uchawi ata kama akiwa mcha mungu vpi roho mbaya kwa familia yako ukimuoa ataki ndugu zako waje kukutembelea kubwa kuliko lote waha wachafu sana ata kama amesoma vp uchaedu upo kwenye damu lingine kuzaa bila mpangilio mwaka mimba mwaka mtotoKwani Waha wana changamoto gani mkuu?
Hapo kwenye kumcha Mungu sina mashaka nae. She is real.
Mi kuna shemeji yangu mtu mzima kabisa,lakini hamjui Makonda,eti anazani ndiyo Magufuli!!Kaka, interests za wanadamu tunatofautiana sana wanawake wengi, tena mabinti wa sasa, current affairs ni zero. Mke ni vigezo vyako mwenyewe, vikifit anafaa, hasa utiifu na uwezo wa kumanage family. Mambo mengine ni wewe kumfungulia dunia na kumtoa tongotongo.
2015 dogo alikuwa na miaka miwili ila akimuona lowassa kwa tv alikuwa lazima aseme lowassa huyo. Sasa huyo wa kwenu 2015 ana 10 ila hamjui lowassa nashangaa, halafu kwenye civics/uraia si wanawasoma hao viongozi? Ngachoka kabsaaaSasa binti kazaliwa 2005...mwaka 2015 alikuwa na miaka 10...unashangaa nini,?
Wewe kama unataka kuoa mwanamke anayemjua Lowasa au wanasiasa wengine nenda pale msibani kwa Lowasa au kwenye mikutano ya mwenezi. Utapata mke chapNatumaini j2 ya leo ni njema kwetu sote.
Katika harakati za kutafuta mwenza wa maisha, nimefahamiana na binti mmoja wa Kilokole ambaye ni mtoto wa Mchungaji wa moja ya Makanisa ya Kipentekoste ambapo na mimi naabudu.
Kabla sijampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yangu, nakiri kuishi maisha yaliyotawaliwa na uzinzi na starehe za kila aina kama ulevi n.k.
Baadaye nikapata neema ya kuokoka. Nikajikuta nasali Kanisa 'X' ambamo ndio nimekutana na huyo binti wa miaka 23, mhitimu wa kidato cha 4 mwaka 2022, mrembo sana, Mcha Mungu, mwanakikundi wa kikundi cha Maombi Kanisani na muimbaji hodari wa nyimbo za Injili. Kabila ni muha.
Nina miezi 9 hapa Kanisani lakini nina miezi 2 tangu nifahamiane nae. Nimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira. Na msimamo wake ni kwamba hatafanya zinaa mpaka siku atakayoolewa.
Baada ya kupendekeza wazo langu kwake akaomba nimpe muda wa kunichunguza. Alipojiridhisha kuhusu mwenendo wangu akaridhia ombi langu kwa sharti la kutofanya nae zinaa mpaka siku ya ndoa!
Bado hatujamshirikisha baba yake ambaye ni Mchungaji kwasababu na mimi nilimuomba anipe muda nijitafakari kama kweli niko tayari kutomuingilia kimwili kabla ya ndoa. Ukizungumza na huyu binti utagundua kwamba bado ni mshamba sana, ameshatembea mikoa 2 tu, mkoa mmoja ukiwa ni wa Shule aliyomaliza kidato cha 4.
Kwa sasa ni mjasiriamali kwasababu hakufanya vizuri kidato cha nne, malengo yake ni kusoma masomo ya uuguzi na sifa anazo.
Leo baada ya kutoka church tukaenda mahali kupata chakula cha mchana, ameniuliza swali la ajabu sana, kwamba Lowasa ni nani? Nadhani amekutana na taarifa za kifo cha Lowasa mitandaoni. At first nilidhani anatania, baadaye nikagundua alikuwa serious kwamba hamjui Lowasa!
Sasa wakuu, mwanamke wa hivi, ambaye amemaliza kidato cha 4 na amepata daraja la 3 la mwisho, inawezekanaje akawa hamjui Hayati Lowasa?
Kwa mtazamo wenu, anaweza akawa mama bora wa familia? Kiukweli ana exposure ndogo sana lakini ni mtafutaji mno. Anajielewa. Ana misimamo. Na anamtumikia Mungu katika roho na kweli.
Hebu tupeane uzoefu ili nisije nikajichanganya wakuu...
kuna mrembo wa sa juz kat kaulizwa afcon inafanyikia nchi gani akajbu hajui, kuna mlimbende wa usa aliulizwaga kuhusu ronaldo christiano, akamuuliza mtangazaji, who is ronaldo?Diamond mwenyewe Pana watu hawamjui sembuse lowasa
lowassa si wanamsoma huko shuleni kama former mp wa tz mkuu au?Diamond mwenyewe Pana watu hawamjui sembuse lowasa
Acha ujinga, demu wa kuoa huyo.Kwahiyo nisiwe na wasiwasi sana mkuu, kwamba this is the obvious.
1. Atakuwa mtoto wa miaka 2010 ikiwa ina maana unataka kuoa underage ndio maana hamfahamu lowassa auNatumaini j2 ya leo ni njema kwetu sote.
Katika harakati za kutafuta mwenza wa maisha, nimefahamiana na binti mmoja wa Kilokole ambaye ni mtoto wa Mchungaji wa moja ya Makanisa ya Kipentekoste ambapo na mimi naabudu.
Kabla sijampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yangu, nakiri kuishi maisha yaliyotawaliwa na uzinzi na starehe za kila aina kama ulevi n.k.
Baadaye nikapata neema ya kuokoka. Nikajikuta nasali Kanisa 'X' ambamo ndio nimekutana na huyo binti wa miaka 23, mhitimu wa kidato cha 4 mwaka 2022, mrembo sana, Mcha Mungu, mwanakikundi wa kikundi cha Maombi Kanisani na muimbaji hodari wa nyimbo za Injili. Kabila ni muha.
Nina miezi 9 hapa Kanisani lakini nina miezi 2 tangu nifahamiane nae. Nimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira. Na msimamo wake ni kwamba hatafanya zinaa mpaka siku atakayoolewa.
Baada ya kupendekeza wazo langu kwake akaomba nimpe muda wa kunichunguza. Alipojiridhisha kuhusu mwenendo wangu akaridhia ombi langu kwa sharti la kutofanya nae zinaa mpaka siku ya ndoa!
Bado hatujamshirikisha baba yake ambaye ni Mchungaji kwasababu na mimi nilimuomba anipe muda nijitafakari kama kweli niko tayari kutomuingilia kimwili kabla ya ndoa. Ukizungumza na huyu binti utagundua kwamba bado ni mshamba sana, ameshatembea mikoa 2 tu, mkoa mmoja ukiwa ni wa Shule aliyomaliza kidato cha 4.
Kwa sasa ni mjasiriamali kwasababu hakufanya vizuri kidato cha nne, malengo yake ni kusoma masomo ya uuguzi na sifa anazo.
Leo baada ya kutoka church tukaenda mahali kupata chakula cha mchana, ameniuliza swali la ajabu sana, kwamba Lowasa ni nani? Nadhani amekutana na taarifa za kifo cha Lowasa mitandaoni. At first nilidhani anatania, baadaye nikagundua alikuwa serious kwamba hamjui Lowasa!
Sasa wakuu, mwanamke wa hivi, ambaye amemaliza kidato cha 4 na amepata daraja la 3 la mwisho, inawezekanaje akawa hamjui Hayati Lowasa?
Kwa mtazamo wenu, anaweza akawa mama bora wa familia? Kiukweli ana exposure ndogo sana lakini ni mtafutaji mno. Anajielewa. Ana misimamo. Na anamtumikia Mungu katika roho na kweli.
Hebu tupeane uzoefu ili nisije nikajichanganya wakuu...
Alikuwa anazuga huyoKile kipindi Tundu Lissu anapigwa Risasi Dodoma
Kuna Mtu Tena ni Mkubwa around 32 akawa anasema kwani Tundu Lissu ndio Nani
Nilishangaa kweli yaani
Sasa si afadhali nimuolee Yesu kuliko Athumani wa Mbagala [emoji28]Kwanini amalize 4m4 akiwa na zaid ya muaka 20 bila kumjua Lowasa?
2015 akiwa amenarehe kabisa hata hakutaka kujua jani anagombea Uraisi?
Una uhakika ni Mtanzania? Siyo Mrundi?
Napata jibu ana Umbumbumbu flan hivi unaotokana na Mazingira na Malezi.
Sikushauri, huyo ukioa umemuolea Yesu.
Umewasilisha kiutu uzima sana bila kuhukumu. Nashukuru.Kaka, interests za wanadamu tunatofautiana sana wanawake wengi, tena mabinti wa sasa, current affairs ni zero. Mke ni vigezo vyako mwenyewe, vikifit anafaa, hasa utiifu na uwezo wa kumanage family. Mambo mengine ni wewe kumfungulia dunia na kumtoa tongotongo.
Nimependa hiyo phrase, "Sio lazima kujua kila kitu".Sio lazima kujua kila kitu ila kuna vitu vya kujua. Watu tunamjua mkwawa na hatukuwepo kipindi hicho.
Kama ana miaka 23 saiv ina maana amezaliwa 2000. Imekuaje form four kumaliza na miaka 22. Sio chai hii?
Nimekuelewa sana mkuu [emoji28][emoji1787][emoji1787]Saa ingine angalia vya maana exposure na future anaionaje hivi vingine bana hawezi kamilika100%
Kwanini mkuu [emoji28][emoji28]Muache binti wa watu wewe Sio mtu sahihi kwake