habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
Inasemekana ulitia mkono kumsaidia yule bwana aliyehisiwa huenda anaupungufu wa akili kutokana na staili yake ya kulala twita na kumka twita na kupulekea kushindaHahahaha ndo maana unaniona nakuja hadi humu ,, sina mpenzi mkuu yaaan nashinda kiurahisi sanaaaaaa!!.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu kwanza ufaham Mimi ni jasusi alokubuhu ,, Bwana Trump nilimsaidia Ashinde ili kwspamoja tuifanye dunia kua mahali salama kabisaaaa.Inasemekana ulitia mkono kumsaidia yule bwana aliyehisiwa huenda anaupungufu wa akili kutokana na staili yake ya kulala twita na kumka twita na kupulekea kushinda
Vipi kwa upande wake bwana yule ambae baada ya madaktar kuthibitisha utimamu wa akili zake na kumsifia sana, mkono wake si mfupi hata usikufikie kukuunga mkono km we ulivyomfanyia?
Ukiona mavitu huyaelewi achana nayo nayo fanya vitu vingineHabar wana Jf?leo nimeleta uzi huu baada ya uzalendo kunishinda, nina binti angu(mke) ambaye tumekuwa nae katika mahusiano kwa takribani mwaka mzma,tatizo ni kwamba wakati wa kufanya tendo huwa inafikia stage nikichomoa gegedo vinatoka vitu vyeupe flani hivi ambao una nata ni mithili ya greece h v, na anatoa maji maji flani meupe japo hayana harufu, sasa kwa wajuvi naomba mnisaidie je huu ni ugonjwa au iko vp maana sipati raha ya tendo kabisa mke wangu huyu
Oooooh basi kila LA kheri[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu kwanza ufaham Mimi ni jasusi alokubuhu ,, Bwana Trump nilimsaidia Ashinde ili kwspamoja tuifanye dunia kua mahali salama kabisaaaa.
Sema hawa watu Wa waloko chini yake ndo wamekuja MPA wakat mgumu sana wakimaaamuzi.
ila msikalie kunisema Mimi tuu,,, MTU mkubwa alopelekea Trump kushinda ni Israel ,,hawa niliwah kuwataja uko nyuma ,mkiwauliza watawapa majibu.
Kuhusu Mimi ,,hapana sihitaj msaada ,nashinda asubuh kweupe.
Siunajua Dunia sasa niya ki "Nationalism" zaid??
HahahahahahaUkiona mavitu huyaelewi achana nayo nayo fanya vitu vingine
Si ugonjwaa mwambie ajisafishe fresh alafu itakuwa pouwaaHabar wana Jf?leo nimeleta uzi huu baada ya uzalendo kunishinda, nina binti angu(mke) ambaye tumekuwa nae katika mahusiano kwa takribani mwaka mzma,tatizo ni kwamba wakati wa kufanya tendo huwa inafikia stage nikichomoa gegedo vinatoka vitu vyeupe flani hivi ambao una nata ni mithili ya greece h v, na anatoa maji maji flani meupe japo hayana harufu, sasa kwa wajuvi naomba mnisaidie je huu ni ugonjwa au iko vp maana sipati raha ya tendo kabisa mke wangu huyu
Mkuu nenda ucheck vaginal candidiasis, au afanyiwe urinalsis!pia hakiksha kama mke wako hayupo mimba, maana inawezekana ana prom [emoji23][emoji23]Habar wana Jf?leo nimeleta uzi huu baada ya uzalendo kunishinda, nina binti angu(mke) ambaye tumekuwa nae katika mahusiano kwa takribani mwaka mzma,tatizo ni kwamba wakati wa kufanya tendo huwa inafikia stage nikichomoa gegedo vinatoka vitu vyeupe flani hivi ambao una nata ni mithili ya greece h v, na anatoa maji maji flani meupe japo hayana harufu, sasa kwa wajuvi naomba mnisaidie je huu ni ugonjwa au iko vp maana sipati raha ya tendo kabisa mke wangu huyu