Mchumba wangu ananishirikisha katika kila kitu cha maendeleo anachofanya


UNA NYOTA YA UMASIKINI NA HIYO AJIRA YAKO NDIYO MWISHO WAKO HAPO HAPO
 
Daaah,, ndugu yetu kaoa Boga huko..

Ila fresh muda utasema kweli,,, ipo siku demu atajua hajui
 
Dah....piga chini fala huyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nakazia hapa!
 
Ila kuna mda wanawake ni kama tumerukwa akili tunaonaga hata aibu kuteteana.

We binti miaka 29 uliyonayo sasa ni ya kuchora?
 
Wewe jambo la maendeleo huna hata kidogo?! Kwa hiyo wewe ni boys, yeye ndo wa kufanya maendeleo wewe huna? Pumbavu!
 
Ila wanawake nyie ni pasua kichwa asee. Daah
 
Umewaza nnachowaza 🤣🤣 yani hawa watu ni umenunua cheni ya bandia kwa hela feki..
Watu wanamtetea sana jamaa! Mi binafsi tukiachana na huo ujinga mnaomuona nao huyu mleta mada, Mshkaji anamtumia! Sio kimwili tu anamtumia sana kiakili 🤣 ilihali hajamtolea hata barua , kuashiria kwamba hana commitment yoyote mwisho wa siku ataoa mtu mwingine!!!!
Kuna watu hawana akili kwenye mengine ila ukiwapa kazi ya kusuka mpango basi wanausuka hswaa, mleta uzi inaonekana ana madini sema tu kuna hizo error zinazojitokeza kibinadamu
 
Mods naombeni nimtukane huyu malay
 
Mh, hivi nyinyi mnataka tuishi nanyi kwa namna gani? Mbona hatuwaelewi mtakacho
 
Dada una nyota ya udangaji muache mpambanaji atafute wa kufanana nae
 
Duh naanza kuamin ule msemo atakae muelewa mwanamke anataka nin lazima anakaribia kufa..
Ndo ipo hivyo yan hawa viumbe pasua kichwa aise ukitaka kunifurahisha yeye afurahi na mambo yako lazima ya lalale kama uyo jamaa akiamua kunifurahisha huyo demu ajue kabisa hakuna maendeleo hapo
 
Unataka ubebishwe kila unapojisikia kwa hela za mshkaji na kama laki anayokupa haitoshi na wewe una mshahara ambao hautaki uje kutumika kwa shughuli za maendeleo yenu ........ Solution ni simple tu mpige chini utafute mtu wa bata bila kugusa mshahara wako halafu uone mwisho itakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…