Mchumba wangu ana matatizo ya kutoa vitu vyeupe kama maziwa ya mgando sehemu za siri

Mchumba wangu ana matatizo ya kutoa vitu vyeupe kama maziwa ya mgando sehemu za siri

Hahahaha ndo maana unaniona nakuja hadi humu ,, sina mpenzi mkuu yaaan nashinda kiurahisi sanaaaaaa!!.
Inasemekana ulitia mkono kumsaidia yule bwana aliyehisiwa huenda anaupungufu wa akili kutokana na staili yake ya kulala twita na kumka twita na kupulekea kushinda

Vipi kwa upande wake bwana yule ambae baada ya madaktar kuthibitisha utimamu wa akili zake na kumsifia sana, mkono wake si mfupi hata usikufikie kukuunga mkono km we ulivyomfanyia?
 
Hiyo mambo yakawaida Mzee hakuna ugonjwa hapo ukizoea utaona mengi zaidi ya hayo" ila usiogope we piga mambo acha uwoga
 
Inasemekana ulitia mkono kumsaidia yule bwana aliyehisiwa huenda anaupungufu wa akili kutokana na staili yake ya kulala twita na kumka twita na kupulekea kushinda

Vipi kwa upande wake bwana yule ambae baada ya madaktar kuthibitisha utimamu wa akili zake na kumsifia sana, mkono wake si mfupi hata usikufikie kukuunga mkono km we ulivyomfanyia?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu kwanza ufaham Mimi ni jasusi alokubuhu ,, Bwana Trump nilimsaidia Ashinde ili kwspamoja tuifanye dunia kua mahali salama kabisaaaa.

Sema hawa watu Wa waloko chini yake ndo wamekuja MPA wakat mgumu sana wakimaaamuzi.

ila msikalie kunisema Mimi tuu,,, MTU mkubwa alopelekea Trump kushinda ni Israel ,,hawa niliwah kuwataja uko nyuma ,mkiwauliza watawapa majibu.

Kuhusu Mimi ,,hapana sihitaj msaada ,nashinda asubuh kweupe.

Siunajua Dunia sasa niya ki "Nationalism" zaid??
 
Shahawa hizo mwenzio kafokia mshindo shahawa hizo bao hilo mabint huwa wanawahi kutoa bao
 
Habar wana Jf?leo nimeleta uzi huu baada ya uzalendo kunishinda, nina binti angu(mke) ambaye tumekuwa nae katika mahusiano kwa takribani mwaka mzma,tatizo ni kwamba wakati wa kufanya tendo huwa inafikia stage nikichomoa gegedo vinatoka vitu vyeupe flani hivi ambao una nata ni mithili ya greece h v, na anatoa maji maji flani meupe japo hayana harufu, sasa kwa wajuvi naomba mnisaidie je huu ni ugonjwa au iko vp maana sipati raha ya tendo kabisa mke wangu huyu
Ukiona mavitu huyaelewi achana nayo nayo fanya vitu vingine
 
hiyo ni kawaida kijana jipongeze kwa kufanya kazi nzuri mpaka ametoa hayo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu kwanza ufaham Mimi ni jasusi alokubuhu ,, Bwana Trump nilimsaidia Ashinde ili kwspamoja tuifanye dunia kua mahali salama kabisaaaa.

Sema hawa watu Wa waloko chini yake ndo wamekuja MPA wakat mgumu sana wakimaaamuzi.

ila msikalie kunisema Mimi tuu,,, MTU mkubwa alopelekea Trump kushinda ni Israel ,,hawa niliwah kuwataja uko nyuma ,mkiwauliza watawapa majibu.

Kuhusu Mimi ,,hapana sihitaj msaada ,nashinda asubuh kweupe.

Siunajua Dunia sasa niya ki "Nationalism" zaid??
Oooooh basi kila LA kheri

Mungu wa Iziraeli atakushindia na we pia,
 
Habar wana Jf?leo nimeleta uzi huu baada ya uzalendo kunishinda, nina binti angu(mke) ambaye tumekuwa nae katika mahusiano kwa takribani mwaka mzma,tatizo ni kwamba wakati wa kufanya tendo huwa inafikia stage nikichomoa gegedo vinatoka vitu vyeupe flani hivi ambao una nata ni mithili ya greece h v, na anatoa maji maji flani meupe japo hayana harufu, sasa kwa wajuvi naomba mnisaidie je huu ni ugonjwa au iko vp maana sipati raha ya tendo kabisa mke wangu huyu
Si ugonjwaa mwambie ajisafishe fresh alafu itakuwa pouwaa
IkishindikN ntafute
 
Habar wana Jf?leo nimeleta uzi huu baada ya uzalendo kunishinda, nina binti angu(mke) ambaye tumekuwa nae katika mahusiano kwa takribani mwaka mzma,tatizo ni kwamba wakati wa kufanya tendo huwa inafikia stage nikichomoa gegedo vinatoka vitu vyeupe flani hivi ambao una nata ni mithili ya greece h v, na anatoa maji maji flani meupe japo hayana harufu, sasa kwa wajuvi naomba mnisaidie je huu ni ugonjwa au iko vp maana sipati raha ya tendo kabisa mke wangu huyu
Mkuu nenda ucheck vaginal candidiasis, au afanyiwe urinalsis!pia hakiksha kama mke wako hayupo mimba, maana inawezekana ana prom [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom