Mchumba wangu ananishirikisha katika kila kitu cha maendeleo anachofanya


UKIONA MWANAUME WAKO HAKUPI HELA UJUE KUNA MWANAMKE MWINGINE ANAMPA HELA

SIKU NA SIKU UNAACHWA SOLEMBA MAPENZI
 
Ungeweka namba za huyo mwanaume hapa ili wanawake wanaojielewa wamtafute, wewe huyo hakufai [emoji2]
 
Hatukatai kupewa vizawadi ni chachu kwenye mapenzi ila huyo binti inaonekana hajui anataka nini, amuache jamaa atafute mwanamke wa aina yake, hawaendani unless otherwise abadili mtazamo alio nao. That is the perfect guy for a sensible woman.
 
Kwa uzoefu wangu muda hautapita utamsaliti huyo mpenzi wako. Yeye ataendelea kukupenda na utamfanyia visa mpaka mtaachana.
Wewe sio wife material ni mla bata.
 
UKIONA MWANAUME WAKO HAKUPI HELA UJUE KUNA MWANAMKE MWINGINE ANAMPA HELA

SIKU NA SIKU UNAACHWA SOLEMBA MAPENZI
Mkuu kwa awamu hii hata sio kweli. Yeye sehemu ya hela yake agawe ale nae bata hata kama ni kidogo maisha yaende
 
Jamaa ana phd ya ubaharia
Ngazi ya juu nyota tatu

Afande first class ...mzee wa kusikilizia hela mahali fulaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Wahenga walisema mkataa pema pabaya panamwita... Wewe endelea tuu na hizo akili zako ila ujue unalolitafuta utalipata.
 
"Wakati yeye kama mwanaume anatakiwa kufanya kila kitu... "mwisho wa kunukuu

Mkataa pema...
 
Nadhani kuna wanawake hapa JF wameshakuja inbox kukuomba namba ya shemeji yao ili wamsalimie
 
Wewe ni jimama siyo binti tena!!!!binti ni yule mwenye miaka chini ya hapo acha uwaki
 
Maisha yenyewe mafupi haya njoo tubebishane hayupo romantic hata kidogo huyo nahis msukuma,njoo ula uyo we endelea nae wala sina wivu mimi ndo nilichojaaliwa
 
Ajitafutie zawadi na ajibebishe mwenyewe.. Kwani lazima kubebishwa???..aache kusumbua watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…