Mchumba wangu ameniuliza "Lowassa ndio nani?"

Mchumba wangu ameniuliza "Lowassa ndio nani?"

Kwani Waha wana changamoto gani mkuu?

Hapo kwenye kumcha Mungu sina mashaka nae. She is real.
uchawi ata kama akiwa mcha mungu vpi roho mbaya kwa familia yako ukimuoa ataki ndugu zako waje kukutembelea kubwa kuliko lote waha wachafu sana ata kama amesoma vp uchaedu upo kwenye damu lingine kuzaa bila mpangilio mwaka mimba mwaka mtoto
 
Kaka, interests za wanadamu tunatofautiana sana wanawake wengi, tena mabinti wa sasa, current affairs ni zero. Mke ni vigezo vyako mwenyewe, vikifit anafaa, hasa utiifu na uwezo wa kumanage family. Mambo mengine ni wewe kumfungulia dunia na kumtoa tongotongo.
Mi kuna shemeji yangu mtu mzima kabisa,lakini hamjui Makonda,eti anazani ndiyo Magufuli!!
 
Sasa binti kazaliwa 2005...mwaka 2015 alikuwa na miaka 10...unashangaa nini,?
2015 dogo alikuwa na miaka miwili ila akimuona lowassa kwa tv alikuwa lazima aseme lowassa huyo. Sasa huyo wa kwenu 2015 ana 10 ila hamjui lowassa nashangaa, halafu kwenye civics/uraia si wanawasoma hao viongozi? Ngachoka kabsaaa
 
Natumaini j2 ya leo ni njema kwetu sote.

Katika harakati za kutafuta mwenza wa maisha, nimefahamiana na binti mmoja wa Kilokole ambaye ni mtoto wa Mchungaji wa moja ya Makanisa ya Kipentekoste ambapo na mimi naabudu.

Kabla sijampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yangu, nakiri kuishi maisha yaliyotawaliwa na uzinzi na starehe za kila aina kama ulevi n.k.

Baadaye nikapata neema ya kuokoka. Nikajikuta nasali Kanisa 'X' ambamo ndio nimekutana na huyo binti wa miaka 23, mhitimu wa kidato cha 4 mwaka 2022, mrembo sana, Mcha Mungu, mwanakikundi wa kikundi cha Maombi Kanisani na muimbaji hodari wa nyimbo za Injili. Kabila ni muha.

Nina miezi 9 hapa Kanisani lakini nina miezi 2 tangu nifahamiane nae. Nimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira. Na msimamo wake ni kwamba hatafanya zinaa mpaka siku atakayoolewa.

Baada ya kupendekeza wazo langu kwake akaomba nimpe muda wa kunichunguza. Alipojiridhisha kuhusu mwenendo wangu akaridhia ombi langu kwa sharti la kutofanya nae zinaa mpaka siku ya ndoa!

Bado hatujamshirikisha baba yake ambaye ni Mchungaji kwasababu na mimi nilimuomba anipe muda nijitafakari kama kweli niko tayari kutomuingilia kimwili kabla ya ndoa. Ukizungumza na huyu binti utagundua kwamba bado ni mshamba sana, ameshatembea mikoa 2 tu, mkoa mmoja ukiwa ni wa Shule aliyomaliza kidato cha 4.

Kwa sasa ni mjasiriamali kwasababu hakufanya vizuri kidato cha nne, malengo yake ni kusoma masomo ya uuguzi na sifa anazo.

Leo baada ya kutoka church tukaenda mahali kupata chakula cha mchana, ameniuliza swali la ajabu sana, kwamba Lowasa ni nani? Nadhani amekutana na taarifa za kifo cha Lowasa mitandaoni. At first nilidhani anatania, baadaye nikagundua alikuwa serious kwamba hamjui Lowasa!

Sasa wakuu, mwanamke wa hivi, ambaye amemaliza kidato cha 4 na amepata daraja la 3 la mwisho, inawezekanaje akawa hamjui Hayati Lowasa?

Kwa mtazamo wenu, anaweza akawa mama bora wa familia? Kiukweli ana exposure ndogo sana lakini ni mtafutaji mno. Anajielewa. Ana misimamo. Na anamtumikia Mungu katika roho na kweli.

Hebu tupeane uzoefu ili nisije nikajichanganya wakuu...
Wewe kama unataka kuoa mwanamke anayemjua Lowasa au wanasiasa wengine nenda pale msibani kwa Lowasa au kwenye mikutano ya mwenezi. Utapata mke chap
 
Diamond mwenyewe Pana watu hawamjui sembuse lowasa
kuna mrembo wa sa juz kat kaulizwa afcon inafanyikia nchi gani akajbu hajui, kuna mlimbende wa usa aliulizwaga kuhusu ronaldo christiano, akamuuliza mtangazaji, who is ronaldo?
 
Nikichogundua mleta mada una pepo la umaskini .Mtu maskini hujaza kichwani vitu vingi ambavyo hata havina faida yeyote kwake.Huyo Binti ana roho ya utajiri kama ulivyosema ni mjasilia Mali Yuko vizuri .Kutokujua hata Lowasa ni nani Amjue ili iweje?

Wewe mleta mada unajaza kwenye bichwa madude yasiyokuwa na faida yeyote.Kumjua Lowasa kunakusaidia Nini kwenye maisha Yako kama sio tu kujaza ujinga kichwani
 
Natumaini j2 ya leo ni njema kwetu sote.

Katika harakati za kutafuta mwenza wa maisha, nimefahamiana na binti mmoja wa Kilokole ambaye ni mtoto wa Mchungaji wa moja ya Makanisa ya Kipentekoste ambapo na mimi naabudu.

Kabla sijampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yangu, nakiri kuishi maisha yaliyotawaliwa na uzinzi na starehe za kila aina kama ulevi n.k.

Baadaye nikapata neema ya kuokoka. Nikajikuta nasali Kanisa 'X' ambamo ndio nimekutana na huyo binti wa miaka 23, mhitimu wa kidato cha 4 mwaka 2022, mrembo sana, Mcha Mungu, mwanakikundi wa kikundi cha Maombi Kanisani na muimbaji hodari wa nyimbo za Injili. Kabila ni muha.

Nina miezi 9 hapa Kanisani lakini nina miezi 2 tangu nifahamiane nae. Nimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira. Na msimamo wake ni kwamba hatafanya zinaa mpaka siku atakayoolewa.

Baada ya kupendekeza wazo langu kwake akaomba nimpe muda wa kunichunguza. Alipojiridhisha kuhusu mwenendo wangu akaridhia ombi langu kwa sharti la kutofanya nae zinaa mpaka siku ya ndoa!

Bado hatujamshirikisha baba yake ambaye ni Mchungaji kwasababu na mimi nilimuomba anipe muda nijitafakari kama kweli niko tayari kutomuingilia kimwili kabla ya ndoa. Ukizungumza na huyu binti utagundua kwamba bado ni mshamba sana, ameshatembea mikoa 2 tu, mkoa mmoja ukiwa ni wa Shule aliyomaliza kidato cha 4.

Kwa sasa ni mjasiriamali kwasababu hakufanya vizuri kidato cha nne, malengo yake ni kusoma masomo ya uuguzi na sifa anazo.

Leo baada ya kutoka church tukaenda mahali kupata chakula cha mchana, ameniuliza swali la ajabu sana, kwamba Lowasa ni nani? Nadhani amekutana na taarifa za kifo cha Lowasa mitandaoni. At first nilidhani anatania, baadaye nikagundua alikuwa serious kwamba hamjui Lowasa!

Sasa wakuu, mwanamke wa hivi, ambaye amemaliza kidato cha 4 na amepata daraja la 3 la mwisho, inawezekanaje akawa hamjui Hayati Lowasa?

Kwa mtazamo wenu, anaweza akawa mama bora wa familia? Kiukweli ana exposure ndogo sana lakini ni mtafutaji mno. Anajielewa. Ana misimamo. Na anamtumikia Mungu katika roho na kweli.

Hebu tupeane uzoefu ili nisije nikajichanganya wakuu...
1. Atakuwa mtoto wa miaka 2010 ikiwa ina maana unataka kuoa underage ndio maana hamfahamu lowassa au
2. Alipokuwa shule kama si mtoto wa 2010 alikuwa kilaza sana kiasi kwamba hata somo la uraia kipindi ambapo varaza la mawaziri halibadiliki hovyo alishindwa hata kuwafahamu.

Hafai kuwa mke
 
Sishangai sana kwani hata Christian Ronard aliulizwa, what was your favourite subject at school? Akasema Subject? What does it mean? Mtangazaji akasema okay I mean Mathematics,Physics,English etc. Jamaa akijitia kukumbuka eti ooh okay🤣🤣🤣
 
Kwanini amalize 4m4 akiwa na zaid ya muaka 20 bila kumjua Lowasa?
2015 akiwa amenarehe kabisa hata hakutaka kujua jani anagombea Uraisi?
Una uhakika ni Mtanzania? Siyo Mrundi?
Napata jibu ana Umbumbumbu flan hivi unaotokana na Mazingira na Malezi.

Sikushauri, huyo ukioa umemuolea Yesu.
Sasa si afadhali nimuolee Yesu kuliko Athumani wa Mbagala [emoji28]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kaka, interests za wanadamu tunatofautiana sana wanawake wengi, tena mabinti wa sasa, current affairs ni zero. Mke ni vigezo vyako mwenyewe, vikifit anafaa, hasa utiifu na uwezo wa kumanage family. Mambo mengine ni wewe kumfungulia dunia na kumtoa tongotongo.
Umewasilisha kiutu uzima sana bila kuhukumu. Nashukuru.

Ni kweli tunatofautiana sana kwenye swala la vipaumbele.

Nimepapenda hapo "mke ni vigezo vyako mwenyewe".

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Sio lazima kujua kila kitu ila kuna vitu vya kujua. Watu tunamjua mkwawa na hatukuwepo kipindi hicho.

Kama ana miaka 23 saiv ina maana amezaliwa 2000. Imekuaje form four kumaliza na miaka 22. Sio chai hii?
Nimependa hiyo phrase, "Sio lazima kujua kila kitu".

Kuhusu umri, usijisahaulishe kwamba wengi wetu tunatofautiana uwezo wa darasani, kuna waliorudia madarasa, waliochelewa kuingia Shule kwasababu mbalimbali n.k.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom