Mchumba wangu ananipa masharti magumu ninapotaka kufanya naye mapenzi


Kama Ana umri chini ya miaka 30, kuna mtu anamla; halafu cha asubuhi sio kila siku sio chai hiyo!

Kwa kifupi wacha Mahari tu maana ataja kukusumbua sana baadae, achana naye
 
daaah..me kuomba mzgo sijui, nikiwa na mtu kwenye mahusiano yan kama simba hawapo uwanjani naweka anytime anyday...me wa hivyo simuwez, mwanamke wako unamla kama unakula malaya ndio nini ivyo ?
 
Ningekuwa mimi, asiponipa cha asubuhi namvizia usiku amelala, nachomeka mb.oo kimya kimya....naanza kuchochea moto, hapo lazima a-respond
Mkuuu hiyo si ni kubaka kabisa, ni heri mwanamke ambake mwanaume kuliko mwanaume kumbaka mwanamke, kesi hiyo au hujasikia mwanamke anasema nimebakwa miaka kumi kwenye ndoa ndo hiyo sasa😂
 
Inawezekana kuna vitu vinamsumbua uyo shemeji, ukute anawaza ndoa lin utamuoa sasa anahisi akikupa kitumbua anahisi kuna kitu atapunguza kwake jitaidi umuoe mtoto wa watu alafu uone kama ataendelea kuwa ivyo
 
Kuna siku niliwahi kusema humu kwamba hakuna mwanamke wa kuendana na kasi ya kutaka ngono tuliyonayo wanaume.

Michepuko inakua kama vile haiepukiki. Walio kwenye ndoa wanaongoza kupiga puchu kuliko mabachela sababu ni hizi hizi.
Wapo wachache mkuu very rare pieces!
 
Sometimes hata kupewa bas utapewa ili mradi ham iishe tu atatanua miguu ukimalza anabana miguu show imeisha
Duh, mkuu hio sign usiipotezee kabisa! Huyo mwanamke yupo na wewe ilimradi hakupendi.

Mwanamke kukupa sex ilimradi ni kuwa hana hisia na wewe na ataenda kukutesa mbeleni huko. Jitahidi uachane nae for the better.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…