Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
-
- #141
[emoji23][emoji23][emoji23]Niliacha kuongea na mdogo wangu fulani siku aliposema hamjui Lissu [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mmmh, vina muda sasa, mrejesho ni mhimu sana mkuu, hawa viumbe huwajui vizur ww, pwapwapwaa, pwa pwa papa pwa, hapo nchekeNimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira.
Tunatofautiana mkuu.2015 dogo alikuwa na miaka miwili ila akimuona lowassa kwa tv alikuwa lazima aseme lowassa huyo. Sasa huyo wa kwenu 2015 ana 10 ila hamjui lowassa nashangaa, halafu kwenye civics/uraia si wanawasoma hao viongozi? Ngachoka kabsaaa
Ndio useme yanachekeshaje sasa [emoji1]Kuna mambo yanachekesha sana!!
[emoji23][emoji23]Wewe kama unataka kuoa mwanamke anayemjua Lowasa au wanasiasa wengine nenda pale msibani kwa Lowasa au kwenye mikutano ya mwenezi. Utapata mke chap
[emoji28][emoji28]kuna mrembo wa sa juz kat kaulizwa afcon inafanyikia nchi gani akajbu hajui, kuna mlimbende wa usa aliulizwaga kuhusu ronaldo christiano, akamuuliza mtangazaji, who is ronaldo?
Sawa mkuu naacha ujinga [emoji28]Acha ujinga, demu wa kuoa huyo.
Heri yako wewe tajiri.Nikichogundua mleta mada una pepo la umaskini .Mtu maskini hujaza kichwani vitu vingi ambavyo hata havina faida yeyote kwake.Huyo Binti ana roho ya utajiri kama ulivyosema ni mjasilia Mali Yuko vizuri .Kutokujua hata Lowasa ni nani Amjue ili iweje?
Wewe mleta mada unajaza kwenye bichwa madude yasiyokuwa na faida yeyote.Kumjua Lowasa kunakusaidia Nini kwenye maisha Yako kama sio tu kujaza ujinga kichwani
Haya ni mawazo yako na yanapaswa kuheshimiwa mkuu.1. Atakuwa mtoto wa miaka 2010 ikiwa ina maana unataka kuoa underage ndio maana hamfahamu lowassa au
2. Alipokuwa shule kama si mtoto wa 2010 alikuwa kilaza sana kiasi kwamba hata somo la uraia kipindi ambapo varaza la mawaziri halibadiliki hovyo alishindwa hata kuwafahamu.
Hafai kuwa mke
[emoji23][emoji23][emoji23]Sishangai sana kwani hata Christian Ronard aliulizwa, what's your favourite subject? Akasema Subject? What the meaning? Mtangazaji akasema okay I mean Mathematics,Physics,English etc. Jamaa akijitia kukumbua eti ooh okay[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Alivyokwambia umpe muda aanze kukuchunguza naamini kabisa ukaanza kuvaa suruali za vitambaa umechomekea huku mkononi hukosi biblia kila saa
[emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh, vina muda sasa, mrejesho ni mhimu sana mkuu, hawa viumbe huwajui vizur ww, pwapwapwaa, pwa pwa papa pwa, hapo ncheke
Heri yako wewe mkamilifu mkuu.Wewe naye chenga .. Umesema umeokoka lakini , ukataka kumla huyo binti kabla .. Yeye ndio kakataa... Mimi naona wewe ndio humfai huyo binti kwa kutamka unataka mzigo kabla ya ndoa, huku ukijua nyie ni walokole..Hata hivyo huyo binti au wewe wote mnafanya haraka mmejuana miezi miwili ! muda huo ni mfupi kumchunguza mtu kama anafaa kwa ndoa... Mimi naona una mapungufu mengi kumuoa huyo dada
Binti wa miaka 23 si wa 2005 huyo... Yaani ni mtoto wa majuzi...Kazaliwa mwaka gani?
Aaaah wapi. Hata urudie vipi huwezi maliza na miaka 22 tena mtoto wa kike.Nimependa hiyo phrase, "Sio lazima kujua kila kitu".
Kuhusu umri, usijisahaulishe kwamba wengi wetu tunatofautiana uwezo wa darasani, kuna waliorudia madarasa, waliochelewa kuingia Shule kwasababu mbalimbali n.k.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
HahahahaLahaulah, Jamii Forum sio Kiboko tena, ni Kitembo