Mumshauri tu jamaniπππSasa sisi tufanyaje?
Mtamuua kijana ππChakula cha boss
Tunamwambia tu ukweli π,, au wewe unaonaje mkuuπ€£π€£π€£π€Mtamuua kijana ππ
Akapime UKIMWI...Mumshauri tu jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
hahahhaπππππAkapime UKIMWI...
Una umri gani mpaka uombe ushauri jambo la wazi hivi?Mimi na mchumba wangu tuna mahusiano ya miezi 5, anafanya kazi katika familia ya watumishi wa selikali nikimaanisha baba na mama ni wafanyakazi serikalini.
Shida ni kwamba bosi wake wa kike asipo kuwepo akawepo wa kiume huwa hataki tuchati wala kupigiana simu (Hasa usiku) , akidai hataki boss wake ajue kwamba tupo kwenye mahusiano, vilevile amekuwa akiniambia boss wake huyo amekuwa akiikagua simu yake mara kwa mara!
Wanajamvini naombeni Ushauri wenu.
Na yeye kwanini apige simu mtu yuko kazini si waelekezane mida ya kuongea !! Penzi jipya tafrani πTunamwambia tu ukweli π,, au wewe unaonaje mkuuπ€£π€£π€£π€
Hapo lina miezi mi5 ππππNa yeye kwanini apige simu mtu yuko kazini si waelekezane mida ya kuongea !! Penzi jipya tafrani π
Mkuu hayanaga formula ππ wakati baba nyumbani anaogopwa na kila mtu yuko 50's kuna kitoto huko cha chuo 20's kinampelekesha balaa , msaidie kijana !Una umri gani mpaka uombe ushauri jambo la wazi hivi?
Wanaitana wachumba kabisa π wakati kuna kipengele wamekirukaHapo lina miezi mi5 ππππ