake ni kusoma masomo ya uuguzi na sifa anazo.
Leo baada ya kutoka church tukaenda mahali kupata chakula cha mchana, ameniuliza swali la ajabu sana, kwamba Lowasa ni nani? Nadhani amekutana na taarifa za kifo cha Lowasa mitandaoni. At first nilidhani anatania, baadaye nikagundua alikuwa serious kwamba hamjui Lowasa!
Sasa wakuu, mwanamke wa hivi, ambaye amemaliza kidato cha 4 na amepata daraja la 3 la mwisho, inawezekanaje akawa hamjui Hayati Lowasa?
Kwa mtazamo wenu, anaweza akawa mama bora wa familia? Kiukweli ana exposure ndogo sana lakini ni mtafutaji mno. Anajielewa. Ana misimamo. Na anamtumikia Mungu katika roho na kweli.
Hebu tupeane uzoefu ili nisije nikajichanganya wakuu...
Hongera kwa kupata mchumba muimba kwaya aliye kwenye kikundi cha maombi church bila shaka atakua bikra mkuu[emoji4]
Kuhusu mambo ya wanasiasa utamchanganya huyo muulize habari za mitume na wake za manabii tu
amekuja lini mjini? usije kumhukumu bure.Natumaini j2 ya leo ni njema kwetu sote.
Katika harakati za kutafuta mwenza wa maisha, nimefahamiana na binti mmoja wa Kilokole ambaye ni mtoto wa Mchungaji wa moja ya Makanisa ya Kipentekoste ambapo na mimi naabudu.
Kabla sijampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yangu, nakiri kuishi maisha yaliyotawaliwa na uzinzi na starehe za kila aina kama ulevi n.k.
Baadaye nikapata neema ya kuokoka. Nikajikuta nasali Kanisa 'X' ambamo ndio nimekutana na huyo binti wa miaka 23, mhitimu wa kidato cha 4 mwaka 2022, mrembo sana, Mcha Mungu, mwanakikundi wa kikundi cha Maombi Kanisani na muimbaji hodari wa nyimbo za Injili. Kabila ni muha.
Nina miezi 9 hapa Kanisani lakini nina miezi 2 tangu nifahamiane nae. Nimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira. Na msimamo wake ni kwamba hatafanya zinaa mpaka siku atakayoolewa.
Baada ya kupendekeza wazo langu kwake akaomba nimpe muda wa kunichunguza. Alipojiridhisha kuhusu mwenendo wangu akaridhia ombi langu kwa sharti la kutofanya nae zinaa mpaka siku ya ndoa!
Bado hatujamshirikisha baba yake ambaye ni Mchungaji kwasababu na mimi nilimuomba anipe muda nijitafakari kama kweli niko tayari kutomuingilia kimwili kabla ya ndoa. Ukizungumza na huyu binti utagundua kwamba bado ni mshamba sana, ameshatembea mikoa 2 tu, mkoa mmoja ukiwa ni wa Shule aliyomaliza kidato cha 4.
Kwa sasa ni mjasiriamali kwasababu hakufanya vizuri kidato cha nne, malengo yake ni kusoma masomo ya uuguzi na sifa anazo.
Leo baada ya kutoka church tukaenda mahali kupata chakula cha mchana, ameniuliza swali la ajabu sana, kwamba Lowasa ni nani? Nadhani amekutana na taarifa za kifo cha Lowasa mitandaoni. At first nilidhani anatania, baadaye nikagundua alikuwa serious kwamba hamjui Lowasa!
Sasa wakuu, mwanamke wa hivi, ambaye amemaliza kidato cha 4 na amepata daraja la 3 la mwisho, inawezekanaje akawa hamjui Hayati Lowasa?
Kwa mtazamo wenu, anaweza akawa mama bora wa familia? Kiukweli ana exposure ndogo sana lakini ni mtafutaji mno. Anajielewa. Ana misimamo. Na anamtumikia Mungu katika roho na kweli.
Hebu tupeane uzoefu ili nisije nikajichanganya wakuu...
[emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee. Mbona hii taarifa kama ina kuhusu wewe mwenyewe. Nikutafute umekua hela? Wewe ndio una stress aisee umenichekesha kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2]Sasa mambo ya ndoa yanahusiana vipi na siasa? Kikubwa watoto utakuwa unawasaidia wewe homework
[emoji2][emoji2]Hao wasio na akil ndo wazur..hata ukicheat unajitetea kitaalam wanaamin..braza vip wew...mbuz kafia kwa muuza supu braza
Recently, mkuu.amekuja lini mjini? usije kumhukumu bure.
Kama kuambiwa ni chai umeambiwa na wengi ila umenikalia mimi kooni na essay zako. Kama hukutaka nirudi ku comment si ungepotezea reply yangu, mbona umejibu ili nipate notification.πππ[emoji23][emoji23][emoji23]
Basi tuliza mshono mkuu. Acha kujipa umuhimu kwenye maisha yangu. Zipo nyuzi nyingi tu nenda huko achana na chai yangu [emoji28][emoji28]
Wapo wenye akili timamu ambao wanaelewa ninachozungumza.
Ebo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu ukimuoaa jiandae kuchapa watoto kisa wanakuwa wa mwisho darasanii...!! uandae urithi kabisa wa kuwapa maana wakirithi akili za mama yao elimu itawapiga chengaa sanaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu oa haraka sana
Huyu wangu hakuna asichokijua kumuhusu FABRIZIO ROMANOπ₯²π₯²π₯²π₯²
Mkuu, hebu wataje hao wengi...kama sio wewe na mwendawazimu mwenzako ambao mmekuja kwa kasi ya 5G kwenye uzi ambao hamkutakiwa kuwepo right from the start. Uzuri mwenzako amekuwa muelewa, wewe ndio unaniletea ujuaji!Kama kuambiwa ni chai umeambiwa na wengi ila umenikalia mimi kooni na essay zako. Kama hukutaka nirudi ku comment si ungepotezea reply yangu, mbona umejibu ili nipate notification.[emoji23][emoji23][emoji23]
Tuliza wewe kitenesi
Una akili sana.Tukienda kwenye interview tunaulizwa maswali ya kwenye JD na tunapewa maksi kubwa humo. Sasa mkuu muulize maswali kuhusu interest yake ndio utaweza kupima uwezo wake wa kiakili kwa uzuri.
Ukimjudge kwa hili utakuwa unamuonea. Hata hivyo watoto wanarithi akili kwa mzazi wa kike.
Kama ulikuwepoWatoto wa 2000 unakuta TV yake wasafi TV...
Ungemuuliza unamjua Baba levo?akupe history ambayo hata wewe pengine huijui..π
Mwanamume na utu uzima wako unaamini kabisa kuwa umeokoka? Labda nikuulize, umeokoka na nini?Natumaini j2 ya leo ni njema kwetu sote.
Katika harakati za kutafuta mwenza wa maisha, nimefahamiana na binti mmoja wa Kilokole ambaye ni mtoto wa Mchungaji wa moja ya Makanisa ya Kipentekoste ambapo na mimi naabudu.
Kabla sijampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yangu, nakiri kuishi maisha yaliyotawaliwa na uzinzi na starehe za kila aina kama ulevi n.k.
Baadaye nikapata neema ya kuokoka. Nikajikuta nasali Kanisa 'X' ambamo ndio nimekutana na huyo binti wa miaka 23, mhitimu wa kidato cha 4 mwaka 2022, mrembo sana, Mcha Mungu, mwanakikundi wa kikundi cha Maombi Kanisani na muimbaji hodari wa nyimbo za Injili. Kabila ni muha.
Nina miezi 9 hapa Kanisani lakini nina miezi 2 tangu nifahamiane nae. Nimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira. Na msimamo wake ni kwamba hatafanya zinaa mpaka siku atakayoolewa.
Baada ya kupendekeza wazo langu kwake akaomba nimpe muda wa kunichunguza. Alipojiridhisha kuhusu mwenendo wangu akaridhia ombi langu kwa sharti la kutofanya nae zinaa mpaka siku ya ndoa!
Bado hatujamshirikisha baba yake ambaye ni Mchungaji kwasababu na mimi nilimuomba anipe muda nijitafakari kama kweli niko tayari kutomuingilia kimwili kabla ya ndoa. Ukizungumza na huyu binti utagundua kwamba bado ni mshamba sana, ameshatembea mikoa 2 tu, mkoa mmoja ukiwa ni wa Shule aliyomaliza kidato cha 4.
Kwa sasa ni mjasiriamali kwasababu hakufanya vizuri kidato cha nne, malengo yake ni kusoma masomo ya uuguzi na sifa anazo.
Leo baada ya kutoka church tukaenda mahali kupata chakula cha mchana, ameniuliza swali la ajabu sana, kwamba Lowasa ni nani? Nadhani amekutana na taarifa za kifo cha Lowasa mitandaoni. At first nilidhani anatania, baadaye nikagundua alikuwa serious kwamba hamjui Lowasa!
Sasa wakuu, mwanamke wa hivi, ambaye amemaliza kidato cha 4 na amepata daraja la 3 la mwisho, inawezekanaje akawa hamjui Hayati Lowasa?
Kwa mtazamo wenu, anaweza akawa mama bora wa familia? Kiukweli ana exposure ndogo sana lakini ni mtafutaji mno. Anajielewa. Ana misimamo. Na anamtumikia Mungu katika roho na kweli.
Hebu tupeane uzoefu ili nisije nikajichanganya wakuu...