Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
-
- #121
[emoji23][emoji23]wasiwasi wangu hawa akina Donatila type walokole atakua anakupa mbususu kwa masharti muanze kwa kuomba.
Nampenda sana mkuu, wala siko nae kimkakati [emoji28][emoji28]Tuanzie hapo kwenye mchumba vp we ni mchumba wake au upo kimkakati usijekuwa unamlazimisha ajue mambo ambayo hayatomsaidia kwaajili ya mtu asiyekuwa na msaada wowote! Just a question [emoji23]
Mkuu, umefanya kitu tunaita "fallacy of generalization".Watu aina hiyo ni wasumbufu sana huko mbeleni wakibadilika tabia huwa hawaambiliki.
Kingine huyo angemaliza miaka ya nyuma hata hiyo 3 asingeipata anaonekana ni kilaza mno, sijui hiyo Civics alikuwa anapata ngapi kama jambo dogo tu hilo anashindwa kulijua.
Maporini tena mkuu [emoji28]Kwenye Civics vitu kama hivyo haviepukiki .
Na kwa jinsi Lowasa alivyotikisa nchi 2015 kusema mtu hamjui inashangaza sana. Labda huyo mtu awe maporini huko tena porini haswa ambako hata TV/magazeti mitandao ya simu hakuna.
Bado sijamla mkuu [emoji28]Utakuwa Unakula Mtoto Wa 2000+
[emoji23][emoji23][emoji23]Nenda kasikilize wimbo wa prof jay na feruzi unaitwa nikusaidiaje.
Aisee [emoji23][emoji23][emoji23]Zao la BRN hilo na one za mchongo.
Nimekuelewa sana mkuu hata kabla hujahitimisha.eti akose sifa zakuwa mke kisa hamjui lowasa
Basi mnisamehe wakuu [emoji28]Anamtafutia binti wa kilokole sababu tu.
Thank you in advance mkuu!Silazima ujue kila kitu ?????? so long as you leave things will change and time will tell
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aiseee!Achana naye. Oa anayemjua gigi mane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwanamke anachambua 1st 11 ya bayen wakazi gani mimi
Basi mnisamehe wakuu! Ingawa sikuwa na maana hiyo [emoji28]Wait kwahiyo huyo binti pamoja na sifa zote hizo, ila kutokumjua Lowassa tu ndio ukataka usitishe kumuoa hadi ukaamua kuja kuanzisha Uzi humu, kwamba wewe mwenzetu unataka mwanamke mkamilifu katika kila nyanja siyo
[emoji23][emoji23]Lahaulah, Jamii Forum sio Kiboko tena, ni Kitembo
Hapo kwenye usafi naku-prove wrong, huyu ni msafi kupita maelezo.uchawi ata kama akiwa mcha mungu vpi roho mbaya kwa familia yako ukimuoa ataki ndugu zako waje kukutembelea kubwa kuliko lote waha wachafu sana ata kama amesoma vp uchaedu upo kwenye damu lingine kuzaa bila mpangilio mwaka mimba mwaka mtoto
[emoji28][emoji28][emoji28]Mi kuna shemeji yangu mtu mzima kabisa,lakini hamjui Makonda,eti anazani ndiyo Magufuli!!