Mchumba wangu anajamba sana akiwa usingizini

Mchumba wangu anajamba sana akiwa usingizini

Natangaliza shukrani zangu kwenu hasa kama nitasaidiwa kwa ushauri niende wapi hapa Dar kupata matibabu.

Mchumba wangu na mm wote tunatoka kijiji cha Mwaya-Kyela ya vijijini.Baada ya kumaliza Chuo ndiyo nikaenda kijijini kumchumbia kisha mm nikarudi Dar kuendelea na kazi wkt taratibu za harusi zinafanyika.

Mwezi wa nne mama mkwe wangu mtarajiwa akapata matatizo ya kiafya,aka andikiwa rufaa aje Muhimbili na mm ndiyo nikawa mwenyeji wao nikawapokea!

Kwa mara ya kwanza nikaanza kulala na mchumba wangu chumbani na ndiyo nikashuhudia mambo ya ajabu sana.Mchumba wangu anajamba ushuzi unao nuka sana non stop akiwa usingizini na yy huwa hajijui kama anajamba maana ukimuambia asubuhi huwa anakataa kabsa.

Nikajua labda shida ni vyakula vya vijijini alivyo zoea na akipata vyakula vya kuungwa vya mjini hali labda itapungua,lkn kinyume chake ndiyo kujamba kunaongezeka na yananuka zaidi.

Kuna jamaa yangu ni daktari alimpa dawa kwa kumdanganga ni dawa ya tumbo lkn haijasaidia.

Hali hii ya uchafuzi wa hali ya hewa chumbani inakatisha sana tamaa,tafadhali kama kuna ushauri wowote hasa kama kuna mtaalam unamjua ana weza tibu tatizo hili naomba uniandikie

Nashukuru sana.
Wewe kama sio kijana mdogo mjinga basi ni wa kiume na sio MWANAUME.

Kama mchumba wako au yeyote anayekuhusu ana tatizo, elezea tatizo tu.
Kuseme wewe sijui ni mnyakyusa blah blah blah, huko ni kujidhalilisha na kuwadhalilisha wote uliowataja hapa.

Jifunze kuwa na kiasi kwa kila jambo ufanyalo!
 
Wewe kama sio kijana mdogo mjinga basi ni wa kiume na sio MWANAUME.

Kama mchumba wako au yeyote anayekuhusu ana tatizo, elezea tatizo tu.
Kuseme wewe sijui ni mnyakyusa blah blah blah, huko ni kujidhalilisha na kuwadhalilisha wote uliowataja hapa.

Jifunze kuwa na kiasi kwa kila jambo ufanyalo!
Mkuu; Nakazia. Kama yupo hapa Jamvini saa hii 8:22 am. 03/05/2022, AZINGATIE hayo uliyomwelekeza ni ya msingi sana.👍
 
Natangaliza shukrani zangu kwenu hasa kama nitasaidiwa kwa ushauri niende wapi hapa Dar kupata matibabu.

Mchumba wangu na mm wote tunatoka kijiji cha Mwaya-Kyela ya vijijini.Baada ya kumaliza Chuo ndiyo nikaenda kijijini kumchumbia kisha mm nikarudi Dar kuendelea na kazi wkt taratibu za harusi zinafanyika.

Mwezi wa nne mama mkwe wangu mtarajiwa akapata matatizo ya kiafya,aka andikiwa rufaa aje Muhimbili na mm ndiyo nikawa mwenyeji wao nikawapokea!

Kwa mara ya kwanza nikaanza kulala na mchumba wangu chumbani na ndiyo nikashuhudia mambo ya ajabu sana.Mchumba wangu anajamba ushuzi unao nuka sana non stop akiwa usingizini na yy huwa hajijui kama anajamba maana ukimuambia asubuhi huwa anakataa kabsa.

Nikajua labda shida ni vyakula vya vijijini alivyo zoea na akipata vyakula vya kuungwa vya mjini hali labda itapungua,lkn kinyume chake ndiyo kujamba kunaongezeka na yananuka zaidi.

Kuna jamaa yangu ni daktari alimpa dawa kwa kumdanganga ni dawa ya tumbo lkn haijasaidia.

Hali hii ya uchafuzi wa hali ya hewa chumbani inakatisha sana tamaa,tafadhali kama kuna ushauri wowote hasa kama kuna mtaalam unamjua ana weza tibu tatizo hili naomba uniandikie

Nashukuru sana.
Unataka mchumba ambaye yupo sawa na mawazo yako? Kwa muda hiyo hali itaisha, maana lazima Kuna jambo la vyakula ama ugonjwa ambao utaibuka na baada ya kutibiwa atakaa sawa, sana sana hapo ni tumbo limejaa gas tu we oa maana ulishaamua, unaweza kumuacha mke Kwa sababu ya kujamba? Yamkini na wewe una tatizo lako ambalo yeye hajalileta hapa
 
Mengine ni ugonjwa .
Mtu anayefanywa hauwezi kumuona akifanya hivyo.
Labda atokwe na haja kubwa
Lakini upepo tu sio kweli
Niliwah kuwa na mtu wa hv alikuwa anajamba non stop usiku lakin yalikuwa hayanuki,nilianza kukihisia labda kiliwah kifukuliwa nyuma lakin kilikuwa kibinti kidogo sana
 
Na wewe jamba...
Maana take hata mchana anakuwa na tumbo la gas ila anafanya controlled flatulence...
Ni vyakula anavyokula vinatengeneza sana gesi tumboni...! Au kama na wewe wala hivyo hivyo vyakula basi mfumo wake wa metabolism uko tofauti kidogo....
 
Mtafutie zile chupi za mieleka halafu connect tube kwa nyuma iende mpaka nje ya chumba,
Mchuchu akiachia yusuph inakuwa no effect Maana ushuzi utaenda nje. Hii Ni quick fix approach, It only solve the problem temporary.

Main problem remained unsolved madaktari wanakuja.
Huu ushauri hatari Sana [emoji1787][emoji1787]
 
Natangaliza shukrani zangu kwenu hasa kama nitasaidiwa kwa ushauri niende wapi hapa Dar kupata matibabu.

Mchumba wangu na mm wote tunatoka kijiji cha Mwaya-Kyela ya vijijini.Baada ya kumaliza Chuo ndiyo nikaenda kijijini kumchumbia kisha mm nikarudi Dar kuendelea na kazi wkt taratibu za harusi zinafanyika.

Mwezi wa nne mama mkwe wangu mtarajiwa akapata matatizo ya kiafya,aka andikiwa rufaa aje Muhimbili na mm ndiyo nikawa mwenyeji wao nikawapokea!

Kwa mara ya kwanza nikaanza kulala na mchumba wangu chumbani na ndiyo nikashuhudia mambo ya ajabu sana.Mchumba wangu anajamba ushuzi unao nuka sana non stop akiwa usingizini na yy huwa hajijui kama anajamba maana ukimuambia asubuhi huwa anakataa kabsa.

Nikajua labda shida ni vyakula vya vijijini alivyo zoea na akipata vyakula vya kuungwa vya mjini hali labda itapungua,lkn kinyume chake ndiyo kujamba kunaongezeka na yananuka zaidi.

Kuna jamaa yangu ni daktari alimpa dawa kwa kumdanganga ni dawa ya tumbo lkn haijasaidia.

Hali hii ya uchafuzi wa hali ya hewa chumbani inakatisha sana tamaa,tafadhali kama kuna ushauri wowote hasa kama kuna mtaalam unamjua ana weza tibu tatizo hili naomba uniandikie

Nashukuru sana.
Pole sana mkuu ila ebu jaribu kumwambia awe anakunywa maji mengi awezavyo almost zaidi ya Lita sita kwa siku na kila chakula anachokula awe na mboga za majani nyingi mno anasukumizia, hiyo itamsaidia sana kuondoa gas tumboni
 
Huyu atakuwa either na h pylori...au ibs yaan irritative bowel syndrome...haya ni magonjwa yanayosababisha gesi tumboni....kwa sawa mnunulie relcer gel ya maji itamsaidia..
 
Mtafutie zile chupi za mieleka halafu connect tube kwa nyuma iende mpaka nje ya chumba,
Mchuchu akiachia yusuph inakuwa no effect Maana ushuzi utaenda nje. Hii Ni quick fix approach, It only solve the problem temporary.

Main problem remained unsolved madaktari wanakuja.

[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119]daaah asee we jamaa akili zako zinakutosha mwenywe
 
Back
Top Bottom