habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
Inasemekana ulitia mkono kumsaidia yule bwana aliyehisiwa huenda anaupungufu wa akili kutokana na staili yake ya kulala twita na kumka twita na kupulekea kushindaHahahaha ndo maana unaniona nakuja hadi humu ,, sina mpenzi mkuu yaaan nashinda kiurahisi sanaaaaaa!!.
Vipi kwa upande wake bwana yule ambae baada ya madaktar kuthibitisha utimamu wa akili zake na kumsifia sana, mkono wake si mfupi hata usikufikie kukuunga mkono km we ulivyomfanyia?