Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
- #221
Well said, mkuu.Safari ya elim inatofautiana mkuu.
Sio wote wameenda vzr bila matatizo
So huwezi jua alipitia nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well said, mkuu.Safari ya elim inatofautiana mkuu.
Sio wote wameenda vzr bila matatizo
So huwezi jua alipitia nn
Ndio mkuu [emoji28][emoji28]Bila kusimika mzizi? Kwa macho au?
Mie tena😅[emoji28][emoji28] dah!
Sema ueleweshwe kama huyajui maombi ya kuzamia mkuu...
No way😅Ndio mkuu [emoji28][emoji28]
We endelea kukaza fuvu tu usije sema hukuambiwa kama wewe siyo muha basi usioe muhaKwani Waha wana changamoto gani mkuu?
Hapo kwenye kumcha Mungu sina mashaka nae. She is real.
HahahaaMie tena[emoji28]
Haya sawa unaelewa mkuu!
Bila kutoa sababu za msingi sitakusikiliza mkuu.We endelea kukaza fuvu tu usije sema hukuambiwa kama wewe siyo muha basi usioe muha
Sawa mkuu nimekuelewa sawia kabisa.Sijaona umuhimu wa kumjua lowasa,
Binafsi nimesikia juzi taarifa za lowasa kufa, sasa hapa sijui kashazikwa au laah, kufuatilia siasa na viongozi wake kitu nimeshindwa.
Na kufuatilia wasanii na nyimbo zao,
Karibu basi mpendwa kwenye seminar ya neno la Mungu kawe pale kuanzia j5 ijayo ya tar 21
Waha ni watu, ukipata mke Muha weka ndani ni dhahabu hioNakuonea uruma xana akuna mtu apo akuna watu wazinifu kama wanaojifanya wanamjua mungu mara nyingi wanakulana wao kwa wao pia nakushaur usije ukaoa muha utakuja kujuta maisha yako yote
oa haraka sana huyo. Huyo hata tundu la kuingiza mkishaoana labda wewe ndio umstueNatumaini jumapili ya leo ni njema kwetu sote.
Katika harakati za kutafuta mwenza wa maisha, nimefahamiana na binti mmoja wa Kilokole ambaye ni mtoto wa Mchungaji wa moja ya Makanisa ya Kipentekoste ambapo na mimi naabudu.
Kabla sijampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yangu, nakiri kuishi maisha yaliyotawaliwa na uzinzi na starehe za kila aina kama ulevi n.k.
Baadaye nikapata neema ya kuokoka. Nikajikuta nasali Kanisa 'X' ambamo ndio nimekutana na huyo binti wa miaka 23, mhitimu wa kidato cha 4 mwaka 2022, mrembo sana, Mcha Mungu, mwanakikundi wa kikundi cha Maombi Kanisani na muimbaji hodari wa nyimbo za Injili. Kabila ni muha.
Nina miezi 9 hapa Kanisani lakini nina miezi 2 tangu nifahamiane nae. Nimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira. Na msimamo wake ni kwamba hatafanya zinaa mpaka siku atakayoolewa.
Baada ya kupendekeza wazo langu kwake akaomba nimpe muda wa kunichunguza. Alipojiridhisha kuhusu mwenendo wangu akaridhia ombi langu kwa sharti la kutofanya nae zinaa mpaka siku ya ndoa!
Bado hatujamshirikisha baba yake ambaye ni Mchungaji kwasababu na mimi nilimuomba anipe muda nijitafakari kama kweli niko tayari kutomuingilia kimwili kabla ya ndoa. Ukizungumza na huyu binti utagundua kwamba bado ni mshamba sana, ameshatembea mikoa 2 tu, mkoa mmoja ukiwa ni wa Shule aliyomaliza kidato cha 4.
Kwa sasa ni mjasiriamali kwasababu hakufanya vizuri kidato cha nne, malengo yake ni kusoma masomo ya uuguzi na sifa anazo.
Leo baada ya kutoka church tukaenda mahali kupata chakula cha mchana, ameniuliza swali la ajabu sana, kwamba Lowasa ni nani? Nadhani amekutana na taarifa za kifo cha Lowasa mitandaoni. At first nilidhani anatania, baadaye nikagundua alikuwa serious kwamba hamjui Lowasa!
Sasa wakuu, mwanamke wa hivi, ambaye amemaliza kidato cha 4 na amepata daraja la 3 la mwisho, inawezekanaje akawa hamjui Hayati Lowasa?
Kwa mtazamo wenu, anaweza akawa mama bora wa familia? Kiukweli ana exposure ndogo sana lakini ni mtafutaji mno. Anajielewa. Ana misimamo. Na anamtumikia Mungu katika roho na kweli.
Hebu tupeane uzoefu ili nisije nikajichanganya wakuu...
[emoji28][emoji28]Piga chini huyo,atakusumbua..anaachaje kutokumjua Lowasa aisee?
Asante sana mkuu, ngoja tuone ratiba imekaaje.Karibu basi mpendwa kwenye seminar ya neno la Mungu kawe pale kuanzia j5 ijayo ya tar 21
Na mwalim. Christopher Mwakasege
Wewe ni ME au KE?Karibu basi mpendwa kwenye seminar ya neno la Mungu kawe pale kuanzia j5 ijayo ya tar 21
Na mwalim. Christopher Mwakasege
Wewe sio mtu wa kwanza unasema hili [emoji848]Waha ni watu, ukipata mke Muha weka ndani ni dhahabu hio
[emoji23][emoji23]oa haraka sana huyo. Huyo hata tundu la kuingiza mkishaoana labda wewe ndio umstue
🤣🤣🤣🤣